Hayo ni matamanio yako lakini siyo hali halisi,umefanya utafiti gani kuja hitimisho hilo? No research no right to speak. Uchawa umepunguza sana reasoning capacity yako(kama uliwahi huwa nayo).
Wewe una akili gani zaidi ya uchawa? Kila mtu mwenye akili hapa jukwaani anajua kuwa wewe ni hamnazo. Mali huna hata akili nazo ukose? Bora baba yako angekutoa ndagu apate hela tu kuliko kufuga zwazwa kama wewe.