Rais Samia: Waliopokea ongezeko la gharama za ununuzi wa ndege ya mizigo waachie nafasi zao watupishe

Unatukana nini Mama...

Pole. Chukua hatua.

Hiyo midege hatuitaki..
Wanaoitaka ni wale wanaofungua dunia hii katika masuala ya utalii na muingiliano wa watu wa mataifa mbalimbali.

Wanaoitaka ni wale wenye kujua maana ya wingi wa watalii huko mbugani na uhusiano wake katika ukuzaji wa bajeti halisi ya nchi.
 
Hiyo ndio nidhamu aliyoitaka makazini, maana alidai Awamu iliyopita watu walikuwa na Nidhamu ya Woga.

Nadhani amegundua sasa kuwa katika hiyo nafasi hakuna kuchekacheka, au avune mabua.
 
Wanaoitaka ni wale wanaofungua dunia hii katika masuala ya utalii na muingiliano wa watu wa mataifa mbalimbali.

Wanaoitaka ni wale wenye kujua maana ya wingi wa watalii huko mbugani na uhusiano wake katika ukuzaji wa bajeti halisi ya nchi.
Hassara tupu..
 
Tule kulingana na urefu wa kamba
 
Leo namuona yule mnafiki wa ACT Ayatollah Zitto Kabwe anakazania eti iundwe tume ya Kijaji kuchunguza pesa za Plea Bargaining wakati TRC tumepigwa parefu sana!
Zitto ameshaajitoa ufaham siku hizi ana macho lakini haoni ..
 
Tuwajue kwa majina wale wote waliohusika kwenye suala zima la ndege kuongeza cha juu, nasema tuwajue kwa majina, nafikiri pia muda umefika wananchi tuache tofauti zetu za udini na siasa, tuipiganie nchi kwa kuwataka wezi watoke na kufilisiwa, kuwaacha watazoea, nasema tuwajue kwa majina.
 
Tumjue pia aliyekopa mabilioni kwenye benki tano halafu akafanikiwa kusepa..!!!
 
Dili kubwa kama hiyo haiwezi kufanyika bila Rais kujua na kushiriki, no way
 
Ladis Matiioiiiiiii
 
mm sioni vyama vya kutetea maslai ya raia hata vikikemea image vipo kama havipo ila wakina giggy na kina mwaka wakifanya tukio huko watu wanaitisha hadi press hii sio kawaida kabisa kuna kitu hakipo sawa..
 
Hivi ndo ishaaisha hii,au tusubilie lingine,bado tunafuatlia,tutajieni tu walikwiba hiii pesa,tuwajue kwa majina yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…