ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #21
Wakunya wanaonuka shida Hadi matakoni mbona hawamchambui failed Nabii wao? 😆😆😆😆Wakenya kupitia KOT ( Kenyans On Twitter ) Siku hizi Mtandao wa X wanatusaidia Kumdharau kwa Niaba yetu na wanamchambua vilivyo huko sijui kama Wasaidizi wake huwa wanamuonyesha.
Kwa taarifa Yao tuu walitegemea slope Kwa Sasa haipo mama kawakazia kwenye mazao ya Kilimo wanatokwa na mapovu huko
View: https://twitter.com/thebizwiztz/status/1691407795696943104?t=4OZNBl6nv2xp0lr-FHQLvQ&s=19