Rais Samia: Wananitukana wakitaka niwajibu, sasa siwajibu..
CHADEMA wamepoteana baada ya kurushiwa makombora Mazito Mazito.kishindo chake tu kimewasamabratisha kabisa huku mitaani. Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe
Wewe jamaa kumbe mtupu sana kichwani. Umekazania eti Chadema wamepoteana kwa hotuba ya Samia,hivi kuna kipya gani alichoongea ambacho hatujawahi kusikia? Kwanza hatuna muda mchafu kusikiliza mipasho. Chadema haikupoteana kwa yule kichaa aliyetumia bunduki na mabomu ndiyo ipoteane kwa mipasho ya taarab za Samia? Aidha wewe ni mtoto mdogo sana kwenye siasa za nchi hii au upeo wako wa kuchanganua mambo ni mdogo kutokana na elimu duni ulivyokuwa nayo. Unahangaika sana kujaza machapisho yako yasiyo na maudhui yoyote, unajibenesha mzigo usiokuwa wako eti unampigania Rais. Rais hawezi kupiganiwa na mbugilambugila kama wewe bali mifumo iliyopo ndiyo inamhakikishia kura hata kama wananchi hawatampa kura,Rais hahitaji msaada wako katika hilo. Kazi unayofanya haina tija kwako kabisa ndiyo maana unaona teuzi zinatoka kila siku wewe uko hapa kugombana na watu eti unamtetea Rais. Unachofanya ni sawa na kichaa anayeranda randa mitaani kuokoteza kila aina ya takataka na kuzibeba kwenye furushi kuuubwa hata hajui anazipeleka.wapi na zitampa faidi gani. Huna hadhi ya kumtetea Rais kabisa wewe ni kidampa tu kwenye siasa za nchi hii.
 
Munamsakama Mama wa watu kwakua ni Mzanzibari, wa Zanzibar tuna desturi ya ustaarabu na utawala huu ni utawala wa kistaarabu kuwahi kutokea Tanzania na ndo maana chadomo wameishiwa hoja hawajui wafanye nini? Na kile kipare kilimbukeni kilichopo marekani naona kinajifurahisha tu. Mzanzibari na mpare wapi wapi? Zanzibar wamestarabika makrne na makarne huko nyuma leo Mzanzibari atashughulishwa na mambe kimavi? 😂😂
 
Asante Lucas, ila tafuta kazi ya kiaminika upate kipato chako.
Hii ina mwenyewe na mwenyewe yupo IKULU na mama
 
Huyu maza naye mbona ni mtukanaji mzuri tu,alimtukana professor Mkenda kumwambia nonsense, na pia aliwahi kuwatukana mawaziri kuwaita stupid au anafikiri tumesahau?
Sasa hapo matusi ni yapi, kuitwa sio mjinga/mpumbavu sio tusi
 
Wewe jamaa kumbe mtupu sana kichwani. Umekazania eti Chadema wamepoteana kwa hotuba ya Samia,hivi kuna kipya gani alichoongea ambacho hatujawahi kusikia? Kwanza hatuna muda mchafu kusikiliza mipasho. Chadema haikupoteana kwa yule kichaa aliyetumia bunduki na mabomu ndiyo ipoteane kwa mipasho ya taarab za Samia? Aidha wewe ni mtoto mdogo sana kwenye siasa za nchi hii au upeo wako wa kuchanganua mambo ni mdogo kutokana na elimu duni ulivyokuwa nayo. Unahangaika sana kujaza machapisho yako yasiyo na maudhui yoyote, unajibenesha mzigo usiokuwa wako eti unampigania Rais. Rais hawezi kupiganiwa na mbugilambugila kama wewe bali mifumo iliyopo ndiyo inamhakikishia kura hata kama wananchi hawatampa kura,Rais hahitaji msaada wako katika hilo. Kazi unayofanya haina tija kwako kabisa ndiyo maana unaona teuzi zinatoka kila siku wewe uko hapa kugombana na watu eti unamtetea Rais. Unachofanya ni sawa na kichaa anayeranda randa mitaani kuokoteza kila aina ya takataka na kuzibeba kwenye furushi kuuubwa hata hajui anazipeleka.wapi na zitampa faidi gani. Huna hadhi ya kumtetea Rais kabisa wewe ni kidampa tu kwenye siasa za nchi hii.
Kwa sasa CHADEMA imewatanyika na kusambaratika kabisa katika. Imebaki kushambuliana ninyi kwa ninyi.
 
Hii ni kauli tunaisubiri mwaka 2035 toka kwa moja ya viongozi wa nchi hii. Imekuwa kawaida kukumbuka makosa wakati kumesha kucha.

Rais mkapa aliwahi kukiri kwamba alifanya makosa kubinafisha mashirika ya umma na anasema alidanganywa na watu wake.

Kwanini wakiwa madarakani siku zote wanakuwa wakali na hawataki kusikia na yumemsikia kiongozi mmoja jana akitoa mfano wa chura kiziwi kwamba kelele wanazo piga watanzania hata hazimsimbui.
 
Kwa sasa CHADEMA imewatanyika na kusambaratika kabisa katika. Imebaki kushambuliana ninyi kwa ninyi.
Mimi nimekupinga kauli yako kuwa hotuba ya jana ya Samia imewafanya Chadema wapoteane,Chadema haiwezi kupoteana kwa mipasho.
 
Back
Top Bottom