Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asikilize na ushauri wa wengine, yeye sio malaika.Unataka raisi maamuzi yake yasiheshimiwe?
Wewe mburula mtetezi wa mama anaupiga mwingi umeanza kuzinduka?[emoji23]Huyu mama akilazimisha kubakia madarakani hiyo 2025, basi mchele utauzwa elfu 6 kwa kilo! Na mafuta ya petrol na dizeli lita itakuwa elfu 6 pia! Vifaa vya ujenzi ndiyo kabisaa!! Vitaendelea kupanda mara dufu.
Nitafurahi kama atakaa pembeni.
Hapana haitatokea kwasababu wakati huo Putin atakuwa ameshakufa zamani na Yukrein kuna amanHuyu mama akilazimisha kubakia madarakani hiyo 2025, basi mchele utauzwa elfu 6 kwa kilo! Na mafuta ya petrol na dizeli lita itakuwa elfu 6 pia! Vifaa vya ujenzi ndiyo kabisaa!! Vitaendelea kupanda mara dufu.
Nitafurahi kama atakaa pembeni.
Hahaahaaa umenikumbusha mbaàali sana Joe, Mpiga Filimbi wa Hamelin '(The Pipe Piper of Hamelin, wakamzingua akatokomea na watoto wote akabakia mlemavu tuSiyo kila mtu ni Mwanasiasa mpiga filimbi wa Hamelin
Ila pia kumbuka bongo hapa ukilazimisha kijiuzulu ni kiburi utafatwa na kitengo bora tu ufukuzwe. Kumbuka abduraman alivyotaka kujiuzulu wakamzingira kwake nakutumwa india kutibiwaWaziri halazimiki kutii kila kitu endapo anaona kuna vitu haviko sawa, alipokosea ni kuendelea kubakia madarakani, alipaswa kujiuzulu baada kuona hakuna muafaka. Kusubiri kuondolewa ni kama kuonesha kiburi.
Moja ya kosa analofanya Raisi nikuamini kuwa kujaza wanawake kwenye NAFASI NYETI kuta-mpromote.
Wanawake wengi hawakai jiko Moja, wataunguzana tu kwa kuzodoana
Huo ushauri mwingine sikiliza weweAsikilize na ushauri wa wengine, yeye sio malaika.
Story ya Bavarian ujerumani middle agesHahaahaaa umenikumbusha mbaàali sana Joe, Mpiga Filimbi wa Hamelin '(The Pipe Piper of Hamelin, wakamzingua akatokomea na watoto wote akabakia mlemavu tu
Pia mh. Rais amesema waziri ANATAKIWA ajue mipaka yakeRais Samia akiwaapisha mawaziri leo, Oktoba 3 amesema waziri hatakiwi kusema hakubaliani na maamuzi ya Serikali au kusema kuwa nimeelekezwa hivi ila sikubaliani. Hatakiwi kujitoa bali kuwa sehemu ya maamuzi.
Sijui ni waziri gani aliyesema haya ni maamuzi ya Serikali sio yangu?
Kwani unataka aondolewe au?Ndio maana Mwigulu hataondolewa anasimamia walichokubaliana
Tulia weweeKwani unataka aondolewe au?
Ila pia kumbuka bongo hapa ukilazimisha kijiuzulu ni kiburi utafatwa na kitengo bora tu ufukuzwe. Kumbuka abduraman alivyotaka kujiuzulu wakamzingira kwake nakutumwa india kutibiwa
Unajifanya unajua historia?Story ya Bavarian ujerumani middle ages
Unajifanya unajua kizungu?Leave me alone. Am so much dipressed here. I will fight till the for the castody ya dogo
Rais Samia yupo hapa mpaka 2030, Ndio kituo Cha kupumzika, pia hujakatazwa kwenda shambani kulima ili uje uuze kwa Bei unayotaka weweHuyu mama akilazimisha kubakia madarakani hiyo 2025, basi mchele utauzwa elfu 6 kwa kilo! Na mafuta ya petrol na dizeli lita itakuwa elfu 6 pia! Vifaa vya ujenzi ndiyo kabisaa!! Vitaendelea kupanda mara dufu.
Nitafurahi kama atakaa pembeni.
Kama wewe ni Mungu, basi atakuwepo.Rais Samia yupo hapa mpaka 2030, Ndio kituo Cha kupumzika, pia hujakatazwa kwenda shambani kulima ili uje uuze kwa Bei unayotaka wewe
Hata Chalamila aliomba kujiuzulu wakamkatalia akaanza vituko maksud kulazimisha kutemwa kipindi kile aliamishiwa mwanza hatimaye wakaamua tu aende. Lakini wamemrudisha.Tanzania hata mamlaka inayokuteua haiamini kama unaweza kuachilia V8 na maisha mazuri, ukifanya hivyo mamlaka yenyewe inashangaa umewezaje.
Unakumbuka Lazaro Nyalandu alijiuzulu lakini Magufuli na Ndugai wakakomaa mpaka wakahakikisha ubao unasomeka kwamba CCM imemvua ukada?
Usijaribu kabisa kuonesha msimamo Tanzania kwa kujiuzulu, chuki utakayo tengenezewa hutoweza kuibeba.
Kama wewe ni Mungu, basi atakuwepo.
Wambie UKWELI makada wenzio, kwenye comment zingine unasema she is one term!!!!Rais Samia yupo hapa mpaka 2030, Ndio kituo Cha kupumzika, pia hujakatazwa kwenda shambani kulima ili uje uuze kwa Bei unayotaka wewe