Rais Samia: Wazanzibari ni wazuri wa sura, roho na wakarimu sana sio kama watu wa mataifa mengine

Rais Samia: Wazanzibari ni wazuri wa sura, roho na wakarimu sana sio kama watu wa mataifa mengine

Nimeishi Zanzibar miaka 10 hakuna watu wanafiki kama wazazibar, kwanza ni wafitinishaji, majungu, wabaguzi na ni watu wa shirki hatar.
Wakija bara huku wanajitanabaisha kama ni watu waungwana sana na wacha Mungu mno. Kumbe ni washenzi?
 
Watu wanafunguwa mpaka mahoteli ya million 4 kwa kulala usiku mmoja wewe unakwenda kuwekeza ushuzi wako, tena kama mimi ningekutimuwa haraka sana. Mchafuzi wa mazingira tu.

Wamekuwa wema sana kukususia kimya kimya. Kafunguwe kwenu huko kolomije.
Sawa Asante dada
 
Mimi niliwahi kufanya kazi huko jumla miaka minane na utafiti wangu wa PhD nilifanyia huko ukweli ni kwamba sikuwahi kumuona mwanamke yoyote mzuri zaidi niliona watu wenye roho mbaya tu.Wanawake miguu mibaya , maziwa makubwa, shepu mbaya kweli. Kuna jamaa mmoja niliidhinisha mkopo unaoendana na mshahara wake wakati yeye alikuwa akitaka mkopo mkubwa zaidi mimi nilikataa. Basi ilikuwa nongwa, alinifanyia visasi hadi kutaka mimi nitiwe ndani. Mkataba wangu ulipomalizika sikutaka tena ku renew nikarudi TG kwetu.
 
😂 Kuna jamaa angu mwingine alikuwa dereva wa TCC huko aliteseka, gambe bei Gali, uzuri alikuwa anabeba nyagi kwenye gari...tukiingia sehemu za starehe ni kulamba lamba tu bia kidogo..then tunaenda kujibust kwenye gari lake
 
Back
Top Bottom