Muda utatoa majibu sahihi.kaa utulie chawa.Uongo gani tofauti na mnayoongea?
Anajisifia uongo upi? Huoni matokeo ya kazi zake au una shida zingine?
Kitu kimeuzwa mlitaka kisipakwe mafuta??My Take
Mlisema Samia ameuza Bandari Kuna bango lenu hili hapa, ni spana tuu Kwa kwenda mbele.
Tafuteni hoja nyingine ππ
======
βTPA (Mamlaka ya Bandari Tanzania) mwaka jana (2023) nina hakika kiwango chenu hakikuwa hiki, lakini kwa mageuzi yaliyotokea bandarini mmeweza kufikia kiwango hiki na mwakani tunatarajia kiwango kikubwa zaidi pengine mara mbili yake ya hiki mlicholeta leo, hakuna sababu kama mtaendesha bandari na sekta iliyopo pale na pale kuna watu wawili ambao tumeshawaruhusu.
Mmeomba maombi zaidi lakini hata wale wawili mwakani mnaweza kuleta mara mbili ya hiki kiwango na huko ndiko tulikuwa tunaelekea ndugu zangu . Wale waliopiga kelele mama kauza bahari sijui mama kauza bandari mama kauza nini mama kauza..mauzo yale faida yake ni hii hapa leo, na huu ni mwanzo tutatarajia kutapata faida kubwa zaidi kwa bandari zetu zote kubwa ambazo zipo ndani ya nchiβ- Dkt. Samia.
View: https://www.instagram.com/reel/C8E2TrhNxHA/?igsh=MWNhMXI1cWM2dGVvMQ==
Watanganyika mnapatikana Nchi gani?Kitu kimeuzwa mlitaka kisipakwe mafuta??
Kwanini mnatutukana Watanganyika!?
Samia hafanyi maigizo,ambao hawapati faida Gawio la nini? Wanatoa wapi?
Na mama ndio alitumegea Siri kwamba hataki ule ujinga wa kampuni kukopa Benki na kutoa Gawio kama ilivyokuwa awamu ya 5.
Kwa kasi hii kumbe DPW watatufaa sana.Kama wamekabidhiwa rasmi bandari hata mwezi mmoja haujaisha wametoa gawio hilo,je baada ya mwaka mmoja itakuwaje.
Aache uongo na usanii. Tunaofuatilia tunajua hao DP wanaopigiwa chapuo wala hawajaanza au ndiokwanza wanakabidhiwa shughuli. Kama kuna ongezeko la mapato ni zao la TPA inayoendeshwa bado na wazalendo. Hii pia inaonyesha kukiwa na usimamizi madhubuti wa serikali kwa bandari inawezekana kuwepo ufanisi bila kukabidhi bandari yetu kwa mwekezaji kama DP. Huyu ni mwekezaji nchi nyingi ameingia mikataba ya kilaghai kujidai anawekeza huku nchi husika imeshawekeza hela zake kibao kisha wao kutaka kumiliki kama bandari ni mali yao. Licha ya mifano mingi kama ule wa Djibuti sisi tumejiingiza kichwakichwa.My Take
Mlisema Samia ameuza Bandari Kuna bango lenu hili hapa, ni spana tuu Kwa kwenda mbele.
View: https://www.instagram.com/reel/C8Gytt4tTbd/?igsh=MTVuanU0MDdoNTJiYw==
Tafuteni hoja nyingine ππ
======
βTPA (Mamlaka ya Bandari Tanzania) mwaka jana (2023) nina hakika kiwango chenu hakikuwa hiki, lakini kwa mageuzi yaliyotokea bandarini mmeweza kufikia kiwango hiki na mwakani tunatarajia kiwango kikubwa zaidi pengine mara mbili yake ya hiki mlicholeta leo, hakuna sababu kama mtaendesha bandari na sekta iliyopo pale na pale kuna watu wawili ambao tumeshawaruhusu.
Mmeomba maombi zaidi lakini hata wale wawili mwakani mnaweza kuleta mara mbili ya hiki kiwango na huko ndiko tulikuwa tunaelekea ndugu zangu . Wale waliopiga kelele mama kauza bahari sijui mama kauza bandari mama kauza nini mama kauza..mauzo yale faida yake ni hii hapa leo, na huu ni mwanzo tutatarajia kutapata faida kubwa zaidi kwa bandari zetu zote kubwa ambazo zipo ndani ya nchiβ- Dkt. Samia.
View: https://www.instagram.com/reel/C8E2TrhNxHA/?igsh=MWNhMXI1cWM2dGVvMQ==
politicians in shithole countries ni sawa na kinyesi..kwa hiyo hilo gawio tumepewa na DP world?
..bila DP world tulikuwa hatuna uwezo wa kupata gawio hilo?
Muda ndio umeshaanza kuyatoa hayo majibu,Sasa wewe nyumbu unasubiria majibu gani tofauti na haya? ππMuda utatoa majibu sahihi.kaa utulie chawa.
How? Mbona unavuja povu kama imewekwa?Serikali ya mafisadi. Stupid
Ndio hivyo hivyo ulivyosikia,mabilioni yanamimimika sasaKwa hiyo kakubali kweli aliuza, na nimesikia kasrma huu ni mwanzo tu.....π’
Soma maelezo ya Mbossso acha kuongea ujinga mnalishana na Nyumbu wenzio huko ufipa ππAache uongo na usanii. Tunaofuatilia tunajua hao DP wanaopigiwa chapuo wala hawajaanza au ndiokwanza wanakabidhiwa shughuli. Kama kuna ongezeko la mapato ni zao la TPA inayoendeshwa bado na wazalendo. Hii pia inaonyesha kukiwa na usimamizi madhubuti wa serikali kwa bandari inawezekana kuwepo ufanisi bila kukabidhi bandari yetu kwa mwekezaji kama DP. Huyu ni mwekezaji nchi nyingi ameingia mikataba ya kilaghai kujidai anawekeza huku nchi husika imeshawekeza hela zake kibao kisha wao kutaka kumiliki kama bandari ni mali yao. Licha ya mifano mingi kama ule wa Djibuti sisi tumejiingiza kichwakichwa.
Tutaisoma namba hakika. Komba popote ulipo .....Ndio hivyo hivyo ulivyosikia,mabilioni yanamimimika sasa
Wala huelewi kama gawio linatoka kwa kipindi fulani cha utendaji kwa mfano mwaka. Sasa uwekezaji gani miezi miwili mitatu kuwepo gawio. Usanii mtupu. Wewe ndio chawa wala hujui.Soma maelezo ya Mbossso acha kuongea ujinga mnalishana na Nyumbu wenzio huko ufipa ππ
View: https://www.instagram.com/p/C8Ht26kMeDf/?igsh=eWlxY2ljY3I3YnZ6Mjinga tu
Safi kabisa na muisomeTutaisoma namba hakika. Komba popote ulipo .....
Soma maelezo ya Mbossso,usiniulize maswali ya kijinga au hujaelewa nini hapo?Wala huelewi kama gawio linatoka kwa kipindi fulani cha utendaji kwa mfano mwaka. Sasa uwekezaji gani miezi miwili mitatu kuwepo gawio. Usanii mtupu. Wewe ndio chawa wala hujui.
Ila tunaumia wote hii iko waz, mara ya mwisho umeenda lini kijijini kwenu Mkuu?Safi kabisa na muisome
Unaumia wewe ambae unadhani Samia anakuimiza ila Mimi nafurahia kazi yake ,Sasa naumiaje hapo?Ila tunaumia wote hii iko waz, mara ya mwisho umeenda lini kijijini kwenu Mkuu?