Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Kwani yeye ana sura gani ya kututishia maisha hapa? Kama kuna mtu amedanganywa eti ana sura atakuwa amempotosha sana!Tumeni picha za wazanzibar hasa mabinti nione sura maana roho siwezi ona!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yeye ana sura gani ya kututishia maisha hapa? Kama kuna mtu amedanganywa eti ana sura atakuwa amempotosha sana!Tumeni picha za wazanzibar hasa mabinti nione sura maana roho siwezi ona!
Wawape bandari za Zanzibar wajomba zao sasaRais Samia anasema Wazanzibari wote ni wazuri wa sura na roho, hawana roho mbaya kama watu wa mataifa mengine.
“Watu wa Zanzibar ni wazuri wa sura na roho na wakarimu sana. Kila unayemwona Zanzibar anasema 'una shida gani nikusaidie,' tofauti na nchi za wenzetu huko.”
Ningependa kuisikiliza, au kuisoma “vebartim”Kamsikilize, clip ipo. Usingoje kila kitu kufanyiwa na usiamini kila kitu cha mtandaoni.
Kama yulevagande wa zenjiRais Samia anasema Wazanzibari wote ni wazuri wa sura na roho, hawana roho mbaya kama watu wa mataifa mengine.
“Watu wa Zanzibar ni wazuri wa sura na roho na wakarimu sana. Kila unayemwona Zanzibar anasema 'una shida gani nikusaidie,' tofauti na nchi za wenzetu huko.”
Wenye akili timamu tumemuelewa hivyo. Ni hulka ya Wazanzibari kuwatweza Watanganyika wanatuota machogoNi kweli kabisa. Hapo alitaka kusema siyo kama wabara ila akaamua kupindisha ulimi.
Lakini ukweli lazima usemwe. Ukilinganisha bara na visiwani, watu wa bara wako na roho mbaya sana na ni wanafiki mno
Kwa hiyo watanganyika ndio wana sura mbaya na roho mbaya ndio maana ameamua kuuza bandari za Tanganyika?Rais Samia anasema Wazanzibari wote ni wazuri wa sura na roho, hawana roho mbaya kama watu wa mataifa mengine.
“Watu wa Zanzibar ni wazuri wa sura na roho na wakarimu sana. Kila unayemwona Zanzibar anasema 'una shida gani nikusaidie,' tofauti na nchi za wenzetu huko.”
Nyie warembo ndiyo maana mnafokolewa kama yule afande wa zenjiKwani uongo? Sura mbaya, roho mbaya sana nyinyi.
Yule naye ni nyara toka hifadhi ya gombeNikimuangalia Babu Duni sipati jibu
Kuna kilevi anatumia si bure.Mama kateleza ...ajizuie asitoe kauli akiwa na hasira...
Roho nzuri inategemea ntu na ntu.
Watanganyika kazi tunayo awamu hii.Rais Samia anasema Wazanzibari wote ni wazuri wa sura na roho, hawana roho mbaya kama watu wa mataifa mengine.
“Watu wa Zanzibar ni wazuri wa sura na roho na wakarimu sana. Kila unayemwona Zanzibar anasema 'una shida gani nikusaidie,' tofauti na nchi za wenzetu huko.”
Natamani tupate wazanzibari kwenye BRELA na Wizara ya ardhi, hili eneo kuna rushwa kiwango cha lami.Rais Samia anasema Wazanzibari wote ni wazuri wa sura na roho, hawana roho mbaya kama watu wa mataifa mengine.
“Watu wa Zanzibar ni wazuri wa sura na roho na wakarimu sana. Kila unayemwona Zanzibar anasema 'una shida gani nikusaidie,' tofauti na nchi za wenzetu huko.”
Nimeishi Zanzibar miaka 10 hakuna watu wanafiki kama wazazibar, kwanza ni wafitinishaji, majungu, wabaguzi na ni watu wa shirki hatar.Ni kweli kabisa. Hapo alitaka kusema siyo kama wabara ila akaamua kupindisha ulimi.
Lakini ukweli lazima usemwe. Ukilinganisha bara na visiwani, watu wa bara wako na roho mbaya sana na ni wanafiki mno
Kifo cha Magufuli sasa ninaamini tulipata pigo kubwa kuliko tulivofikiri.Na kweli ,na Bandari za watanganyika wameuza kwa waarabu wenzao wa Dubai.
Watu wanafunguwa mpaka mahoteli ya million 4 kwa kulala usiku mmoja wewe unakwenda kuwekeza ushuzi wako, tena kama mimi ningekutimuwa haraka sana. Mchafuzi wa mazingira tu.Nilifungua mgahawa panga maua, nilivyo na ndevu walijua ni sheikh, walipogundia ni muumini wa dini nyingine nilipoteza wateja Kila kukicha nikafunga..uzuri nilirudishwa bara kikazi nikarudi na maisha yangu japo nilipoteza pesa mingi
Kazi ya Mungu haina makosa.Kifi cha Magufuli sasa ninaamini tulipata pigo kubwa kuliko tulivofikiri