greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Mbona nayeye anajifanya kama hakuwa pamoja na magufuli enzi za uhai wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo Hauna ni huna...mjinga usiyeijua hata lugha yakoWe" ni panya, hauna uwezo wa argument unajitutumua tu, bahati nzuri kwako hata wajinga wa sampuli yako huwa na confidence.
Unajihuzulu unawaachia wanaodhani inafaa ili uondokane na hizo lawamaSasa itakuwaje huko kwenye vikao wazo la mjinga ndio likapewa umuhimu, fungueni bongo zenu, mimi nitakupinga hata nje, siwezi kukubaliana na wazo la mjinga kisa nipo nje wakati najua wazo sio sahihi.