Kabisa! Na mama anaupiga mwingi sana!Nina amani ya kutosha kusikia kuwa dhalimu huko motoni anatamani aje aombe msamaha kwa kuua watanzania waliokuwa hawamsujudii.
Zilipigwa ela na wakina mpango na bashiru na magenge yaoKwakweli hata mimi hua sichukulii kwa wepesi vibonzo vya masudi, yuko well informed.
Huko hazina inawezekana kuna watu walichota mpunga.
Kwa uzoefu wangu Tanzania kwenye mambo kama hayo hua yanashugulikiwa chini kwa chini.
Jukwaani tunacheka pamoja kisha jioni tunafunga akaunti zako zote au unabinywa pumb* useme umepeleka wapi dolali za serikali.
Kabisa! Na mama anaupiga mwingi sana!
Uchumi juu, kodi chini, democrasia kila kona, sheria zinatekelezwa pembe zote za nchi, bidhaa bei chini, hela kila kona unaziikota tu. Hakika dhalimu alikuchelewesha sana.
Wewe kama bado waamini nikisemacho ni uongo basi endelea kuamini hivyo.
Ila tusubiri maelezo yatakuja siku si nyingi.
Lakini nikukumbushe ni kuwa Hayati Magufuli hakuwa mjinga kiasi cha kuacha fedha hazina ili zichezewe.
Mama Samia mtazame Masoud Kipanya, unaonekana una jambo linakusumbua na huna namna matokeo yake unapokea kila ushauri wa wasaidizi wako. Matokeo yake mnatoa Slogan nyingi na ahadi zisizotimilika. Hili litakurudi sababu itabidi uongope kila mara.
Kuna kosa kubwa umefanya na unaendelea kufanya. Waeleze Watanzania ukweli juu ya ulicho kikuta hazina. Vinginevyo mzigo wote unakuangukia wewe na unaonekana umefilisi nchi katika kipindi kifupi. Sema ukweli umekuta nchi haina kitu wananchi watakuelewa.
Nyerere alisema ukweli na kutuambia tufunge Mkanda. "Ukweli utakuweka huru"
View attachment 1858946
Lakini, mbona report ya BOT imetoka clean?Maelezo ya hii Serikali iliyojaa waongo? Una akili sawa sawa wewe!? 😳😳😳 Tuondolee upuuzi wako hapa!!! Fiscal year 2016/2017 kapora 1.5 trillions hazina akagomea uchunguzi huru. Fiscal year 2017/2018 akapora tena 1.2 trillions akagomea tena uchunguzi huru yote haya ndani ya ripoti za CAGs Assad na Kichere. Ripoti zao zimejaa wizi, ufisadi na ubadhirifu wa kutisha lakini hakuna anayewajibishwa na kwenye hili bunge pumbavu hata kujadiliwa hazijadiliwi halafu unakuja kuandika ujinga wako humu!?
Si lazima malipo yafanywe mwezi Januari.Kila kitu kimelipiwa? hakuna mtu alikuwa muongo kama magufuli, ndio maana alitunga sheria ya takwimu ili adanganye atakavyo. Ndani ya utawala wake deni la taifa limekua kwa 20t.
Lakini, mbona report ya BOT imetoka clean?
Wadhani hiyo imepikwa au?
Si ndio mambo ni super baada ya dhalimu wako kufariki?Ni hivi dhalimu hayupo, huyo mama ww ndio unamjua. Mimi ninachojua dhalimu yuko motoni fullstop.
Ha ha haWewe kama bado waamini nikisemacho ni uongo basi endelea kuamini hivyo.
Ila tusubiri maelezo yatakuja siku si nyingi.
Lakini nikukumbushe ni kuwa Hayati Magufuli hakuwa mjinga kiasi cha kuacha fedha hazina ili zije kuchezewa.
Si ndio mambo ni super baada ya dhalimu wako kufariki?
Ndo maana kifo cha Teddy Mapunda kilihuzunisha na kufikirisha wengi.
EEeeh, kwani alijua anaondoka?Lakini nikukumbushe ni kuwa Hayati Magufuli hakuwa mjinga kiasi cha kuacha fedha hazina ili zije kuchezewa.
Kivipi mkuu?Ndo maana kifo cha Teddy Mapunda kilihuzunisha na kufikirisha wengi.
Dikteta alifilisi hazina ya NchiNchi imesha mshinda, full stop!!
What if the the boss lady alikuta pesa lakini yeye ndiyo kashindwa kukusanya hivyo anapagawa kila akiangalia kibubu cha Tanzagiza kiko empty?
Either way, the boss lady lazima asene ukweli jinsi alivyoikuta hazina.
Aseme ukweli tu hata kama shujaa wangu JPM aliacha vaults zipo empty.
Hela ilikuwepo nyingi tuu,kile kiherehere cha kujifanya analipa madaraja,sijui malimbikizo,nk huku akienda mbali zaidi na kutoa misamaha ya kodi kiholela limemkwamisha huyu mama...matumizi ya serkali kwa mwezi ni makubwa sana huku makusanyo ni kidogo.....huyu ni mdhaifu na amekwisha kukwama....Banda mwingine kwenye foleni.