Rais Samia, Watanzania kuruhusiwa kufanya kazi Kenya tuepushe na mtego huo

Rais Samia, Watanzania kuruhusiwa kufanya kazi Kenya tuepushe na mtego huo

Rotsam keshasema.....Dangote alisema,sasa ngoja mtu ajichanganye.
 
Ndiyo, nitaendelea, na unapoleta upotoshaji wako hapa nitauona na kuukataa.
Wewe ndio mpotoshaji, endelea kuota ukabila wetu, sisi wacha tuchape kazi. Btw, my seniors are from tribes you're talking about, and am proud, just wanted to let you know.
 
Wewe huna hela, ungekuwa nazo, hata Ulaya unanunua ardhi ya kuzalisha utakacho. Narudia, tafuta hela, na sio kidogo! 🤣
Sijui kama una akili ya kutosha. Unalinganisha Kenya na Ulaya! Kenya wanaopigana kwa mishale kwa sababu ya makabila? Kenya wanakataa mahindi ya TZ bila sababu?
Boss, m-TZ akitafuta ardhi Kenya ujue ana matatizo. Ardhi ya TZ inatosha kwa kila kitu. Kenya ardhi yote ya maana inashikiliwa na watu wa London, wengine wote ni labourers.
 
Nimefanya kazi na watu wenye asili ya Kenya,ni wabaguzi na WANAJIPENDEKEZA sana kwa
ma-bosi.


Naunga mkono hoja yako 100%.
 
Wewe ndio mpotoshaji, endelea kuota ukabila wetu, sisi wacha tuchape kazi. Btw, my seniors are from tribes you're talking about, and am proud, just wanted to let you know.
Mimi sioti. I'll state the facts regardless of how unpleasant they are to hear.
 
Sijui kama una akili ya kutosha. Unalinganisha Kenya na Ulaya! Kenya wanaopigana kwa mishale kwa sababu ya makabila? Kenya wanakataa mahindi ya TZ bila sababu?
Boss, m-TZ akitafuta ardhi Kenya ujue ana matatizo. Ardhi ya TZ inatosha kwa kila kitu. Kenya ardhi yote ya maana inashikiliwa na watu wa London, wengine wote ni labourers.
Raia hohehahe, anapoongea utajua tu!
 
Haya unachozungumza ndio uhalisia wa huko Kenya?? Ni Kenya ipo hiyo?
Kenya mjaluo hataki hataa kumsikia mkikuyu achilia mbali mtanzania
Ukienda na kuondoka wa kwa sio shida, shida nenda kaishi rasmi.
Umesahau Jaguar na watu wake walivyotaka kuwatimua wamachinga wa kitanzania?
Imagine, wamachinga tu ambao hawapati chochote walikuwa wanawaonea wivu, Leo ije kuwa wewe kwenda kufanya kazi au kufungua kampuni kwao.
Ni umasikini tu ndo unatusumbua sasa mitaji gani hiyo ya kimachinga? Hata kulipa kodi hailipi na mazingira yanachafuka, peleka mtaji wa maana na hata kuishi unaishi sehemu za watu wanajielewa na waliofanikiwa na siyo kwenda kuishi uswahilini watu wanastess za maisha ya chini wanaona umeenda kunyanganya fursa zao.
 
Wakenya mbona wanajikomba sana kwetu?
Wanajua WaTz ni mambulura, yapo yapo tuu. Yakipewa juice na kababu yanajiachia, mkija kushituka mara paaap mlima kilimanjaro upo kenya, mara paap oldivai gorge ipo kenya, mara paap watalii watokee kenya Masai Mara kuingia Serengeti kwa kibali kile kile maana sisi ni ndugu, mara paap Kenya Air ways iwe ina leta watalii moja kwa moja toka mabara ya ulaya na amerikka kutua JNIA, KIA, at el, pasipo kuulizwa sisi ni ndugu bhana, gesi paap ipo kenya kwa wananchi wa huko wanauziwa mtungi mdogo kwa Tsh, 8,000/= sisi waTz tuanauziwa Tsh, 28,000/-. Atakeye kuja kuvitengua hivi hadi rais wa awamu ya 10. Safari bado sana kufikia nchi ya ahadi. Rais wa awamu ya kumi baada ya miaka 40 ijayo
 
Wao wanachukua raw materials na viwanda wanavyo, sisi tunachukua kwao finished goods, Kama simu, vifaaa vya steshenari maana sisi hatutaki kutengeneza viwanda na wachache waliotengeneza viwanda wanataka wabaki wao tu Ili waendelee kuuza bila ushindani ila Mimi nasema twende kenya tukachangamke tulete viwanda kwetu Kama walivyonavyo wao na tuwe na finished goods zetu za made in Tanzania, tutengeze ajira na tumiliki makampuni, hebu tuone aibu jamani, ndo ya plastic ya kenya ni quality kuliko ya Tanzania, sufuria hivyo hivyo, sijui bati na utitili wa vitu kibao hata ream tu sasa nini tunataka ? Wakati jirani zetu wanajua vitu vizuri na tumeruhusiwa kwenda kujichanganya huko Ili tutengeneze vitu vipya na vingine tuboreshe, imagine nipo mbeya sasa hivi lakini nimetafuta mchele mzuri hakuna upo mchele chenga tu na ukitaka mzuri basi ununue wa india ule bismati na umejaa kweli huku mpaka nashangaa sasa akija mkenya kununua mchele wa mbeya na mashine nzuri za kupembua chenga na chuwa tunalaumu wakati ni akili zetu zimelala zikiwa zinawaza kuajiliwa bank na siyo kutumia malighafi zetu kumiliki viwanda.
 
Kuna haja ya kutilia mashaka uwezo wa akili yako. Kumtambua mwenye akili na asiye na akili, kunahitaji kiwango fulani cha akili.

Kwa kipimo chochote kilichosahihi, Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi mbaya wa kiwango cha marehemu. Kwa namna alivyokuwa akitenda, hakustahili kuwa Rais. Mungu amsamehe kwa maovu mengi aliyoyatenda dhidi ya Taifa na dhidi ya watanzania wenzake.
Mmmmh! Boss! Usiwe kama Lissu kujifagilia na matokeo yake anashindwa hata kushiriki midahalo ya maana pale VOA. Nini kibaya kiasi cha kusema yote hayo? Viongozi wote hutenda yasiyofaa na yanayofaa. Iwe TZ, Israel, US au Korea. Kwa umri wangu naweza kuwaona vizuri marais Mwinyi, Mkapa, Kikwete na JPM. Nawajua na naweza kuona maovu yote yaliyodhalilisha taifa kwa utawala wao. Hivi umesahau kwamba nyuma tu kidogo, rais wetu alisafiri hadi kufikia kiwango cha kupokelewa na wana mziki tu! So low for a president and aibu!

Pamoja na udhaifu wa JPM, ali highlight uwepo wa nchi yetu. Hadi siku moja kabla ya mazishi yake, coverage yake ilifikia 1.2 billion people! Why?
 
Shime Mama Samia. Usitufanyie rukhsa kila kitu unasaini tu.
 
Niteme kwa lipi? Hivi hujui viongozi 100 wa mataifa mbali mbali ni sawasawa na kichwa kimoja cha jpm?
Ni sawa na vingozi wa mataifa 150 Duniani. Kashinda vita vya corona leo watz tunazunguka bila mabarakoa ,ameishinda na kumtegemea Mungu ni wachawi na washilikina tu ndio hawawezi kumkuba mwanamagezi JPM
 
Wao wanachukua raw materials na viwanda wanavyo, sisi tunachukua kwao finished goods, Kama simu, vifaaa vya steshenari maana sisi hatutaki kutengeneza viwanda na wachache waliotengeneza viwanda wanataka wabaki wao tu Ili waendelee kuuza bila ushindani ila Mimi nasema twende kenya tukachangamke tulete viwanda kwetu Kama walivyonavyo wao na tuwe na finished goods zetu za made in Tanzania, tutengeze ajira na tumiliki makampuni, hebu tuone aibu jamani, ndo ya plastic ya kenya ni quality kuliko ya Tanzania, sufuria hivyo hivyo, sijui bati na utitili wa vitu kibao hata ream tu sasa nini tunataka ? Wakati jirani zetu wanajua vitu vizuri na tumeruhusiwa kwenda kujichanganya huko Ili tutengeneze vitu vipya na vingine tuboreshe, imagine nipo mbeya sasa hivi lakini nimetafuta mchele mzuri hakuna upo mchele chenga tu na ukitaka mzuri basi ununue wa india ule bismati na umejaa kweli huku mpaka nashangaa sasa akija mkenya kununua mchele wa mbeya na mashine nzuri za kupembua chenga na chuwa tunalaumu wakati ni akili zetu zimelala zikiwa zinawaza kuajiliwa bank na siyo kutumia malighafi zetu kumiliki viwanda.
Hakuna kitu kama hicho! Kenya imejaa wachina kama walivyojaa TZ. Plastiki gani unayoona ni nzuri? Ukajifunze nini Kenya kama siyo kupigwa fimbo na wachina. Kama ni unyonge wa wananchi kwa wazungu na wachina, hiyo sawa. Halafu usalama wa investment hizo utautoa wapi? Hii ni nchi bado ina wakimbizi wa ndani, IDPs. Ugomvi ulipoanza, Mkikuyu aliyekuwa na investment kwa Waluo akapoteza mali, ukabila. Mali pekee ambayo haikuguswa ni ile ya wazungu. What a shame!
 
Mama Samia anahitaji kusaidiwa, kuna namna flani anataka kuthibitisha kuwa anaweza bila kujali jinsia yake.... Yaani ni ile mnanichukulia poa kwa sababu ni mwanamke ngoja niwaonyeshe ! Tabu ni kwamba kwenye hizo harakati zake wajanja wanapenyezea agenda zao zinaenda
i hope kuna wa kumsaidia hata kama itakuwa ni nyuma ya pazia. Mabeyo ? I hope so.
mabeyo hiyo sio nafasi yake.

kuna VP na PM hapo,ndio kazi yao hiyo.
 
Raia hohehahe, anapoongea utajua tu!
Happy new Year!
Nahisi uko nyuma kwa fikra! Unategemea m-TZ akatafute ardhi Kenya! For what? Kenya ndo wanahangaika kutafuta ardhi TZ. Mbona hamtafuti ardhi Uganda? firstly, Solve your internal problems. Badala ya kutatua matatizo ya Kenya, unatafuta njia ya kupeleka matatizo yako nje, kwa jirani! Rubbish!
 
Back
Top Bottom