Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina amani ya kutosha kusikia kuwa dhalimu huko motoni anatamani aje aombe msamaha kwa kuua watanzania waliokuwa hawamsujudii.
Anausika vipi na hazina mkuuNdo maana kifo cha Teddy Mapunda kilihuzunisha na kufikirisha wengi.
kuongoza nchi sio kujipikilisha ki-baba babaNchi imesha mshinda, full stop!!
Eeeeeh, bado kidogo tutaongea lugha moja tu, "Mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya" najua wengi mnaogopa kusema kuwa mnamkumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu tayari mlisha mponda na kuikebehi mpaka maiti yake, nawaambieni kabisa mtakiri kwa modimo yenu wenyewe na kutubu,Mama Samia mtazame Masoud Kipanya, unaonekana una jambo linakusumbua na huna namna matokeo yake unapokea kila ushauri wa wasaidizi wako. Matokeo yake mnatoa Slogan nyingi na ahadi zisizotimilika. Hili litakurudi sababu itabidi uongope kila mara.
Kuna kosa kubwa umefanya na unaendelea kufanya. Waeleze Watanzania ukweli juu ya ulicho kikuta hazina. Vinginevyo mzigo wote unakuangukia wewe na unaonekana umefilisi nchi katika kipindi kifupi. Sema ukweli umekuta nchi haina kitu wananchi watakuelewa.
Nyerere alisema ukweli na kutuambia tufunge Mkanda. "Ukweli utakuweka huru"
View attachment 1858946
Ni kweli Mkuu dalili zimeshaanza kuonekana.Huyu "Rais wa katiba mbovu" hatofika mbali sana..
Sasa kama mtu dhalimu hayupo si ndio mambo yenu yankuwa super?Mambo hayajawahi kuwa super chini ya ccm, ila kwa sasa mtu dhalimu hayupo tena duniani.
Kwa sasa Mambo yanaenda vizuri siyoMaelezo ya hii Serikali iliyojaa waongo? Una akili sawa sawa wewe!? [emoji15][emoji15][emoji15] Tuondolee upuuzi wako hapa!!! Fiscal year 2016/2017 kapora 1.5 trillions hazina akagomea uchunguzi huru. Fiscal year 2017/2018 akapora tena 1.2 trillions akagomea tena uchunguzi huru yote haya ndani ya ripoti za CAGs Assad na Kichere. Ripoti zao zimejaa wizi, ufisadi na ubadhirifu wa kutisha lakini hakuna anayewajibishwa na kwenye hili bunge pumbavu hata kujadiliwa hazijadiliwi halafu unakuja kuandika ujinga wako humu!?
Kamu ua Nani mkuu. Tumechoka na maneno ya kwenye vigodoro. Tuambie hapa na ushahidi au at least Motive.
umesikia wapi!!!Nina amani ya kutosha kusikia kuwa dhalimu huko motoni anatamani aje aombe msamaha kwa kuua watanzania waliokuwa hawamsujudii.
Ni lini yaliwahi kuwa super zaidi ya yeye kuja kutuongezea udhalimu?Sasa kama mtu dhalimu hayupo si ndio mambo yenu yankuwa super?
Maana ndio alikuwa anazuia mambo yenu yasiwe super
umesikia wapi!!!
au zinaruka mkuu
usiende bar na pistol.Zinaruka mkuu.
Walioikomba Hazina wanatumbua maisha tu na Familia zao halafu wakituona sisi tunahangaika wanasema sisi ni wavivu wa Uswahilini.Huko hazina inawezekana kuna watu walichota mpunga.
We akili yako iko matakoni ww, hata kuwaza kidogo tu hutaki unakalia ushabikibkwa ki mduku tuu,unashindwa hata kujua kuwa kupandisha Kodi katika petrol ama fuel kwa ujumla na kushisha ktk pombe na sigara ni ujuha, Hilo nalo limekishinda? Na pia uliza east Africa yote Bei za mafuta then uje hapa utueleze ni nchi gani mafuta yapo juu kuliko zingine?Rwanda hawana bandari lakini diesel haizidi 2200 kwa Lita moja,the same hata Burundi,wee kweli ni tabulalasa, hivi hujui hata ni nini husababisha bei za petroli na diesel kupanda?
au unafikiri ni Tanzania tu