Watu gani wa Kilimanjaro wasiokuwa wachagga ambao wanatumia nafaka kwenye utengenezaji wa vileo? Ndiyo maana nikakwambia unitajie hivyo vileo. Swali ni lile lile kwa namna ya tofauti.Mushiiiii sio suala la kutaja vileo baba anguuuu, ni suala la kuzumgumza uhalisia kuwa raisi kazumgumza na watu wa KLM sio wachaga tuuu etiii.
"Niwaombe sana ndugu zangu wa Kilimanjaro, tupunguze kidogo matayarisho ya Mbege na vinywaji vingine kwa kutumia nafaka, tujue kwamba mwezi wa 10 hatukupanda, tutapanda Machi na kutakuwa na upungufu kidogo wa chakula,,"-Samia Source-Nipashe Tanzania.
Mushii inamaana ww ni mgumu sana kuelewa nilichohoji? Hoja sio aina za vileo hoja ni kichwa cha habari kuadress wachagga na quote aliyotoa, raisi inaadress watu wote wanaoishi KLM.Watu gani wa Kilimanjaro wasiokuwa wachagga ambao wanatumia nafaka kwenye utengenezaji wa vileo? Ndiyo maana nikakwambia unitajie hivyo vileo. Swali ni lile lile kwa namna ya tofauti.
Kaka Mshana umemsikia chui jike