Rais Samia - Wachagga tupunguze matayarisho ya pombe kutokana na upungufu wa nafaka

Rais Samia - Wachagga tupunguze matayarisho ya pombe kutokana na upungufu wa nafaka

Aiseee yani Rais ndio anaongea haya! Kwa hiyo watu waache kufanya matumizi kisa ya uhaba? Yani waache kufanya biashara yani Rais ndio anaona suluhu la kudumu la uhaba wa nafaka hahaha
Mimi ni chui jike- Rais Samia Suluhu 🤣 🤣 🙌
 
Makabila mengi yanatengeneza pombe zao kupitia nafaka iweje nongwa kwa KLM?
Affer all KLM haijawahi kulia njaa
 
Unategemea akiba ya taifa wakati unapikia chakula pombe?

This is a very stupid mentality

Anza na akiba Binafsi kabla ya kufika akiba ya taifa

Hivi nyie vitoto vya siku hizi mmekuaje?
Upeo wako utakuwa mfupi, Hata wasipopikia Pombe demand ikiongezeka Prices zitaongezeka kwahio akiba ya taifa (kama ingekuwepo ya kutosha) ikitumika kuachia mzigo itasaidia kupunguza makali...

Pombe ni part and parcel ya culture ya hao watu.., huenda wengine wanapika pombe ili wanunue mboga na kupeleka watoto wao shule na kulipia Bima n.k. (vyote ambavyo sio affordable)..., unawaambia leo wasipike pombe alafu watunze nafaka wakati ndugu zao wa kusini juzi tu mazao yaliozea mashambani kwa kukosa wateja....

Kweli kuna sehemu tumekosea na huenda tunakoelekea ni nyuma na sio mbele...
 
Upeo wako utakuwa mfupi, Hata wasipopikia Pombe demand ikiongezeka Prices zitaongezeka kwahio akiba ya taifa (kama ingekuwepo ya kutosha) ikitumika kuachia mzigo itasaidia kupunguza makali...

Pombe ni part and parcel ya culture ya hao watu.., huenda wengine wanapika pombe ili wanunue mboga na kupeleka watoto wao shule na kulipia Bima n.k. (vyote ambavyo sio affordable)..., unawaambia leo wasipike pombe alafu watunze nafaka wakati ndugu zao wa kusini juzi tu mazao yaliozea mashambani kwa kukosa wateja....

Kweli kuna sehemu tumekosea na huenda tunakoelekea ni nyuma na sio mbele...
That's correct, hii ni sawa na kuwaambia TBL au SBL waache kutengeneza pombe sababu wanaharibu chakula wakati unataka kodi na ajira 🤣 🤣 🤣 .
 
'…Hakuna chakula cha bure…asiefanya kazi na afe kwa njaa…' -Hayati Dr JPM

Moja ya vipawa vikubwa alivyokuwa navyo Hayati JPM ilikuwa makavu live live
Hii kauli alikuwa akiitoa akiwa ziara za usukumani....sijui kwa nini!
 
Kawaambia wanakilimanjaro au Wachagga tu?

Wachagga mkianzisha mada huwa mnasahau kuwa KLM inabeba pia Wapare na Wagweno wa Upareni.

Kichwa cha habari unasema Wachaga, ila ndani unazungumzia KLM yote.
Haya wewe taja hivyo vinywaji vya wapare na wagweno ambavyo vinatumia nafaka.
 
Hapo watatokea watu wataunda by laws za kuumizana.
Umeona mbali. Maana sioni hiyo shida ya ukosefu wa nafaka Kilimanjaro kwasababu ya vinywaji.

Ulezi na ndizi havijawahi kuwa shida. Labda ile “Dadii” inayotengenezwa kwa kutumia mahindi. Lakini huwa haitengenezwi kwa wingi kiasi cha ku “raise alarm”
 
Upeo wako utakuwa mfupi, Hata wasipopikia Pombe demand ikiongezeka Prices zitaongezeka kwahio akiba ya taifa (kama ingekuwepo ya kutosha) ikitumika kuachia mzigo itasaidia kupunguza makali...

Pombe ni part and parcel ya culture ya hao watu.., huenda wengine wanapika pombe ili wanunue mboga na kupeleka watoto wao shule na kulipia Bima n.k. (vyote ambavyo sio affordable)..., unawaambia leo wasipike pombe alafu watunze nafaka wakati ndugu zao wa kusini juzi tu mazao yaliozea mashambani kwa kukosa wateja....

Kweli kuna sehemu tumekosea na huenda tunakoelekea ni nyuma na sio mbele...
We upeo huna kabisa

Rais kasema punguza…. Hajasema Acha
 
Huyu Rais ananisikitisha sana kwa kauli zake. Mbege haimalizi tena nafaka. Mama hajui kuwa pombe zinazonywewa Kilimanjaro siyo mbege bali ni zile za chupa (banana, bia, na pombe kali).

Mbege zilishapitwa na muda. Wachagga hawana tena muda wa kupoteza wakitengeneza Mbege.

Mbege inapatikana kwa nadra sana na kwa ajili ya kufanyia mila tu.

Rais afanyiwe briefing nzuri kabla ya kutoa kauli kama hizi.
 
Haya wewe taja hivyo vinywaji vya wapare na wagweno ambavyo vinatumia nafaka.
Mushiiiii sio suala la kutaja vileo baba anguuuu, ni suala la kuzumgumza uhalisia kuwa raisi kazumgumza na watu wa KLM sio wachaga tuuu etiii.
 
Back
Top Bottom