Rais Samia: Wazanzibari ni wazuri wa sura, roho na wakarimu sana sio kama watu wa mataifa mengine

Rais Samia: Wazanzibari ni wazuri wa sura, roho na wakarimu sana sio kama watu wa mataifa mengine

Utakuwa umeingia kwenye mtego huo huo alioutegeshea yeye.

Huyu kilichobaki ni kumwondoshea mbali, na kuunda muungano mpya kabisa wenye usawa kila mahali.
Hakuna kuvunja muungano kwa sababu za watu wapuuzi kama hawa.
Muungano wa kipuuzi kila nchi iishi kivyake
 
Unaakili kweli hebu nenda ukafanye afya ya akili, yaani auze nchi nzima halafu aje tu apendwe kisa anaongea ujinga
Unasema uongo, ameuza wapi? Huo ni uzushi na kudhihirisha chuki zenu kwake

Ikiwa kiwanja chako tu cha nyumba ni mali ya inchi kila ikiisha 33 yrs mpaka unapolipia tena basi ndio iwezekane kuuzwa inchi nzima?
Waswahili wanasema ukitaka kuua mbwa mpe jina baya,
Hamna lolote ni chuki zenu tu juu ya dini yake
Ila mmesahau ufalme hutoka Mungu, sasa shindaneni na Mungu
 
Kuna wanaouhitaji huu muungano kufa na kupona huko huko kwao. Unapomsikia huyu, ujue ni mmoja wa kale kakikundikanakosumbua kila mara. Hawa ni watu wachache sana huko kwao. Hawa ni kuwadhibiti tu na mambo yanaendelea kama kawaida.

Hiyo hali unayoizungumzia hapa inatokana na kiburi walichopewa na CCM. Kila wanapodai chochote, wanapewa kama rushwa ya kuwanyamazisha.
Sasa hata U-rais wenyewe wamepewa, lakini wameona haitoshi wanaanza kuropoka hovyo.
Muungano ni wa kipuuzi wajinga pekee ndio wanao uhusudu
 
Unasema uongo, ameuza wapi? Huo ni uzushi na kudhihirisha chuki zenu kwake

Ikiwa kiwanja chako tu cha nyumba ni mali ya inchi kila ikiisha 33 yrs mpaka unapolipia tena basi ndio iwezekane kuuzwa inchi nzima?
Waswahili wanasema ukitaka kuua mbwa mpe jina baya,
Hamna lolote ni chuki zenu tu juu ya dini yake
Ila mmesahau ufalme hutoka Mungu, sasa shindaneni na Mungu
Aisee hujui wewe unacheza na damu za watu ila nyie na mama ako mnacheza na Mungu ipo siku mtajua Mungu aliyehai yupo area gani ipo siku , mnauza nchi halafu mnakimbilia kumuita Mungi na alaaniwe yule mtu ambaye huwakana watu wake na kuwaamini wengine .
 
Rais Samia anasema Wazanzibari wote ni wazuri wa sura na roho, hawana roho mbaya kama watu wa mataifa mengine.

“Watu wa Zanzibar ni wazuri wa sura na roho na wakarimu sana. Kila unayemwona Zanzibar anasema 'una shida gani nikusaidie,' tofauti na nchi za wenzetu huko.”
Ehe Bitozo kataja mataifa gani? Tanganyika ipo kwenye list?
 
Aisee hujui wewe unacheza na damu za watu ila nyie na mama ako mnacheza na Mungu ipo siku mtajua Mungu aliyehai yupo area gani ipo siku , mnauza nchi halafu mnakimbilia kumuita Mungi na alaaniwe yule mtu ambaye huwakana watu wake na kuwaamini wengine .
Bado unaendelea kusema uongo, hakuna anaeweza kuuza inchi, awaye yeyote narudia kusema hakuna awezae kuuza inchi
Mnachofanya ni kumpa paka jina la mwizi ili mhalalishe kumshambulia
 
Bich
Bado unaendelea kusema uongo, hakuna anaeweza kuuza inchi, awaye yeyote narudia kusema hakuna awezae kuuza inchi
Mnachofanya ni kumpa paka jina la mwizi ili mhalalishe kumshambulia

Hicho kimdomo ipo siku kitalia na upo mbali ipo siku nandio utakumbuka asifiaye mvua humnyea
 
Rais Samia anasema Wazanzibari wote ni wazuri wa sura na roho, hawana roho mbaya kama watu wa mataifa mengine.

“Watu wa Zanzibar ni wazuri wa sura na roho na wakarimu sana. Kila unayemwona Zanzibar anasema 'una shida gani nikusaidie,' tofauti na nchi za wenzetu huko.”
Tuwe wazuri wa sura kwani sisi mademu? sisi vidume. mademu wetu ndo wenye sura nzuri
 
Hivi Baba wa Taifa anasemaje kwani, bado hayajaharibika tu mpaka mchinjane! Wallah siku zimeganda❌
Wacha tu tuchinjane, hakuna faida ya kuishi maisha haya ya kutukanwa kireja reja kila siku na wakristo, yaani saa hio ndi wamezidi kutukashifu mpaka natamani kama angewepo mmoja wangu hapa ningetafuna mpaka mifupa
Wagalatoa mnajua kukashifu aisee, ila sishangai kwani ndivyo mnavyofundishwa kanisani?
 
Huyu aliyetukana Kizimkazi sio Mkristo pengine sio muislam kwani dini ya mtu anaijua mwenyewe. Unaweza kufikiri unamsaidia kumbe unammaliza.
Wacha tu tuchinjane, hakuna faida ya kuishi maisha haya ya kutukanwa kireja reja kila siku na wakristo, yaani saa hio ndi wamezidi kutukashifu mpaka natamani kama angewepo mmoja wangu hapa ningetafuna mpaka mifupa
Wagalatoa mnajua kukashifu aisee, ila sishangai kwani ndivyo mnavyofundishwa kanisani?
 
Huyu aliyetukana Kizimkazi sio Mkristo pengine sio muislam kwani dini ya mtu anaijua mwenyewe. Unaweza kufikiri unamsaidia kumbe unammaliza.
Angekuwa si muislam wala mssingemshambulia, ni dini yake tu ndio hata msione mema
 
Uzuri Bunge letu halina dini na ujumbe wao leo umeifikia nchi nzima. Tunatarajia kila aina ya kauli toka mataifa yote yenye nia njema. Na hiyo ndio Diplomasia rahisi kuielewa. Enjoy
Angekuwa si muislam wala mssingemshambulia, ni dini yake tu ndio hata msione mema
 
Back
Top Bottom