Rais Samia: Waziri Mchengerwa amefanya kazi nzuri sana, sasa nimempeleka TAMISEMI mwakani kuna Kivumbi

Rais Samia: Waziri Mchengerwa amefanya kazi nzuri sana, sasa nimempeleka TAMISEMI mwakani kuna Kivumbi

Rais Samia amemsifu Waziri Mchengerwa kwamba kafanya kazi nzuri sana kwenye Wizara alizopita ndio maana amemhamishia Tamisemi Ili akasimamie kivumbi Cha mwakani yaani uchaguzi wa Serikali za mitaa kwani anajua anaweza.

-
"Kwa mfano Mchengerwa nilipompeleka utumishi mwanzo kaingia na kasi kelele zikawa nyingi, nikasema labda waziri wangu kazidi kapandisha mabega nimpeleke michezo, kaenda michezo kazi aliyoifanya mmeiona, kaacha kazi nzuri sana, katoka michezo nimempeleka utalii, mipango aliyoiweka sekta ile unayeenda ukienda ukafuata yaliyowekwa utalii unakwenda kupanda"- Rais Dkt.


My Take
Wacha tusubirie yetu macho,binafsi najua sifa ya Mchengerwa ni kujali watu wa chini zaidi.

“Mchengerwa sasa nimempeleka TAMISEMI mwakani kuna Kivumbi na mimi nakujua najua unaweza, Kivumbi kile kinafanana na kifua chako najua unaweza, kwahiyo nimekupeleka TAMISEMI ni kazi kazi,” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza leo, Septemba 1, 2023 Ikulu ndogo Zanzibar baada ya shughuli ya uapisho wa viongozi mbalimbali wa Serikali.
Wapi Nape?😂😂😂😂 Mungu amemsuluhisha? Mbaya ameondoka amekuja mzuri?😂😂😂😂😂
 
Rais Samia amemsifu Waziri Mchengerwa kwamba kafanya kazi nzuri sana kwenye Wizara alizopita ndio maana amemhamishia Tamisemi Ili akasimamie kivumbi Cha mwakani yaani uchaguzi wa Serikali za mitaa kwani anajua anaweza.

-
"Kwa mfano Mchengerwa nilipompeleka utumishi mwanzo kaingia na kasi kelele zikawa nyingi, nikasema labda waziri wangu kazidi kapandisha mabega nimpeleke michezo, kaenda michezo kazi aliyoifanya mmeiona, kaacha kazi nzuri sana, katoka michezo nimempeleka utalii, mipango aliyoiweka sekta ile unayeenda ukienda ukafuata yaliyowekwa utalii unakwenda kupanda"- Rais Dkt.


My Take
Wacha tusubirie yetu macho,binafsi najua sifa ya Mchengerwa ni kujali watu wa chini zaidi.

“Mchengerwa sasa nimempeleka TAMISEMI mwakani kuna Kivumbi na mimi nakujua najua unaweza, Kivumbi kile kinafanana na kifua chako najua unaweza, kwahiyo nimekupeleka TAMISEMI ni kazi kazi,” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza leo, Septemba 1, 2023 Ikulu ndogo Zanzibar baada ya shughuli ya uapisho wa viongozi mbalimbali wa Serikali.
Undugunaizesheni
 
Rais Samia amemsifu Waziri Mchengerwa kwamba kafanya kazi nzuri sana kwenye Wizara alizopita ndio maana amemhamishia Tamisemi Ili akasimamie kivumbi Cha mwakani yaani uchaguzi wa Serikali za mitaa kwani anajua anaweza.

-
"Kwa mfano Mchengerwa nilipompeleka utumishi mwanzo kaingia na kasi kelele zikawa nyingi, nikasema labda waziri wangu kazidi kapandisha mabega nimpeleke michezo, kaenda michezo kazi aliyoifanya mmeiona, kaacha kazi nzuri sana, katoka michezo nimempeleka utalii, mipango aliyoiweka sekta ile unayeenda ukienda ukafuata yaliyowekwa utalii unakwenda kupanda"- Rais Dkt.


My Take
Wacha tusubirie yetu macho,binafsi najua sifa ya Mchengerwa ni kujali watu wa chini zaidi.

“Mchengerwa sasa nimempeleka TAMISEMI mwakani kuna Kivumbi na mimi nakujua najua unaweza, Kivumbi kile kinafanana na kifua chako najua unaweza, kwahiyo nimekupeleka TAMISEMI ni kazi kazi,” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza leo, Septemba 1, 2023 Ikulu ndogo Zanzibar baada ya shughuli ya uapisho wa viongozi mbalimbali wa Serikali.
Mchengerwa kama una soma huu uzi tambua halmashauri ni vichaka vya wezi hasa waweka hazina ni wezi wezi na kibaya sana wanawekewa target ya mapato inamaana yakizidi lazima waibe tu. Na kibaya hakuna scientific way ya ku prove upatikanaji wa mapato. Suluhisho-hakikisha kila halmashauri inakuwa na mpango mkakati wa ukusanyaji wa mapato wa miaka 5.
 
Mnyonge mnyongeni kazi ya mtu haijifichi Mchengerwa safi.
Alifanya kazi nzuri utumishi
 
Hongera sana Mh: waziri Mchengerwa hakikisha uchaguzi wa S/mtaa na vijiji 2024 wagombea wa chama changu CCM wanapita bila kupingwa
 
Ndoa za kitabaka ni kawaida kwa watawala

Dikteta Rais Omar Bongo wa Gabon alimuoa Edith Lucie Sassou-Nguesso, binti wa Dikteta Rais Denis Sassou-Nguesso, wa Jamahuri ya Congo. Na matokeo yake leo yanaeleweka
 
Back
Top Bottom