USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Kuna watu hawapajui ikuluYeye mwenyewe alikaa miaka 23.Msidanganyike Ikulu ni Paradiso ya duniani. Imagine kuwa number moja wa nchi.
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu hawapajui ikuluYeye mwenyewe alikaa miaka 23.Msidanganyike Ikulu ni Paradiso ya duniani. Imagine kuwa number moja wa nchi.
Very rare lakini labda auawe!!!Marais wa huko dunia ya Kwanza wanakufa wakiwa madarakani sembuse huku nchi za maskini?
Wakavue sanagalaKatoa tahadhari mapema ili wale wanaojipanga waanze kutafuta shughuli za kufanya.
Umedanganywa ukiwa wapi?Aombe basi hata hiyo 2025 afike basi, miezi sita tu toka aingie madarakani mama wa watu kachoka na kuchokwa vibaya, makada wenyewe wanajipanga kumtengua mapema.
Very rare lakini labda auawe!!!
Nadhani atakuwa amerusha jiwe gizani ili reaction ionekane,Amejisahau akaropoka nia aliyo nayo
umesoma katiba lakini? anaruhusiwa kugombea mara moja tu kama katiba itafuatwaKatiba ipi?!!.. wakati Raisi lazima achaguliwe tena kwenye uchaguzi mkuu!!..Huyu atachukua 14 Years kutengeneza historia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jiwe na ukatili wake na ubabe wake Ila jasho lilimtoka 2020.
Huyu bibi Hangaya Hadi kufika hiyo 2025 atakuwa kishasusa
[emoji23][emoji23][emoji23] Ma sisiemuLeo ndo unalijua hilo ndugu? Kuna mwanaCCM mmoja aliwahi nukuliwa alisema kuwa ushindi kwao hainaga cha Mungu akipenda mana kwao Mungu apende hasipende ushindi kwao uhakkika.
Mpole sana.Sio ruthlessAsha-Rose Migiro anawachekiiii anasema hiiiiii
Jipe moyo ila kwa taarifa yako mama atashinda kwa kishindo kwa sababu watanzania tunamwelewaHakuna atakayemchagua labda mizimu
Politics type... sio mtendaji mzuri wala mfuatiliaji makini.vipi kuhusu anna Tibaijuka?
Kudra maana yake ni mpango wa Mungu, yaani ni kwa mpango wa Mungu ndivyo alivyotaka iweWewe ukifa then anayekufuata akarithi kiti utasema ni baraka toka kwa Mungu amerithi kiti chako??? Au mi ndiyo sielewi?
Tunahitaji kubembelezwa zaidi. Watu wazima kuambiwa peleka mavi yako nyumbani tumechoka.Mpole sana.Sio ruthless
Inasikitisha sana. Yaani kifo cha Dkt JPM kwa kauli ya Mama na Waziri Mkuu enzi zile zinaashiria kilichotokea kilipangwa ndiyo maana waziri mkuu alisema kuwa Dkt JPM anaendelea vizuri kumbe tayari alikuwa kesha kufa. Ila mafisadi watashindwa tu.Kudra maana yake ni mpango wa Mungu, yaani ni kwa mpango wa Mungu ndivyo alivyotaka iwe