Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Wewe ni mwehu.Sasa Ninyi endeleeni kuleta kiburi na kuvunja sheria kwa makusudi mkifikiri mtaendelea kufumbiwa Macho muda wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mwehu.Sasa Ninyi endeleeni kuleta kiburi na kuvunja sheria kwa makusudi mkifikiri mtaendelea kufumbiwa Macho muda wote.
Waliotekwa wanaendelea kutafutwa na uchunguzi wa kina unaendelea kufanyika.lakini hata wewe kama una taarifa zozote zinazoweza kusaidia uchunguzi au kupatikana kwa wahusika unaweza kusaidia kwa kutoa taarifa kwa jeshi la polisi.Watu wanatekwa na kuuliwa, ufisadi na upendeleo kwa wazanzibar wenzake ndiyo maendeleo?
Fuateni na kuzingatia sheria na siyo kuvunja sheria kwa makusudi halafu mnakuja na kuanza kulialia hapa.Masimango yameanza sasa.
Taratibu uhalisia wa tabia zake unaanza kuonekana
We ni mwendawazimu, intelijensia ya kujua CHADEMA wanapanga kumpindua ipo juu lakini ya kukamata watekaji na wauaji ambao ni CCM wenzako haipo, shame on youWaliotekwa wanaendelea kutafutwa na uchunguzi wa kina unaendelea kufanyika.lakini hata wewe kama una taarifa zozote zinazoweza kusaidia uchunguzi au kupatikana kwa wahusika unaweza kusaidia kwa kutoa taarifa kwa jeshi la polisi.
Uache uropokaji wako.
Watu wamemuelewa vyema Rais wetu na kumuunga mkonoWatu wengi wamebubujikwa na machozi ya furaha, baada ya maneno hayo ya busara ya Laisi wetu
CHADEMA ni lazima washughulikiwe na kuwa nao chonjo sana maana wamekuwa na kauli za kichochezi na zenye kuhatarisha usalama wa TaifaWe ni mwendawazimu, intelijensia ya kujua CHADEMA wanapanga kumpindua ipo juu lakini ya kukamata watekaji na wauaji ambao ni CCM wenzako haipo, shame on you
Waanze na UWT yenuCHADEMA ni lazima washughulikiwe na kuwa nao chonjo sana maana wamekuwa na kauli za kichochezi na zenye kuhatarisha usalama wa Taifa
Kmmke .....hata kuandika tu hujui..Laisi ndio nini?Watu wengi wamebubujikwa na machozi ya furaha, baada ya maneno hayo ya busara ya Laisi wetu
Moja ya 4R za Mama ni ustahimilivu kwa hiyo vyema akaziishi kama anavyonadiNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Samia Suluhu Hasssan,ameongea kwa uchungu sana,kwa maumivu makali sana na kwa hisia kali sana zilizogusa mioyo ya watu wengi sana. Pale alipoelezea juhudi zake kubwa za kuliunganisha Taifa na kuwaleta pamoja watanzania tangia pale alipokula kiapo cha Urais wa Taifa letu.
Ameeleza namna alivyokuja na 4R katika kujenga kuaminiana na kuliunganisha Taifa ambalo lilikuwa limegawanyika kutokana na itikadi za kisiasa ,mpaka kupelekea watu wengine kukimbia nchi.na hapa mnaweza kukumbuka Lissu na Lema walivyokimbilia uhamishoni.
Rais wetu mpendwa amesema ni katika hali hiyo aliamua kuja na mpango wa 4R ili watu wote tuishi kama Taifa na tujenge Taifa letu kwa pamoja.amesema lakini kwa bahati mbaya sana kuna watu wamesahau ni wapi tulikotoka,ni wapi na mangapi na magumu mangapi wameyapitia katika maisha yao.lakini leo wameyasahau yote na kuanza kuleta vurugu,lugha za kichochezi, uchonganishi,uzushi na uongo na kupanga mipango ovu.
Amesema hata hivyo haishangazi kwa sababu kuna watu wenyewe hawapendi kuishi katika amani au kuona Taifa na nchi ikiwa katika Amani.ndio maana watu wa aina yao muda wote wanataka mavurugu vurugu tu.amesema hata hivyo hata sita kuwachukulia hatua kali za kisheria watakao jaribu kuchezea amani ya Taifa letu.Na kwamba 4R ni katika kutuungaisha na kutuleta pamoja watanzania na siyo kwa ajili ya kuvunja sheria .amesema sheria zipo palepale na zitatumika kama inavyotakiwa kwa mujibu wa katiba.
Nami Mwashambwa Lucas namuunga mkono Mheshimiwa Rais wetu mpendwa.Embu fikiria ndugu zangu Mtu kama lissu hivi anaanzia wapi kumtukana,kumbagua ,kumtweza na kumtolea lugha za kumshushia heshima Mheshimiwa Rais wetu? Anaanzia wapi kumdharau Rais Samia ndugu zangu?anaanzia wapi kuona Rais Samia hafai? Anaanzia wapi kuona na kusema Rais Samia ni Dikteta? Lissu anawafahamu madikteta? Anawafahamu viongozi makatili?
Hivi Lissu angeanzia wapi kukanyaga katika ardhi ya Tanzania akiwa hai kama siyo Rais Samia? Angeanzia wapi kuja kupanda katika majukwaa yaliyo katika ardhi ya Tanzania na kutia matusi yake na bado akaachwa tu? Angeanzia wapi kuja hapa Nchini mpaka kupata nafasi ya kuchangiwa pesa za gari ikiwepo kutoka CCM? Angeanzia wapi Lissu kuja kuvuta oksijeni ya Tanzania? Angepata wapi nafasi ya kwenda hadi kusalimia ndugu zake kijijini kwake , kuhudhuria kanisani ,kuonana na rafiki zake ,kushiriki moja kwa moja mikutano ya chama chake?
Angepata wapi nafasi hiyo lissu kama siyo Mama yetu Mpendwa Rais Samia? Nani aliyemrejesha Nchini Kama siyo Rais Samia? Nani aliye mfuata hadi ulaya na kumhakikishia usalama akirejea Nchini kama siyo Rais Samia? Amesahau haya yote? Alikuwa na kesi ngapi mahakamani? Amefunguliwa kesi gani mahakamani wakati huu wa Rais Samia licha ya Lissu kutukana mimatusi yake na kutoa lugha zake za kibaguzi na kichochezi?
Kwanini anakosa shukurani na kutambua mchango na nguvu ya Rais Samia katika kuimarisha demokrasia, utulivu,amani na umoja wa kitaifa? Nani alimtembelea hospitalini kama siyo Rais Samia?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Samia Suluhu Hasssan,ameongea kwa uchungu sana,kwa maumivu makali sana na kwa hisia kali sana zilizogusa mioyo ya watu wengi sana. Pale alipoelezea juhudi zake kubwa za kuliunganisha Taifa na kuwaleta pamoja watanzania tangia pale alipokula kiapo cha Urais wa Taifa letu.
Ameeleza namna alivyokuja na 4R katika kujenga kuaminiana na kuliunganisha Taifa ambalo lilikuwa limegawanyika kutokana na itikadi za kisiasa ,mpaka kupelekea watu wengine kukimbia nchi.na hapa mnaweza kukumbuka Lissu na Lema walivyokimbilia uhamishoni.
Rais wetu mpendwa amesema ni katika hali hiyo aliamua kuja na mpango wa 4R ili watu wote tuishi kama Taifa na tujenge Taifa letu kwa pamoja.amesema lakini kwa bahati mbaya sana kuna watu wamesahau ni wapi tulikotoka,ni wapi na mangapi na magumu mangapi wameyapitia katika maisha yao.lakini leo wameyasahau yote na kuanza kuleta vurugu,lugha za kichochezi, uchonganishi,uzushi na uongo na kupanga mipango ovu.
Amesema hata hivyo haishangazi kwa sababu kuna watu wenyewe hawapendi kuishi katika amani au kuona Taifa na nchi ikiwa katika Amani.ndio maana watu wa aina yao muda wote wanataka mavurugu vurugu tu.amesema hata hivyo hata sita kuwachukulia hatua kali za kisheria watakao jaribu kuchezea amani ya Taifa letu.Na kwamba 4R ni katika kutuungaisha na kutuleta pamoja watanzania na siyo kwa ajili ya kuvunja sheria .amesema sheria zipo palepale na zitatumika kama inavyotakiwa kwa mujibu wa katiba.
Nami Mwashambwa Lucas namuunga mkono Mheshimiwa Rais wetu mpendwa.Embu fikiria ndugu zangu Mtu kama lissu hivi anaanzia wapi kumtukana,kumbagua ,kumtweza na kumtolea lugha za kumshushia heshima Mheshimiwa Rais wetu? Anaanzia wapi kumdharau Rais Samia ndugu zangu?anaanzia wapi kuona Rais Samia hafai? Anaanzia wapi kuona na kusema Rais Samia ni Dikteta? Lissu anawafahamu madikteta? Anawafahamu viongozi makatili?
Hivi Lissu angeanzia wapi kukanyaga katika ardhi ya Tanzania akiwa hai kama siyo Rais Samia? Angeanzia wapi kuja kupanda katika majukwaa yaliyo katika ardhi ya Tanzania na kutia matusi yake na bado akaachwa tu? Angeanzia wapi kuja hapa Nchini mpaka kupata nafasi ya kuchangiwa pesa za gari ikiwepo kutoka CCM? Angeanzia wapi Lissu kuja kuvuta oksijeni ya Tanzania? Angepata wapi nafasi ya kwenda hadi kusalimia ndugu zake kijijini kwake , kuhudhuria kanisani ,kuonana na rafiki zake ,kushiriki moja kwa moja mikutano ya chama chake?
Angepata wapi nafasi hiyo lissu kama siyo Mama yetu Mpendwa Rais Samia? Nani aliyemrejesha Nchini Kama siyo Rais Samia? Nani aliye mfuata hadi ulaya na kumhakikishia usalama akirejea Nchini kama siyo Rais Samia? Amesahau haya yote? Alikuwa na kesi ngapi mahakamani? Amefunguliwa kesi gani mahakamani wakati huu wa Rais Samia licha ya Lissu kutukana mimatusi yake na kutoa lugha zake za kibaguzi na kichochezi?
Kwanini anakosa shukurani na kutambua mchango na nguvu ya Rais Samia katika kuimarisha demokrasia, utulivu,amani na umoja wa kitaifa? Nani alimtembelea hospitalini kama siyo Rais Samia?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Laisi Samiha, amehenda chuwoni cha gipolisi, amehongea na bhapolisiKmmke .....hata kuandika tu hujui..Laisi ndio nini?
Kama vipi mwambie awaue wote ili CCM ishinde kwa kishindo,tumechoka hii mipasho as if yeye ndiye anatupa pumzi ya uhai.Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Samia Suluhu Hasssan,ameongea kwa uchungu sana,kwa maumivu makali sana na kwa hisia kali sana zilizogusa mioyo ya watu wengi sana. Pale alipoelezea juhudi zake kubwa za kuliunganisha Taifa na kuwaleta pamoja watanzania tangia pale alipokula kiapo cha Urais wa Taifa letu.
Ameeleza namna alivyokuja na 4R katika kujenga kuaminiana na kuliunganisha Taifa ambalo lilikuwa limegawanyika kutokana na itikadi za kisiasa ,mpaka kupelekea watu wengine kukimbia nchi.na hapa mnaweza kukumbuka Lissu na Lema walivyokimbilia uhamishoni.
Rais wetu mpendwa amesema ni katika hali hiyo aliamua kuja na mpango wa 4R ili watu wote tuishi kama Taifa na tujenge Taifa letu kwa pamoja.amesema lakini kwa bahati mbaya sana kuna watu wamesahau ni wapi tulikotoka,ni wapi na mangapi na magumu mangapi wameyapitia katika maisha yao.lakini leo wameyasahau yote na kuanza kuleta vurugu,lugha za kichochezi, uchonganishi,uzushi na uongo na kupanga mipango ovu.
Amesema hata hivyo haishangazi kwa sababu kuna watu wenyewe hawapendi kuishi katika amani au kuona Taifa na nchi ikiwa katika Amani.ndio maana watu wa aina yao muda wote wanataka mavurugu vurugu tu.amesema hata hivyo hata sita kuwachukulia hatua kali za kisheria watakao jaribu kuchezea amani ya Taifa letu.Na kwamba 4R ni katika kutuungaisha na kutuleta pamoja watanzania na siyo kwa ajili ya kuvunja sheria .amesema sheria zipo palepale na zitatumika kama inavyotakiwa kwa mujibu wa katiba.
Nami Mwashambwa Lucas namuunga mkono Mheshimiwa Rais wetu mpendwa.Embu fikiria ndugu zangu Mtu kama lissu hivi anaanzia wapi kumtukana,kumbagua ,kumtweza na kumtolea lugha za kumshushia heshima Mheshimiwa Rais wetu? Anaanzia wapi kumdharau Rais Samia ndugu zangu?anaanzia wapi kuona Rais Samia hafai? Anaanzia wapi kuona na kusema Rais Samia ni Dikteta? Lissu anawafahamu madikteta? Anawafahamu viongozi makatili?
Hivi Lissu angeanzia wapi kukanyaga katika ardhi ya Tanzania akiwa hai kama siyo Rais Samia? Angeanzia wapi kuja kupanda katika majukwaa yaliyo katika ardhi ya Tanzania na kutia matusi yake na bado akaachwa tu? Angeanzia wapi kuja hapa Nchini mpaka kupata nafasi ya kuchangiwa pesa za gari ikiwepo kutoka CCM? Angeanzia wapi Lissu kuja kuvuta oksijeni ya Tanzania? Angepata wapi nafasi ya kwenda hadi kusalimia ndugu zake kijijini kwake , kuhudhuria kanisani ,kuonana na rafiki zake ,kushiriki moja kwa moja mikutano ya chama chake?
Angepata wapi nafasi hiyo lissu kama siyo Mama yetu Mpendwa Rais Samia? Nani aliyemrejesha Nchini Kama siyo Rais Samia? Nani aliye mfuata hadi ulaya na kumhakikishia usalama akirejea Nchini kama siyo Rais Samia? Amesahau haya yote? Alikuwa na kesi ngapi mahakamani? Amefunguliwa kesi gani mahakamani wakati huu wa Rais Samia licha ya Lissu kutukana mimatusi yake na kutoa lugha zake za kibaguzi na kichochezi?
Kwanini anakosa shukurani na kutambua mchango na nguvu ya Rais Samia katika kuimarisha demokrasia, utulivu,amani na umoja wa kitaifa? Nani alimtembelea hospitalini kama siyo Rais Samia?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mbara na mzenji wote ni watanzania wamoja. Hulka za kibaguzi haziishii midomoni tu.Yeye pekee na familia ake ndiyo anajiona ana haki na Tanzania kuliko hata sisi wabara wenyewe
Acha ujinga unadhani Lissu na watu wote wanyamazie na wasichukue hatua yeyote pale mauaji holela yakiyekelezwa na viongozi wao kutekwa,kuuwa baada ya kumwagiwa tindikali sababu ya 4R Uchwara?Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Samia Suluhu Hasssan,ameongea kwa uchungu sana,kwa maumivu makali sana na kwa hisia kali sana zilizogusa mioyo ya watu wengi sana. Pale alipoelezea juhudi zake kubwa za kuliunganisha Taifa na kuwaleta pamoja watanzania tangia pale alipokula kiapo cha Urais wa Taifa letu.
Ameeleza namna alivyokuja na 4R katika kujenga kuaminiana na kuliunganisha Taifa ambalo lilikuwa limegawanyika kutokana na itikadi za kisiasa ,mpaka kupelekea watu wengine kukimbia nchi.na hapa mnaweza kukumbuka Lissu na Lema walivyokimbilia uhamishoni.
Rais wetu mpendwa amesema ni katika hali hiyo aliamua kuja na mpango wa 4R ili watu wote tuishi kama Taifa na tujenge Taifa letu kwa pamoja.amesema lakini kwa bahati mbaya sana kuna watu wamesahau ni wapi tulikotoka,ni wapi na mangapi na magumu mangapi wameyapitia katika maisha yao.lakini leo wameyasahau yote na kuanza kuleta vurugu,lugha za kichochezi, uchonganishi,uzushi na uongo na kupanga mipango ovu.
Amesema hata hivyo haishangazi kwa sababu kuna watu wenyewe hawapendi kuishi katika amani au kuona Taifa na nchi ikiwa katika Amani.ndio maana watu wa aina yao muda wote wanataka mavurugu vurugu tu.amesema hata hivyo hata sita kuwachukulia hatua kali za kisheria watakao jaribu kuchezea amani ya Taifa letu.Na kwamba 4R ni katika kutuungaisha na kutuleta pamoja watanzania na siyo kwa ajili ya kuvunja sheria .amesema sheria zipo palepale na zitatumika kama inavyotakiwa kwa mujibu wa katiba.
Nami Mwashambwa Lucas namuunga mkono Mheshimiwa Rais wetu mpendwa.Embu fikiria ndugu zangu Mtu kama lissu hivi anaanzia wapi kumtukana,kumbagua ,kumtweza na kumtolea lugha za kumshushia heshima Mheshimiwa Rais wetu? Anaanzia wapi kumdharau Rais Samia ndugu zangu?anaanzia wapi kuona Rais Samia hafai? Anaanzia wapi kuona na kusema Rais Samia ni Dikteta? Lissu anawafahamu madikteta? Anawafahamu viongozi makatili?
Hivi Lissu angeanzia wapi kukanyaga katika ardhi ya Tanzania akiwa hai kama siyo Rais Samia? Angeanzia wapi kuja kupanda katika majukwaa yaliyo katika ardhi ya Tanzania na kutia matusi yake na bado akaachwa tu? Angeanzia wapi kuja hapa Nchini mpaka kupata nafasi ya kuchangiwa pesa za gari ikiwepo kutoka CCM? Angeanzia wapi Lissu kuja kuvuta oksijeni ya Tanzania? Angepata wapi nafasi ya kwenda hadi kusalimia ndugu zake kijijini kwake , kuhudhuria kanisani ,kuonana na rafiki zake ,kushiriki moja kwa moja mikutano ya chama chake?
Angepata wapi nafasi hiyo lissu kama siyo Mama yetu Mpendwa Rais Samia? Nani aliyemrejesha Nchini Kama siyo Rais Samia? Nani aliye mfuata hadi ulaya na kumhakikishia usalama akirejea Nchini kama siyo Rais Samia? Amesahau haya yote? Alikuwa na kesi ngapi mahakamani? Amefunguliwa kesi gani mahakamani wakati huu wa Rais Samia licha ya Lissu kutukana mimatusi yake na kutoa lugha zake za kibaguzi na kichochezi?
Kwanini anakosa shukurani na kutambua mchango na nguvu ya Rais Samia katika kuimarisha demokrasia, utulivu,amani na umoja wa kitaifa? Nani alimtembelea hospitalini kama siyo Rais Samia?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.