Rais Samia: Wenye akili za kawaida ndiyo wananikosoa kusafiri nje

Rais Samia: Wenye akili za kawaida ndiyo wananikosoa kusafiri nje

Kwa akili yako kodi za nchi hii zinalipwa na watu gani? Machinga na mama nitilie? Bodaboda? Au wakulima huko vijijini?
Unajua makampuni kama TBL, Vidacom, Metl, Azam wanalipa kodi kiasi gani?
Wadanganye hao hao hayo makontainer yanayopita free hapo border ni Siri?

Wanaofill mafuta for free watajuaje ugumu wa maisha?

They are turning nw, keep watchin.
 
Wadanganye hao hao hayo makontainer yanayopita free hapo border ni Siri?

Wanaofill mafuta for free watajuaje ugumu wa maisha?

They are turning nw, keep watchin.
Hebu wataje sasa mbona unaogopa sasa
 
Hii nchi ni kubwa, bila misaada (bakuli) na kuita wawekezaji waje aisee hatutoboi huo ndiyo ukweli, tunatumia zaidi ya tunachozalisha.
Ili uendelee kwanza inatakiwa ubadilike kisaikolojia!
 
Na ndio tutazidi kuwa maskini. Tusipoenda ni vilevile na tukienda ni vilevile.
Hata mama Samia asiposafiri bado sioni Kama itasaidia chochote. Cha umuhimu akienda aache tu kutoa ahadi za kuwapa rasilimali
Ilifika kipindi katika nchi hii alisafiri mpk kufikia hatua analipa mishahara ya wafanyakazi kwa pesa za mkopo!

Sema kujenga kazi
 
Mkuu unajua GDP ya Botswana ni ngapi? Ni 15 Bilion USD, Tanzania ni 62 Bilioni USD,
Sijui hicho kipimo cha kuwa madini yanachangia 7% ya gdp umetoa wapi ila mimi takwimu ninazijua madini yanachangia 10% ya gdp, na inaonyesha 35% ya 15 ni ndogo kuliko na 10% ya 62
Ww jamaa bana ndio maana nikasema hujui unachozungumza, lini imefika 10%??

Alafu comparison ni percent kwenye gdp, na sio amount.
 
Nakubaliana na ww raisi anapaswa kusafiri, Ila pia Kuna kipimo.
Haipaswi kuwa kama ilivyokua wakati wa magufuli

Sikubaliani na ww kusema Magufuli alikuwa anakopa kwenye mabenki. Deni letu kutoka kwenye mabenki ni 30% tu ya deni lote la taifa ambayo ni sawa na trillion 20. Magufuli alikopa 12% ya deni lote la nje kutoka kweye mabenki ambayo Ni sawa na tril 8. Je Magufuli alikopa tril 8 tu???

Unasema huyo analalamika tozo tu, tutatoa wapi pesa?
Si tuna rasilimali? Kazi ya tuliowapa kuongoza ni ipi ikiwa hawawezi kutumia rasilimali zilizopo kutatua changamoto zetu?
Ila Tanzania kuna wajinga wengi kama wewe. Bado tunaushamba wa wazungu na Waarabu. Mizimu ya babu wapinga ukoloni msitutupe mkono mtusaidia hata kuwatia uchizi wq kuokota makopo hawa wasaliti wetu
 
Unahitaji fedha kujenga miundo mbinu,project Kama sgr na mnhp haziwezi kuwa financed na Pato la ndani,hizo pesa zipo nje,rais akikaa ndani inasaidia nini!?...yule jamaa yenu aliyekaa ndani alishusha FDI Hadi chini ya 1b$..Sasa FDI ipo $9b
Uzuri au ubaya hiyo miradi ilianza chini huyo alieshusha na tuliona ikitekelezwa kwa kasi kuliko sasa.

Africa atuna uchungu na nchi zetu, hatutaman maendeleo ya kweli ha nchi zetu kwa vizazi vya kesho, si tunajua leo nilipe vizuri ili kesho niende Dubai kwenye maendeleo ya vitu nikatanue kwenye vitu vyao, ila hamuwazi vile vitu walivioataje! Fungeni mikanda mjemge nchi zenu.
 
Naogopa sana kutumia kauli hii ifuatayo nisije onekana nawatusi wakubwa wangu...
Mtu mjinga au mpumbavu (an ignorant or a fool person) hujiamini sana kwa anachofanya japo kinaweza kuwa ni maangamizo na kitu hatari kwake na kwa wanao mtegemea.
 
Wewe unaenlaumu Samia wewe mchango wako ni upi kuhakikisha nchi inajitegemea kwenye mapato hasa ya kufanya miradi mikubwa? Kulalamikia kodi na tozo?
Kodi katika kila ninachofanya na kutumia, tozo, kununua haki zangu za kiraia n.k

Bei ya mafuta imepandishwa kuliko ile waliyoigomea, wazurulaji wanasikizia tu watu wapige kelele ili waje na 100b nyingine, wawe wanaLAMBA 200b monthy kihalali.

Waambie wakupe ukweli, wanaenda kuchukua 100 kwa makubaliano kuwa wadanganyika watalipa huku wakiweka rehani pande la nchi, wao wanajipongeza kwa sh 73 kwa kufanikisha deal, 15 inawekaa pembeni kusaidia wakati wa uchaguzi, 10 inakwenda ZNz, iliyobaki inaingizwa kwenye nyongeza ya miashara.
 
Rais lazima atengeneze deals zitakazoiingizia nchi mapato, iwe ni deal za biashara na uwekezaji, au mikopo ama misaada

Sio jambo la kuficha kuwa nchi yetu ni maskini, wananchi wazawa hatuna mitaji ya kuwekeza kwenye miradi mikubwa, uwezo wetu wa kulipa kodi pia ni mdogo

Kufanya zuara za mikoani tu utaishia kuambiwa tuna shida ya maji, barabara, hospitali n.k lakini fedha hakuna, utatatua vipi hizo shida?

Magufuli yeye alikuwa akikopa mikopo kutoka benki za kibiashara, ambayo riba ni kubwa na muda wa kulipa ni mfupi, so unataka Samia afabya hivyo?

Wewe unaenlaumu Samia wewe mchango wako ni upi kuhakikisha nchi inajitegemea kwenye mapato hasa ya kufanya miradi mikubwa? Kulalamikia kodi na tozo?
We ufala tu ndio unakutesa
IMG-20220705-WA0025.jpg
 
Ila Tanzania kuna wajinga wengi kama wewe. Bado tunaushamba wa wazungu na Waarabu. Mizimu ya babu wapinga ukoloni msitutupe mkono mtusaidia hata kuwatia uchizi wq kuokota makopo hawa wasaliti wetu
Toka hoja za kumpinga mchangiaji kwa facts sio Luanda kuita mizimu isiyokuwepo! Au ndio unathibitisha kuwa nyie timu Chato mmeishiwa hoja mpo mufilisi?
 
lakini ulishaanza na umekamilika kwa asilimia kubwa sana kama sioa silimia 90... maana mpaka wanafanya testing. hata ndugai alikuwa anajua hali halisi ya miradi kuwa haiitaji kukopa kopa kila siku
Kumbuka alichokopea maguu ni dar as salama hadi makutupora mama anaendeleza mpaka mwanza na isaka umbali mrefu aliyeondoka kafanya yake na hawezi kurudi mama anafanya yake yote tumshukuru Mungu mama hawezi kuongoza kama mwenda zake yeye ataongoza kama yeye na wataalamu wake pia marehemu afya ilikuwa haimrusu kupanda ndege jamani mkumbuke siyo kuwa hakutaka safari ndiyo maana za majirani aliyenda kwa gari
 
Ww jamaa bana ndio maana nikasema hujui unachozungumza, lini imefika 10%??

Alafu comparison ni percent kwenye gdp, na sio amount.
Tanzania inaonyesha mchango wa madini kwenye uchumi wake ni mdogo sababu uchumi wake ni mkubwa zaidi na unachangiwa na vitu vingi, sijui kama unaelewa hii mantiki

Na contribution ya madini ni 10.2%

Screenshot_20220706-070252.png
 
Kodi katika kila ninachofanya na kutumia, tozo, kununua haki zangu za kiraia n.k

Bei ya mafuta imepandishwa kuliko ile waliyoigomea, wazurulaji wanasikizia tu watu wapige kelele ili waje na 100b nyingine, wawe wanaLAMBA 200b monthy kihalali.

Waambie wakupe ukweli, wanaenda kuchukua 100 kwa makubaliano kuwa wadanganyika watalipa huku wakiweka rehani pande la nchi, wao wanajipongeza kwa sh 73 kwa kufanikisha deal, 15 inawekaa pembeni kusaidia wakati wa uchaguzi, 10 inakwenda ZNz, iliyobaki inaingizwa kwenye nyongeza ya miashara.
Bull crap
 
Rais lazima atengeneze deals zitakazoiingizia nchi mapato, iwe ni deal za biashara na uwekezaji, au mikopo ama misaada

Sio jambo la kuficha kuwa nchi yetu ni maskini, wananchi wazawa hatuna mitaji ya kuwekeza kwenye miradi mikubwa, uwezo wetu wa kulipa kodi pia ni mdogo

Kufanya zuara za mikoani tu utaishia kuambiwa tuna shida ya maji, barabara, hospitali n.k lakini fedha hakuna, utatatua vipi hizo shida?

Magufuli yeye alikuwa akikopa mikopo kutoka benki za kibiashara, ambayo riba ni kubwa na muda wa kulipa ni mfupi, so unataka Samia afabya hivyo?

Wewe unaenlaumu Samia wewe mchango wako ni upi kuhakikisha nchi inajitegemea kwenye mapato hasa ya kufanya miradi mikubwa? Kulalamikia kodi na tozo?
Kulipa kodi stahiki na kwa wakati ni mchango mkubwa kutoka kwa kila mwananchi.

Tatizo la nchi hii sio vyanzo vya pesa bali ni wizi wa pesa na matumizi makubwa yasiyo na tija kwa watendaji wa serikali.

Na huo uzirulaji wa Samia ni mojawapo ya mifano.

Tunasubiri na wakati wa kampeni akazurule kuomba kura huko huko nje.

Acheni kutetea unafiki.
 
Tanzania inaonyesha mchango wa madini kwenye uchumi wake ni mdogo sababu uchumi wake ni mkubwa zaidi na unachangiwa na vitu vingi, sijui kama unaelewa hii mantiki

Na contribution ya madini ni 10.2%

View attachment 2282205
Sio kila taarifa ya kwenye Google unapaswa kuibeba.
Waziri kwenye uwasilishaji wa bajeti alizungumza ni 7.3
Lakini pia hata kwenye taarifa zingine ni hivyo
Screenshot_20220707-130704_1.jpg
 
Back
Top Bottom