The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Wamefanya nini?Eric Hamisi
Fatuma Mwasa
🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamefanya nini?Eric Hamisi
Fatuma Mwasa
🤣🤣
mungu wa dunia hii, aka shetwaniMungu yupi?
Siasa za Africa kiongozi asiposifiwa ujue hakubaliki,So msiwarudishe nyuma wanaosifu na kuabudu kwakuwa ndio siasa za Africa zilivyo,Ninachofurahi ni kwamba Rais Mama Samia hapendi sifa za kijinga badala yake anahimiza utendaji na kazi kwa wateule wake. Wale chawa na wapambe wa kusifia sasa hivi hawana nafasi. Shikilia hapo hapo Mama Samia.
Hili ni kwa dunia nzima10,000 Lita 2.9
Bado hamjasaga meno vizuri
Kumbe mliua maksudi,ngoja nanyi mnyee sufuria la waliNdio maana hayati aliyasumbua Sana, hawana wema hawa watu
Nani aliua wewe kijanaKumbe mliua maksudi,ngoja nanyi mnyee sufuria la wali
Hii picha ivi naona vibaya,mbona kama alcohol yupo na tinted anacheck Samia akitaka kumwambia kuwa.......😳![]()
Wasalaam
Akaze la sivyo watampa headacheNinachofurahi ni kwamba Rais Mama Samia hapendi sifa za kijinga badala yake anahimiza utendaji na kazi kwa wateule wake. Wale chawa na wapambe wa kusifia sasa hivi hawana nafasi. Shikilia hapo hapo Mama Samia.
Unataka mafuta yafikie elfu 4,000 ndio muongee zaidi?
Usifanye mchezo na TZS 100BL kwa kila mwezi,
Wacha Samia aitwe Samia mkuu,
Mungu amemleta huyu kwa maksudi kabisa ili awasaidie Watanzania
Acha uchawa fanya kazi Acha kupotosha.Unataka mafuta yafikie elfu 4,000 ndio muongee zaidi?
Usifanye mchezo na TZS 100BL kwa kila mwezi,
Wacha Samia aitwe Samia mkuu,
Mungu amemleta huyu kwa maksudi kabisa ili awasaidie Watanzania
We una macho ya kilevi kama yangu[emoji23][emoji23]Hii picha ivi naona vibaya,mbona kama alcohol yupo na tinted anacheck Samia akitaka kumwambia kuwa.......[emoji15]
Ivi wewe mtu unadini kweli?
Hivi ni kweli huoni kazi kubwa na nzuri inayofanya na Rais wetu?
Mnyonge mnyongeni ila haki yake pia mpeni,
MATAGA ile slogan yenu ya 'make Chato great again' imeishia wapi? Pressure zitawaua awamu hii. No one cares of you idiots.Anaboresha miundombinu ya kazi gani?
Si Burundi, DRC, Uganda nao wanayo mibovu kama ya kwetu tu hivyo atulie.
Au hiyo excuse ipo kwenye bei ya mafuta na kukatika kwa umeme pekee.
🤣🤣🤣🤣🤸We una macho ya kilevi kama yangu[emoji23][emoji23]
Kilio chenu na nani aseee...Hapa tumepata Raisi,kilio chetu Mungu amekisikia.
Amefanya nn Cha maana?Ivi wewe mtu unadini kweli?
Hivi ni kweli huoni kazi kubwa na nzuri inayofanya na Rais wetu?
Mnyonge mnyongeni ila haki yake pia mpeni,