Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kazi iendelee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uteuzi wa nafasi ipi.Hujapata teuzi TU?
Wewe jamaa kumbe mtupu sana kichwani. Umekazania eti Chadema wamepoteana kwa hotuba ya Samia,hivi kuna kipya gani alichoongea ambacho hatujawahi kusikia? Kwanza hatuna muda mchafu kusikiliza mipasho. Chadema haikupoteana kwa yule kichaa aliyetumia bunduki na mabomu ndiyo ipoteane kwa mipasho ya taarab za Samia? Aidha wewe ni mtoto mdogo sana kwenye siasa za nchi hii au upeo wako wa kuchanganua mambo ni mdogo kutokana na elimu duni ulivyokuwa nayo. Unahangaika sana kujaza machapisho yako yasiyo na maudhui yoyote, unajibenesha mzigo usiokuwa wako eti unampigania Rais. Rais hawezi kupiganiwa na mbugilambugila kama wewe bali mifumo iliyopo ndiyo inamhakikishia kura hata kama wananchi hawatampa kura,Rais hahitaji msaada wako katika hilo. Kazi unayofanya haina tija kwako kabisa ndiyo maana unaona teuzi zinatoka kila siku wewe uko hapa kugombana na watu eti unamtetea Rais. Unachofanya ni sawa na kichaa anayeranda randa mitaani kuokoteza kila aina ya takataka na kuzibeba kwenye furushi kuuubwa hata hajui anazipeleka.wapi na zitampa faidi gani. Huna hadhi ya kumtetea Rais kabisa wewe ni kidampa tu kwenye siasa za nchi hii.CHADEMA wamepoteana baada ya kurushiwa makombora Mazito Mazito.kishindo chake tu kimewasamabratisha kabisa huku mitaani. Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe
Mbona jana kakaza shingo kutoa povu kwa mipasho? Kama yeye ni jasiri angekausha apige kazi na hizo kazi zake ndiyo zitamsemea.Wapinzani kamwe hamuwezi kumpotezea Muda Rais wetu kujibu vihabari vyenu vya kizushi na uongo.
Siyo kila mtu ni chawa
Sasa hapo matusi ni yapi, kuitwa sio mjinga/mpumbavu sio tusiHuyu maza naye mbona ni mtukanaji mzuri tu,alimtukana professor Mkenda kumwambia nonsense, na pia aliwahi kuwatukana mawaziri kuwaita stupid au anafikiri tumesahau?
Kwani nani kakwambia kuwa hapa jukwaani ndio kazini kwangu? Au wewe hapa ni ofisi yako ya kukagua walioripoti?Asante Lucas, ila tafuta kazi ya kiaminika upate kipato chako.
Hii ina mwenyewe na mwenyewe yupo IKULU na mama
Kwa sasa CHADEMA imewatanyika na kusambaratika kabisa katika. Imebaki kushambuliana ninyi kwa ninyi.Wewe jamaa kumbe mtupu sana kichwani. Umekazania eti Chadema wamepoteana kwa hotuba ya Samia,hivi kuna kipya gani alichoongea ambacho hatujawahi kusikia? Kwanza hatuna muda mchafu kusikiliza mipasho. Chadema haikupoteana kwa yule kichaa aliyetumia bunduki na mabomu ndiyo ipoteane kwa mipasho ya taarab za Samia? Aidha wewe ni mtoto mdogo sana kwenye siasa za nchi hii au upeo wako wa kuchanganua mambo ni mdogo kutokana na elimu duni ulivyokuwa nayo. Unahangaika sana kujaza machapisho yako yasiyo na maudhui yoyote, unajibenesha mzigo usiokuwa wako eti unampigania Rais. Rais hawezi kupiganiwa na mbugilambugila kama wewe bali mifumo iliyopo ndiyo inamhakikishia kura hata kama wananchi hawatampa kura,Rais hahitaji msaada wako katika hilo. Kazi unayofanya haina tija kwako kabisa ndiyo maana unaona teuzi zinatoka kila siku wewe uko hapa kugombana na watu eti unamtetea Rais. Unachofanya ni sawa na kichaa anayeranda randa mitaani kuokoteza kila aina ya takataka na kuzibeba kwenye furushi kuuubwa hata hajui anazipeleka.wapi na zitampa faidi gani. Huna hadhi ya kumtetea Rais kabisa wewe ni kidampa tu kwenye siasa za nchi hii.
Mimi nimekupinga kauli yako kuwa hotuba ya jana ya Samia imewafanya Chadema wapoteane,Chadema haiwezi kupoteana kwa mipasho.Kwa sasa CHADEMA imewatanyika na kusambaratika kabisa katika. Imebaki kushambuliana ninyi kwa ninyi.
Hotuba ya Rais Samia imewapoteza na kuwasambaratisha kabisa CHADEMA huku mitaani.Mimi nimekupinga kauli yako kuwa hotuba ya jana ya Samia imewafanya Chadema wapoteane,Chadema haiwezi kupoteana kwa mipasho.
Kama hujaona ukakasi wa lugha hiyo kutumiwa na Rais kwa wateule wake hadharani basi huwezi kuelewa jambo lolote.Sasa hapo matusi ni yapi, kuitwa sio mjinga/mpumbavu sio tusi
Hayo ni matamanio yako lakini siyo hali halisi,umefanya utafiti gani kuja hitimisho hilo? No research no right to speak. Uchawa umepunguza sana reasoning capacity yako(kama uliwahi huwa nayo).Hotuba ya Rais Samia imewapoteza na kuwasambaratisha kabisa CHADEMA huku mitaani.
Lucas Mbwashambwa unataka kunitoa damu?Uwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais ,yaani wewe ni mgeni humu jukwaani halafu umekuja na ulimbukeni na ujinga wako humu.
Hamas waigomea UN dadeki 😂🔥