Rais Samia, Watanzania kuruhusiwa kufanya kazi Kenya tuepushe na mtego huo


Itakuwa laana kama tutauza baraka ya mzaliwa wa kwanza kwa bakuli ya dengu kama Essau.
Mama usiruhusu hilo litokee
 
Tatizo la Kenya siyo kutafuta balance ya biashara, ni kutafuta kutatua matatizo yake ya ndani aliyoyatengeneza. Tukizubaa anahamishia matatizo kwetu na hatutakuwa na sehemu ya kuyapeleka. Kila wakati anatuvutia ili apewe nafasi ya nafasi za kazi na umiliki wa ardhi.
 
Wakenya wanavizia ardhi tu Tz, Mama anahitaji kuwa makini sana
Ni kwel kabisaa..ardhi yao yote ipo kwa wazungu na chache wamegawana kenyata na kina raila..yaan akikosea tu kuruhusu kenyans...heee..na wabongo tulivyo wepesi kuuza ardhi..kesho tuu kila kitu nje.
 
That is Kenyan style, not TZ style! Sisi tunaangalia zaidi ya familia, bhana! Kenya ni familia. Ndo maana kila siku ni mashindano ya wezi tu.
Endelea kufunga macho ukidhani kwenyu ndio hakuna wezi, huku wajanja wenyu wakiwakamua vizuri 'chini ya maji'... Hawakosi watu ka hao! Wewe endelea kungoja vya kupewa bure!
 
Naiona tz inakuja kua kama south. Yaani wazawa watakavyozidiwa na wageni mwishowe hasira ziwashike waanze kuwatimua. Aki wakenya wako far away inapokuja suala la skill.
 
Naiona tz inakuja kua kama south. Yaani wazawa watakavyozidiwa na wageni mwishowe hasira ziwashike waanze kuwatimua. Aki wakenya wako far away inapokuja suala la skill.
Tusiombe ifike huko, Afrika ni yetu sote. Tusitoane nguo bure, kule mabeberu yanatucheka. SA ilishajitia doa tayari kwa wenzao Waafrika.
 
Endelea kufunga macho ukidhani kwenyu ndio hakuna wezi, huku wajanja wenyu wakiwakamua vizuri 'chini ya maji'... Hawakosi watu ka hao! Wewe endelea kungoja vya kupewa bure!
Get whatever you want from the other neighbours. Achana na TZ. Kwani unakosa nini Somalia? Ethiopia?, etc.
Nchi gani hiyo watu wanaishi kama wakimbizi kila siku? Ardhi yote imechukuliwa na kuwaancha wengine ni squatters.
 
Get whatever you want from the other neighbours. Achana na TZ. Kwani unakosa nini Somalia? Ethiopia?, etc.
Nchi gani hiyo watu wanaishi kama wakimbizi kila siku? Ardhi yote imechukuliwa na kuwaancha wengine ni squatters.
Ushakuwa msemaji wa Mh. Suluhu? Hata hakujui, so hata sijui tunabishana nini na wewe. Wacha tubaki kuwa wakimbizi, hayo hayakuhusu,ila ujue KE tutabaki kuwa majirani zenyu mpaka kiama!
 
Unaweza kuwa ni mtego kwa mawazo yako.
Ajira si lazima ziwe zile za maofisini,WaTanzania kwa umoja wao wanaweza kutumia vikundi vyao vya uzalishaji mali na kuuza bidhaa zao katika masoko ya Kenya.
mfano :
1.Kuanzisha soko kubwa la kuuza madini yanayopatikana EAC. (wachimbaji wadogo wadogo)
2.Kuanzisha masoko ya bidhaa za utalii,kilimo na ufugaji. (Ajira kwa wadau wa kilimo, ufugaji na utalii)
3.Kuanzisha Makampuni ya Majenzi na Usimamizi yatakayo kuwa yanafanya kazi ndani ya Kenya na Tanzania na hasa kuijenga Upya South Sudan.(Ajira kwa vijana wetu waliopo na watakao hitimu)
4.Kuimalisha sekta za Uvuvi na Usalama wa Mipakani (Ajira kwa vijana wetu wa Ulinzi)
5.Kuimalisha ulinzi wa mazingira kwa matumizi ya nishati endelevu (Ajira za moja kwa moja kwa Makampuni yetu kuwekeza Kenya kama ambavyo yamefanikiwa kuwekeza Tanzania)--Ongezeko la pato la Taifa.
 
Ktk haya unayoyasema, mtu aliekuwa anaaminika pasi na shaka ni mwendazake, kwa mama nadhani anategemea sana washauri ambao wengi si waaminifu, uzoefu umeonyesha.
 
Ktk haya unayoyasema, mtu aliekuwa anaaminika pasi na shaka ni mwendazake, kwa mama nadhani anategemea sana washauri ambao wengi si waaminifu, uzoefu umeonyesha.
Tuzidi kumuombea Mama na washauri wake pia na tuwajengee wananchi nyoyo za kuhoji na kuchambua masuala ya nchi yao na uwazi uwepo ili pale tunapoibiwa tuone na tupaze sauti. Nadhani Mwendazake alifanikiwa kuonyesha kuwa yeye ni mgumu na jeuri ila sioni kama ina maana alikuwa ni bora katika haya pasi na shaka. Tumpe Mama muda tuone tutafika wapi.
 
Mji upgrade sasa Ili muweze kupanda juu ndo hivyo viongozi wenu washakubali mjichanganye mkizubaa na kutamani kubaki chini wenyewe watakuja kuwekeza na huo ujanja wao wanaendelea kuwa juu.
 
Kenya haiongozwi na kauli za Rais kama ilivyo Tz. Mama SSH ukijiroga na kunasa mtegoni, Watanganyika tutaidai Tanganyika yetu kwa nguvu zote.
 
Ni kwel kabisaa..ardhi yao yote ipo kwa wazungu na chache wamegawana kenyata na kina raila..yaan akikosea tu kuruhusu kenyans...heee..na wabongo tulivyo wepesi kuuza ardhi..kesho tuu kila kitu nje.
Yeah sure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…