Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ya Chato ama?Rais Samia anasema Wazanzibari wote ni wazuri wa sura na roho, hawana roho mbaya kama watu wa mataifa mengine.
“Watu wa Zanzibar ni wazuri wa sura na roho na wakarimu sana. Kila unayemwona Zanzibar anasema 'una shida gani nikusaidie,' tofauti na nchi za wenzetu huko.”
Malkia wa modern taarab, mama wa mipasho.Rais Samia anasema Wazanzibari wote ni wazuri wa sura na roho, hawana roho mbaya kama watu wa mataifa mengine.
“Watu wa Zanzibar ni wazuri wa sura na roho na wakarimu sana. Kila unayemwona Zanzibar anasema 'una shida gani nikusaidie,' tofauti na nchi za wenzetu huko.
Duh! Hii jamii forum imekuwa huru kiasi hiki?Mnapenda kufiranaga siye huku hatuna uchafu kama huo na sijakutuna libichwa kama feri za pemba , kimdomo kidogo kama mk wa kuku, cheusi kama feni ya mchambia vima , unanjaa ndio maana wewe ni chawa hewa , unafanana na vile vinyani vya jozani national park , kisauti kibaya kama honi za haisi, umekomaa kama bendera za tanu
Ki msingi ninakubaliana na wewe; ila hapa kati ya hao wawili kuna anayemkosoa mwingine kwa sababu ya chuki tu, bila ya sababu maalum.Kumkosoa mtu sio kosa ila kutumia lugha ya kumtusi unayemkosoa sababu ya chuki tu sio sawa kabisa.
Hapana, muungano siyo wa "kishenzi", washenzi ni hao wanaotafuta kila namna ya kuuvunja. Wewe hapo ni mfano mzuri wa watu waliofanikiwa kunaswa katika mtego wa hao washenzi wanaotafuta kuuvunja muungano, akiwemo huyo aliyetoa maneno yale pale juu.Kuvunja muungano wa kishenzi ni jambo zuri sana kama mpango mimi nitamuunga mkono
Muungano umekuwa wa "kipuuzi" kwa sababu umekubali hawa wapuuzi waufanye uonekane kuwa wa kipuuzi, na kwa bahati mbaya sana wameweza kunasa akili za watu kama wewe.Muungano wa kipuuzi kila nchi iishi kivyake
Hili nakubali ila bandari za wa watu no,Rais Samia anasema Wazanzibari wote ni wazuri wa sura na roho, hawana roho mbaya kama watu wa mataifa mengine.
“Watu wa Zanzibar ni wazuri wa sura na roho na wakarimu sana. Kila unayemwona Zanzibar anasema 'una shida gani nikusaidie,' tofauti na nchi za wenzetu huko.”
Mtu Mzima haambiwi mara mbili.....
Unarudia yale yale, sijui unataka ujibiwe vipi? Isije ikawa wewe ni mmoja wa hao "washenzi/wapuuzi" wanaofanya kila kitu kuuvunja muungano!Muungano ni wa kipuuzi wajinga pekee ndio wanao uhusudu
Kauli za kibaguzi hizi. Huyu bibi ana SWAGA za kikoloni. Bandari zetu nzuri, lakini sisi watanganyika ni Manyani, Sawa na Asante sana Samia Suluhu.Rais Samia anasema Wazanzibari wote ni wazuri wa sura na roho, hawana roho mbaya kama watu wa mataifa mengine.
“Watu wa Zanzibar ni wazuri wa sura na roho na wakarimu sana. Kila unayemwona Zanzibar anasema 'una shida gani nikusaidie,' tofauti na nchi za wenzetu huko.”
Mbona Tanzania umeiacha umeandika Zanzibar tu, mama kasema Zanzibar na Tanzania, unafikiri hatujamsikia alivyosema?Rais Samia anasema Wazanzibari wote ni wazuri wa sura na roho, hawana roho mbaya kama watu wa mataifa mengine.
“Watu wa Zanzibar ni wazuri wa sura na roho na wakarimu sana. Kila unayemwona Zanzibar anasema 'una shida gani nikusaidie,' tofauti na nchi za wenzetu huko.”
Bunge linayo dini, no bunge la kikatoliki, ila sasa tumeshtuka tunataka haki sawaUzuri Bunge letu halina dini na ujumbe wao leo umeifikia nchi nzima. Tunatarajia kila aina ya kauli toka mataifa yote yenye nia njema. Na hiyo ndio Diplomasia rahisi kuielewa. Enjoy
Usituzuge, unatusema Watanganyika ndiyo maana unatuuza?Rais Samia anasema Wazanzibari wote ni wazuri wa sura na roho, hawana roho mbaya kama watu wa mataifa mengine.
“Watu wa Zanzibar ni wazuri wa sura na roho na wakarimu sana. Kila unayemwona Zanzibar anasema 'una shida gani nikusaidie,' tofauti na nchi za wenzetu huko.”
Usiingilie yasiyokuhusu kaa kimyaDuh! Hii jamii forum imekuwa huru kiasi hiki?
| Watu wa Zanzibar ni wazuri wa sura na roho na wakarimu sana. Kila unayemwona Zanzibar anasema 'una shida gani nikusaidie,' tofauti na nchi za wenzetu huko.” |
|
Anaijenga Kizimkazi na Makunduchi Unguja Kusini ili akirejea fahari ya umalkia itamalaki kwake. Lugha aliyoitumia haikubaliki maana Zanzibar waiita Tanganyika ni nchi ya nje na wanannchi wake tumemwelewa vizuri acha afanye Kizimkazi kama Chato lakini mwisho wa siku itakuja kuwa magofu na historia vile vile.Rais Samia anasema Wazanzibari wote ni wazuri wa sura na roho, hawana roho mbaya kama watu wa mataifa mengine.
“Watu wa Zanzibar ni wazuri wa sura na roho na wakarimu sana. Kila unayemwona Zanzibar anasema 'una shida gani nikusaidie,' tofauti na nchi za wenzetu huko.”