Rais Samia, Waeleze Watanzania ukweli juu ya ulichokikuta Hazina

Rais Samia, Waeleze Watanzania ukweli juu ya ulichokikuta Hazina

Hela ilikuwepo nyingi tuu,kile kiherehere cha kujifanya analipa madaraja,sijui malimbikizo,nk huku akienda mbali zaidi na kutoa misamaha ya kodi kiholela limemkwamisha huyu mama...matumizi ya serkali kwa mwezi ni makubwa sana huku makusanyo ni kidogo.....huyu ni mdhaifu na amekwisha kukwama....Banda mwingine kwenye foleni.
Kwa hiyo ulitaka watumishi waendelee kuteseka??? Pumbavu sana kama mwendazake
 
Pamoja na shughuli zile alokuwa nazo pia alikuwa akishughulikia safari za nje.

Sasa baada ya kuja JPM (rip) akaendelea nae lakini akaambiwa hakuna safari zisizo na tija.

Zile safari zilikuwa na 10% hivyo ili ziendelee inabidi ...........

Kuna watu wanaelewa kila kinachoendelea ila wote wasubiria ............

Umenifahamu hapo?
Bado kabisa mkuu,ili ziendelee inabidii nini? Na ila wote wanasubiria? Ndio sijapapata vizuri.

Ila yule si alikuwa mwajiriwa wa Private sector(SBL) mkuu?
 
Rais Samia mtazame Masoud Kipanya, unaonekana una jambo linakusumbua na huna namna matokeo yake unapokea kila ushauri wa wasaidizi wako.

Matokeo yake mnatoa Slogan nyingi na ahadi zisizotimilika. Hili litakurudi sababu itabidi uongope kila mara.

Kuna kosa kubwa umefanya na unaendelea kufanya. Waeleze Watanzania ukweli juu ya ulicho kikuta hazina.

Vinginevyo mzigo wote unakuangukia wewe na unaonekana umefilisi nchi katika kipindi kifupi.

Sema ukweli umekuta nchi haina kitu wananchi watakuelewa.

Nyerere alisema ukweli na kutuambia tufunge Mkanda. "Ukweli utakuweka huru"

View attachment 1858946
Kuna watu wamelindwa
 
Serikali inaendeshwa kwa cash budget, inakusanya makusanyo ya February yanatumika mwezi March.

Mpaka Magufuli anaondoka kila mkandarasi alikuwa analipwa on time kutokana na kipande cha kazi alichokamilisha.

Na kila mtumishi alikuwa analipwa mshahara on time.

MSD ilikuwa na dawa za kutosha na kila kitu kilikuwa shwari.

Matatizo yoyote kuanzia mwezi April ni ya serikali mpya.
 
Serikali inaendeshwa kwa cash budget, inakusanya makusanyo ya February yanatumika mwezi March.

Mpaka Magufuli anaondoka hakuna mkandarasi kila mkandarasi alikuwa analipwa on time kutokana na kipande cha kazi alichokamilisha.

Na kil mtumishi alikuwa analipwa on time.

MSD ilikuwa na dawa za kutosha na kila kitu kilikuwa shwari.

Matatizo yoyote kuanzia mwezi April ni ya serikali mpya.
Baeleze baba, kile kichwa kilijua kukusanya mapato kutumia mali asili zilizopo nchini.
Itafika mahali tutaelewa umuhimu wa kutumia vizuri mtu mwema ndani ya maisha yetu haijalishi ni familia, jamii, ukoo n.k
Akiondoka anaondoka.
Mkubali mtu kwa uwezo wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baeleze baba, kile kichwa kilijua kukusanya mapato kutumia mali asili zilizopo nchini.
Itafika mahali tutaelewa umuhimu wa kutumia vizuri mtu mwema ndani ya maisha yetu haijalishi ni familia, jamii, ukoo n.k
Akiondoka anaondoka.
Mkubali mtu kwa uwezo wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika historia ya miaka 35 ya Tanzania kuanzia kwa mzee Mwinyi mpaka kwa JPM.

Ni mara ya kwanza Tanzania hakuna shule ya bweni ya serikali iliyofungwa kwa sababu supplier kagoma kupeleka chakula kutokana na malimbikizo ya madeni.

Kuna mambo chini ya JPM tulishaanza kuyasahau, ni muda tu kabla atujaanza kuyasikia tena.
 
Rais Samia mtazame Masoud Kipanya, unaonekana una jambo linakusumbua na huna namna matokeo yake unapokea kila ushauri wa wasaidizi wako.

Matokeo yake mnatoa Slogan nyingi na ahadi zisizotimilika. Hili litakurudi sababu itabidi uongope kila mara.

Kuna kosa kubwa umefanya na unaendelea kufanya. Waeleze Watanzania ukweli juu ya ulicho kikuta hazina.

Vinginevyo mzigo wote unakuangukia wewe na unaonekana umefilisi nchi katika kipindi kifupi.

Sema ukweli umekuta nchi haina kitu wananchi watakuelewa.

Nyerere alisema ukweli na kutuambia tufunge Mkanda. "Ukweli utakuweka huru"

View attachment 1858946


Miamala ya simu ndio itatunisha mfuko wa Hazina, simple like that.
 
Rais Samia mtazame Masoud Kipanya, unaonekana una jambo linakusumbua na huna namna matokeo yake unapokea kila ushauri wa wasaidizi wako.

Matokeo yake mnatoa Slogan nyingi na ahadi zisizotimilika. Hili litakurudi sababu itabidi uongope kila mara.

Kuna kosa kubwa umefanya na unaendelea kufanya. Waeleze Watanzania ukweli juu ya ulicho kikuta hazina.

Vinginevyo mzigo wote unakuangukia wewe na unaonekana umefilisi nchi katika kipindi kifupi.

Sema ukweli umekuta nchi haina kitu wananchi watakuelewa.

Nyerere alisema ukweli na kutuambia tufunge Mkanda. "Ukweli utakuweka huru"

View attachment 1858946
Amekuta hazina ya kutosha miezi 5 bila kufanya kazi. Ameshasema mama. Hakuna haja ya kumfundisha
 
Jiwe kaharibu Sana alikua anaendesha nchi Kama nyumba yake ndogo Sasa kakausha kibubu mzigo anaangushiwa mwananchi mfano ununuzi wa ndege wataalamu walishauri ndege kwa ajili ya biashara hazinunuliwi cash kwa maana kuwa iyo pesa Kama ipo ika endeleze huduma muhimu ie shule,afya au barabara nk lenyewe likakataa kwakuwaaminisha kuwa hii nchi tajiri Sana matokeo yake ndio haya watu tunakaushwa damu kwa tozo na Kodi kandamizi sema tunashukuru karma imefanya kazi yake
 
Kila kitu kilikwishalipiwa kwa mwaka huu mwezi Januari.

Kila mradi mkubwa nchini ulikwishalipiwa fedha taslimu kuanzia bwawa la Nyerere hadi Chalinze highway.

Ndege zote 11 kutoka Canada fedha zake zilikwishalipwa tayari zinasubiriwa kuwa delivered Tanzania.

Raisi Samia anapaswa kutafuta fedha na aturudishie ule utaratibu wa kutangaza mapato na gawio la kila mwezi.

Haya ya kutangaza tozo kwenye miamala kwa wananchi maskini ni ukatili.

Twasubiria mwezi januari 2022 pale fedha za elimu bure, mishahara ya December 2021 na ununuzi wa madawa na mengine.
Sijuhi Magu alikuwa anatumia mbinu gani aisee! Hazina kuwa na hakiba ya miezi 6 kwa nchi zetu za Kiafrika siyo masihara!

Na nawaza hela ya ndege ,elimu bure,miradi kibao kama umeme,maji,zahanati,barabara,flyovers,meli,cherezo,rada,mishahara,bwawa,SGR, busisi,atanzanite, mwendo kasi, n.k alikuwa anazitoa wapi huyu jamaa..

Dah
 
Kila kitu kimelipiwa? hakuna mtu alikuwa muongo kama magufuli, ndio maana alitunga sheria ya takwimu ili adanganye atakavyo. Ndani ya utawala wake deni la taifa limekua kwa 20t.
Awamu ya Tano kila taarifa ya serikali ilikuwa na kasoro.
 
Kipanya mwongo, juzi hapa tumeona wafanyakazi wa azina wakigawanya maburungutu ya mifedha,na kujilipa miposho ya hajabu mpaka waziri mkuu kashutuka,Samia mwenye tarifa za kila kitu Nchi hii mpaka leo yupo kimyia,hata kutoa tamko amna,kila siku nikupangiwa safari tu.Tumerudi enzi za Kikwete alikuwa akipangiwa safari huku watu wanaomola, lazima azina ibaki tupu tu.
Wadokozi wanatumia safari kuchota fedha hazina. Kilichomgalimu JPM ni kuzuia ulaji wa watu kwa kutumia njia hii.
 
Hili la hazina kuwa empty lilimkuta Mwinyi. Mzee wa watu alipambana kimya kimya kuiweka nchi kwenye mstari.Huku Nyerere akiitisha vikao na waandishi wa habari kumpiga vijembe. Eti anashauriwa na mkewe!

Akabadilisha uchumi mpaka nchi ilipotengamaa. Alikuja kusema alichokuta hazina kwenye hotuba yake ya kuaga bungeni! Nafikiria Mama pia yupo kwenye same situation.
 
Back
Top Bottom