ricostersundi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 358
- 447
Kwa wanaoishi kwa mashemeji na wasiojitambuaHuyu mama akiongea tu lazima ufurahi,
Mama apewe support kuelekea 2025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wanaoishi kwa mashemeji na wasiojitambuaHuyu mama akiongea tu lazima ufurahi,
Mama apewe support kuelekea 2025
View attachment 2316136
Wasalaam,
Akiendelea na ziara yake jijini Mbeya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameendelea kusisitiza uwajibikaji kwa viongozi wote wa Serikali kuanzia yule wa chini hadi yule ya juu,
Rais ameenda mbali kwa kutumia msemo maarufu wa vijana "Wanikizingua Nawazingua " sasa wewe RC, DC, DED,DAS zingua kwenye 18 za mama uone,
Aidha Rais Samia amefurahishwa Sana na ujenzi wa Jengo bora la mkuu wa Mkoa wa Mbeya, ( Value for Money )
Pamoja na mambo mengine Rais amewahakikishia Watanzania kuwa Serikali yake itaendelea kuboresha miundombinu ya kutolea huduma na wahudumu,
Mtakumbuka Rais yuko Jiji Mbeya kwa ziara ya siku tatu huku akitarajiwa kufunga maonesho ya kibiashara ya "Nanenane" ambayo mwaka huu yanafanyika Kitaifa Mkoani Mbeya,
Rais pia hakusita kuwatahadharisha DCs, DED & DAS kuhusu mkeka mpya,
Sisi wananchi,tunaiona kazi nzuri,na tumefurahi.Ivi wewe mtu unadini kweli?
Hivi ni kweli huoni kazi kubwa na nzuri inayofanya na Rais wetu?
Mnyonge mnyongeni ila haki yake pia mpeni,
Wananchi wengi,tunaona mabadiliko,na maendeleo.Abarikiwe sana.Mungu wetu anamasikio na anamacho,
Huyu Mama tumepewa na Mungu mwenyewe,
Hii hata Mbowe na Lissu watakubaliana na Mimi,
Unataka mafuta yafikie elfu 4,000 ndio muongee zaidi?
Usifanye mchezo na TZS 100BL kwa kila mwezi,
Wacha Samia aitwe Samia mkuu,
Mungu amemleta huyu kwa maksudi kabisa ili awasaidie Watanzania
Huyu mama akiongea tu lazima ufurahi,
Mama apewe support kuelekea 2025
Wanaumia,wakiona,mama anasonga mbele,na wananchi,tunampenda,na kumkubali asilimia mia moja.Mungu ampe uzima na afya.Hawa Chadema ni kama wale wapinga kristo kwani kila kitu kwao ni kibaya tu
Amen
Hoyeeeeeee.Rais Samia hoyeee! (In Amani Karume's voice).
Asante kwa kutufahamisha wananchi.Tunampenda Rais wetu.Kiufupi Rais Samia kapata a warm welcome Mkoani Mbeya hadi kafurahia mwenyewe..
Moja ya sifa nimejifunza kwake anaonekana ana stamina kubwa ya sifa za wapambe ,hakuna maamuzi ya kuhemka na anawachana live,pesa zikusanywe ndio huduma zinazodaiwa zije..
Pia sababu kubwa ni Kumpata Spika Tulia a k a dada wa connection,pia sababu ya kujenga Barabara ya njia 4 km 32 hapo Mjini.
Watanzania tunaendelea kuwa na Imani na mh mama Samia suluhu Hassan kwa namna anavyoongoza nchi, Ndio maana unaona namna wanambeya walivyo furika kumlaki mh Rais wetu kipenzi Cha watanzania,
AllahLord Shiva.
View attachment 2316136
Wasalaam,
Akiendelea na ziara yake jijini Mbeya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameendelea kusisitiza uwajibikaji kwa viongozi wote wa Serikali kuanzia yule wa chini hadi yule ya juu,
Rais ameenda mbali kwa kutumia msemo maarufu wa vijana "Wanikizingua Nawazingua " sasa wewe RC, DC, DED,DAS zingua kwenye 18 za mama uone,
Aidha Rais Samia amefurahishwa Sana na ujenzi wa Jengo bora la mkuu wa Mkoa wa Mbeya, ( Value for Money )
Pamoja na mambo mengine Rais amewahakikishia Watanzania kuwa Serikali yake itaendelea kuboresha miundombinu ya kutolea huduma na wahudumu,
Mtakumbuka Rais yuko Jiji Mbeya kwa ziara ya siku tatu huku akitarajiwa kufunga maonesho ya kibiashara ya "Nanenane" ambayo mwaka huu yanafanyika Kitaifa Mkoani Mbeya,
Rais pia hakusita kuwatahadharisha DCs, DED & DAS kuhusu mkeka mpya,
Usipotoshe sema kilio cha mjinga mmoja sio kilio chetu wote Acha uzuzu wako.Hapa tumepata Raisi,kilio chetu Mungu amekisikia.
Watu wananongwa sijawahi kuona aiseUsipotoshe sema kilio cha mjinga mmoja sio kilio chetu wote Acha uzuzu wako.
Wewe na Uchadema wako utapata tabu Sana awamu hii ya 06,Kilio chenu na nani aseee...
Unapaswa kujua kuna mtu huku nipo 50/50, yaani sina ushabiki wa upepo naangalia muda na wakati.
Jiji gani lina nyumba za Udongo kati kati ya mji.Mnatuchosha kwa misifa ya kitoto.
Mwambien mbeya kama wameshindwa kuifanya ionekane na hadhi ya JIJI basi waishushe hadhi iwe manispaa wasituchoshe.
Jiji la hovyo, linachangia mapato makubwa lkn maendeleo hayaonekani kwa mkoa wala kwa walipa kodi huku kila siku wanasiasa wakija wanatia maneno ya uongo uongo na kusepa zao alafu mipumbavu michache inakuja kusifia upuuzi.
Jiji gani lina nyumba za Udongo kati kati ya mji.
Nenda maeneo kama Soko matola ukajionee mwenyewe.
Jiji gani lina nyumba za Udongo kati kati ya mji.
Nenda maeneo kama Soko matola ukajionee mwenyewe.
Jiji gani lina nyumba za Udongo kati kati ya mji.
Nenda maeneo kama Soko matola ukajionee mwenyewe.
is this True?Jiji gani lina nyumba za Udongo kati kati ya mji.
Nenda maeneo kama Soko matola ukajionee mwenyewe.