Wadanganye hao hao hayo makontainer yanayopita free hapo border ni Siri?Kwa akili yako kodi za nchi hii zinalipwa na watu gani? Machinga na mama nitilie? Bodaboda? Au wakulima huko vijijini?
Unajua makampuni kama TBL, Vidacom, Metl, Azam wanalipa kodi kiasi gani?
Wanaofill mafuta for free watajuaje ugumu wa maisha?
They are turning nw, keep watchin.