jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Watu gani wa Kilimanjaro wasiokuwa wachagga ambao wanatumia nafaka kwenye utengenezaji wa vileo? Ndiyo maana nikakwambia unitajie hivyo vileo. Swali ni lile lile kwa namna ya tofauti.Mushiiiii sio suala la kutaja vileo baba anguuuu, ni suala la kuzumgumza uhalisia kuwa raisi kazumgumza na watu wa KLM sio wachaga tuuu etiii.