Rais Samia: Wakuu wa Mashirika walikuwa wanakopa fedha Benki ili walipe Gawio Serikalini kulinda vibarua vyao

Rais Samia: Wakuu wa Mashirika walikuwa wanakopa fedha Benki ili walipe Gawio Serikalini kulinda vibarua vyao

Hizo ni habari za kufikirika na kuambiwa kama ulivyosema hazina ushahidi na pia sikumbuki na sijawahi sikia popote kama mrema alishakua rais au waongelea mrema yupi?
Kabla ya utumbuaji lazima ufanye analysis.

Kuna wakati fulani nilipewa scenario ya Mrema na mhasibu fulani wa taasisi(Sina hakika na credibility ya nilichoambiwa). Mhasibu alishauri kuwa hizi pesa hazifai kutumika katika siasa sababu zina wamiliki wake ila Mrema akatoa direct order kuwa zitumike na ikawa hivyo. Baadae katika kutekebisha huwezi mtumbua mhasibu unless hana ushahidi kuwa alikuwa against hizo instructions au utumbuaji ufanyike kwa ajili ya manufaa ya kisiasa.

Kama palikuwa na direct instructions kutoka wizarani au serikali kuu na mkurugenzi alionyesha kuwa si sahihi ila akatii maelekezo anatumbuliwa kwann?

Kukopa sio uozo. Kutoa gawio kama kuna faida pia nibsahihi. Kukopa halafu ukatoa faida huku una hasara hapo ndipo tatizo lilipo.
 
Umejificha kwenye kichaka cha chuki. Kama sio tatizo kwann unatoa povu hapa
Umejificha kwenye kichaka cha kushtukia unasahu kuwa shirika la uma linaweza kufanya kazi kwa maelekezo ya serikali kuu na pia shirika kukopa na kutoa gawio si tatizo.

Tatizo ni kutoa gawio huku una hasara. Na gawio ulilitoa kwa kutumia mkopo ambao huenda uliidhinishiwa kwa malengo mengine.
 
Hizo ni habari za kufikirika na kuambiwa kama ulivyosema hazina ushahidi na pia sikumbuki na sijawahi sikia popote kama mrema alishakua rais au waongelea mrema yupi?
Sidhani kama unaelewa. Kwa jibu hili sidhani kama tutaelewana ndugu Numbisa.
 
Umejificha kwenye kichaka cha chuki. Kama sio tatizo kwann unatoa povu hapa
Ndo maana nikasema hatuwezi kuelewana. Ila kwa kuhitimisha, ni jukumu la walio hai kuiongoza hii nchi. Kama kuna makosa yatakosolewa na kurekebishwa bila kujali hisia za wanaowakumbuka waliotangulia.
 
Hatutaelewana sababu unaleta habari za kuambiwa
Ni jukumu la walio hai kuiongoza hii nchi. Kama kuna makosa yatakosolewa na kurekebishwa bila kujali hisia za wanaowakumbuka waliotangulia.
 
Kwa kuhitimisha tu walio hai wameelemewa na mizigo waliyodhani ni saizi yao kumbe imewazidi uwezo wamebaki kumsimanga Marehemu wakidhani itawapa nafuu na visingizio kwa wananchi
Ndo maana nikasema hatuwezi kuelewana. Ila kwa kuhitimisha, ni jukumu la walio hai kuiongoza hii nchi. Kama kuna makosa yatakosolewa na kurekebishwa bila kujali hisia za wanaowakumbuka waliotangulia.
 
Kwa kuhitimisha tu walio hai wameelemewa na mizigo waliyodhani ni saizi yao kumbe imewazidi uwezo wamebaki kumsimanga Marehemu wakidhani itawapa nafuu na visingizio kwa wananchi
Hizi ndizo hisia za walio hai wenye kuguswa na waliotangulia ambazo nazirudia tena:

Ni jukumu la walio hai kuiongoza hii nchi. Kama kuna makosa yatakosolewa na kurekebishwa bila kujali hisia za wanaowakumbuka waliotangulia.
 
Ujumbe umeelewa. Kumsakama Marehemu haisaidii kuipeleka mbele nchi wala kuwafurahisha waja
Hizi ndizo hisia za walio hai wenye kuguswa na waliotangulia ambazo nazirudia tena:

Ni jukumu la walio hai kuiongoza hii nchi. Kama kuna makosa yatakosolewa na kurekebishwa bila kujali hisia za wanaowakumbuka waliotangulia.
 
Ujumbe umeelewa. Kumsakama Marehemu haisaidii kuipeleka mbele nchi wala kuwafurahisha waja
Mm nakazia hapa:

Ni jukumu la walio hai kuiongoza hii nchi. Kama kuna makosa yatakosolewa na kurekebishwa bila kujali hisia za wanaowakumbuka waliotangulia.
 
Sio kwamba JPM alikuwa hajui hili haiwezekani taasisi kubwa kama ya Rais asijue hili ila lilipata baraka zote na hasa dhumuni ilikuwa ni kisiasa zaidi kuonesha kuwa sasa mambo yanaenda vizuri uchumi unakuwa mpaka mashirka yanazalisha na wanaingiza faida mpaka kutoa mgao wa serikali lakini kiuhalisia toka nadhani nchi hii ipate uhuru mashirika yamekuwa yakiishi kwa ruzuku tu toka serikalini pesa za kodi sasa ghafla wanagawa faida? Raisi alikuwa anajuwa watu wake wanajuwa ila ilikuwa wana istage kisiasa zaidi.
 
Fifth Phase Ilikuwa awamu ya wapigaji na wajanja tangu nchi hii ipate Uhuru pathetic
 
Ujumbe umeelewa. Kumsakama Marehemu haisaidii kuipeleka mbele nchi wala kuwafurahisha waja
Usisahau na hili pia:
Ni jukumu la walio hai kuiongoza hii nchi. Kama kuna makosa yatakosolewa na kurekebishwa bila kujali hisia za wanaowakumbuka waliotangulia.
 
Rais Samia amesema Mashirika ya Umma hayafanyi vizuri na kuna baadhi ya Viongozi wao walikuwa wanakopa fedha Benki ilu walipe Gawio serikalini kulinda vibarua vyao

Rais Samia amesema Mashirika ya Umma yote yataangaliwa upya

Source ITV

======

“Najua miaka iliyopita kuna kipindi maalumu ilikuwa ni lazima mashirika yatoe dividends (gawio) na kwa sababu yalikuwa haya- perform wengi wenu mlikuwa mnaingia mabenki huko mkakopa, mkaingia wapi huko... mkakopa ilimradi unalinda kibarua chako,”

“Unapeleka check tarehe fulani... check hii hapa shirika limechangia lakini kumbe uzalishaji ni zero, kwa hiyo muende mkasimamie mashirika yazalishe,”
View attachment 2311657
Hii legacy inapopolewa hatari.

thetallest njoo ulinde legacy
 
Huyu mama anayajua mauchafu yote ya yule bwana wa kaburini
 
Ujumbe umeelewa. Kumsakama Marehemu haisaidii kuipeleka mbele nchi wala kuwafurahisha waja
Usisahau na hili pia:
Ni jukumu la walio hai kuiongoza hii nchi. Kama kuna makosa yatakosolewa na kurekebishwa bila kujali hisia za wanaowakumbuka waliotangulia.
 
Back
Top Bottom