Rais Samia: Wakinizingua nawazingua. Jijini Mbeya maelfu wakanyagana kila mmoja akitaka kumwona mubashara

Rais Samia: Wakinizingua nawazingua. Jijini Mbeya maelfu wakanyagana kila mmoja akitaka kumwona mubashara

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
IMG-20220806-WA0131.jpg

Wasalaam,

Akiendelea na ziara yake jijini Mbeya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameendelea kusisitiza uwajibikaji kwa viongozi wote wa Serikali kuanzia yule wa chini hadi yule ya juu,

Rais ameenda mbali kwa kutumia msemo maarufu wa vijana "Wanikizingua Nawazingua " sasa wewe RC, DC, DED,DAS zingua kwenye 18 za mama uone,


Aidha Rais Samia amefurahishwa Sana na ujenzi wa Jengo bora la mkuu wa Mkoa wa Mbeya, ( Value for Money )

Pamoja na mambo mengine Rais amewahakikishia Watanzania kuwa Serikali yake itaendelea kuboresha miundombinu ya kutolea huduma na wahudumu,

Mtakumbuka Rais yuko Jiji Mbeya kwa ziara ya siku tatu huku akitarajiwa kufunga maonesho ya kibiashara ya "Nanenane" ambayo mwaka huu yanafanyika Kitaifa Mkoani Mbeya,

Rais pia hakusita kuwatahadharisha DCs, DED & DAS kuhusu mkeka mpya,

 
View attachment 2316136
Wasalaam,

Akiendelea na ziara yake jijini Mbeya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameendelea kusisitiza uwajibikaji kwa viongozi wote wa Serikali kuanzia yule wa chini hadi yule ya juu,

Rais ameenda mbali kwa kutumia msemo maarufu wa vijana "Wanikizingua Nawazingua " sasa wewe RC, DC, DED,DAS zingua kwenye 18 za mama uone,

Aidha Rais Samia amefurahishwa Sana na ujenzi wa Jengo bora la mkuu wa Mkoa wa Mbeya, ( Value for Money )

Pamoja na mambo mengine Rais amewahakikishia Watanzania kuwa Serikali yake itaendelea kuboresha miundombinu ya kutolea huduma na wahudumu,

Mtakumbuka Rais yuko Jiji Mbeya kwa ziara ya siku tatu huku akitarajiwa kufunga maonesho ya kibiashara ya "Nanenane" ambayo mwaka huu yanafanyika Kitaifa Mkoani Mbeya,
same "shit,in diffarent day
 
Anaboresha miundombinu ya kazi gani?

Si Burundi, DRC, Uganda nao wanayo mibovu kama ya kwetu tu hivyo atulie.

Au hiyo excuse ipo kwenye bei ya mafuta na kukatika kwa umeme pekee.
 
Anaboresha miundombinu ya kazi gani?

Si Burundi,DRC,Uganda nao wanayo mibovu kama ya kwetu tu hivyo atulie.

Au hiyo excuse ipo kwenye bei ya mafuta na kukatika kwa umeme pekee.
Ivi wewe mtu unadini kweli?

Hivi ni kweli huoni kazi kubwa na nzuri inayofanya na Rais wetu?

Mnyonge mnyongeni ila haki yake pia mpeni,
 
View attachment 2316136
Wasalaam,

Akiendelea na ziara yake jijini Mbeya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameendelea kusisitiza uwajibikaji kwa viongozi wote wa Serikali kuanzia yule wa chini hadi yule ya juu,

Rais ameenda mbali kwa kutumia msemo maarufu wa vijana "Wanikizingua Nawazingua " sasa wewe RC, DC, DED,DAS zingua kwenye 18 za mama uone,


Aidha Rais Samia amefurahishwa Sana na ujenzi wa Jengo bora la mkuu wa Mkoa wa Mbeya, ( Value for Money )

Pamoja na mambo mengine Rais amewahakikishia Watanzania kuwa Serikali yake itaendelea kuboresha miundombinu ya kutolea huduma na wahudumu,

Mtakumbuka Rais yuko Jiji Mbeya kwa ziara ya siku tatu huku akitarajiwa kufunga maonesho ya kibiashara ya "Nanenane" ambayo mwaka huu yanafanyika Kitaifa Mkoani Mbeya,

Rais pia hakusita kuwatahadharisha DCs, DED & DAS kuhusu mkeka mpya,


Huyu mama akiongea tu lazima ufurahi,

Mama apewe support kuelekea 2025
 
View attachment 2316136
Wasalaam,

Akiendelea na ziara yake jijini Mbeya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameendelea kusisitiza uwajibikaji kwa viongozi wote wa Serikali kuanzia yule wa chini hadi yule ya juu,

Rais ameenda mbali kwa kutumia msemo maarufu wa vijana "Wanikizingua Nawazingua " sasa wewe RC, DC, DED,DAS zingua kwenye 18 za mama uone,


Aidha Rais Samia amefurahishwa Sana na ujenzi wa Jengo bora la mkuu wa Mkoa wa Mbeya, ( Value for Money )

Pamoja na mambo mengine Rais amewahakikishia Watanzania kuwa Serikali yake itaendelea kuboresha miundombinu ya kutolea huduma na wahudumu,

Mtakumbuka Rais yuko Jiji Mbeya kwa ziara ya siku tatu huku akitarajiwa kufunga maonesho ya kibiashara ya "Nanenane" ambayo mwaka huu yanafanyika Kitaifa Mkoani Mbeya,

Rais pia hakusita kuwatahadharisha DCs, DED & DAS kuhusu mkeka mpya,


Kiufupi Rais Samia kapata a warm welcome Mkoani Mbeya hadi kafurahia mwenyewe..

Moja ya sifa nimejifunza kwake anaonekana ana stamina kubwa ya sifa za wapambe ,hakuna maamuzi ya kuhemka na anawachana live,pesa zikusanywe ndio huduma zinazodaiwa zije..

Pia sababu kubwa ni Kumpata Spika Tulia a k a dada wa connection,pia sababu ya kujenga Barabara ya njia 4 km 32 hapo Mjini.
 
Back
Top Bottom