Wadanganye hao hao hayo makontainer yanayopita free hapo border ni Siri?Kwa akili yako kodi za nchi hii zinalipwa na watu gani? Machinga na mama nitilie? Bodaboda? Au wakulima huko vijijini?
Unajua makampuni kama TBL, Vidacom, Metl, Azam wanalipa kodi kiasi gani?
Hebu wataje sasa mbona unaogopa sasaWadanganye hao hao hayo makontainer yanayopita free hapo border ni Siri?
Wanaofill mafuta for free watajuaje ugumu wa maisha?
They are turning nw, keep watchin.
Ili uendelee kwanza inatakiwa ubadilike kisaikolojia!Hii nchi ni kubwa, bila misaada (bakuli) na kuita wawekezaji waje aisee hatutoboi huo ndiyo ukweli, tunatumia zaidi ya tunachozalisha.
Ilifika kipindi katika nchi hii alisafiri mpk kufikia hatua analipa mishahara ya wafanyakazi kwa pesa za mkopo!Na ndio tutazidi kuwa maskini. Tusipoenda ni vilevile na tukienda ni vilevile.
Hata mama Samia asiposafiri bado sioni Kama itasaidia chochote. Cha umuhimu akienda aache tu kutoa ahadi za kuwapa rasilimali
wanaenda Mars na Jupiter...akili ni nyweleNa hao marais wenye hayo mapesa huwa wanafanya ziara wapi ili kupata hizo pesa?
Ww jamaa bana ndio maana nikasema hujui unachozungumza, lini imefika 10%??Mkuu unajua GDP ya Botswana ni ngapi? Ni 15 Bilion USD, Tanzania ni 62 Bilioni USD,
Sijui hicho kipimo cha kuwa madini yanachangia 7% ya gdp umetoa wapi ila mimi takwimu ninazijua madini yanachangia 10% ya gdp, na inaonyesha 35% ya 15 ni ndogo kuliko na 10% ya 62
Ila Tanzania kuna wajinga wengi kama wewe. Bado tunaushamba wa wazungu na Waarabu. Mizimu ya babu wapinga ukoloni msitutupe mkono mtusaidia hata kuwatia uchizi wq kuokota makopo hawa wasaliti wetuNakubaliana na ww raisi anapaswa kusafiri, Ila pia Kuna kipimo.
Haipaswi kuwa kama ilivyokua wakati wa magufuli
Sikubaliani na ww kusema Magufuli alikuwa anakopa kwenye mabenki. Deni letu kutoka kwenye mabenki ni 30% tu ya deni lote la taifa ambayo ni sawa na trillion 20. Magufuli alikopa 12% ya deni lote la nje kutoka kweye mabenki ambayo Ni sawa na tril 8. Je Magufuli alikopa tril 8 tu???
Unasema huyo analalamika tozo tu, tutatoa wapi pesa?
Si tuna rasilimali? Kazi ya tuliowapa kuongoza ni ipi ikiwa hawawezi kutumia rasilimali zilizopo kutatua changamoto zetu?
Uzuri au ubaya hiyo miradi ilianza chini huyo alieshusha na tuliona ikitekelezwa kwa kasi kuliko sasa.Unahitaji fedha kujenga miundo mbinu,project Kama sgr na mnhp haziwezi kuwa financed na Pato la ndani,hizo pesa zipo nje,rais akikaa ndani inasaidia nini!?...yule jamaa yenu aliyekaa ndani alishusha FDI Hadi chini ya 1b$..Sasa FDI ipo $9b
Kodi katika kila ninachofanya na kutumia, tozo, kununua haki zangu za kiraia n.kWewe unaenlaumu Samia wewe mchango wako ni upi kuhakikisha nchi inajitegemea kwenye mapato hasa ya kufanya miradi mikubwa? Kulalamikia kodi na tozo?
We ufala tu ndio unakutesaRais lazima atengeneze deals zitakazoiingizia nchi mapato, iwe ni deal za biashara na uwekezaji, au mikopo ama misaada
Sio jambo la kuficha kuwa nchi yetu ni maskini, wananchi wazawa hatuna mitaji ya kuwekeza kwenye miradi mikubwa, uwezo wetu wa kulipa kodi pia ni mdogo
Kufanya zuara za mikoani tu utaishia kuambiwa tuna shida ya maji, barabara, hospitali n.k lakini fedha hakuna, utatatua vipi hizo shida?
Magufuli yeye alikuwa akikopa mikopo kutoka benki za kibiashara, ambayo riba ni kubwa na muda wa kulipa ni mfupi, so unataka Samia afabya hivyo?
Wewe unaenlaumu Samia wewe mchango wako ni upi kuhakikisha nchi inajitegemea kwenye mapato hasa ya kufanya miradi mikubwa? Kulalamikia kodi na tozo?
NDIOKumbe Samia ni masalia ya Mbowe
Toka hoja za kumpinga mchangiaji kwa facts sio Luanda kuita mizimu isiyokuwepo! Au ndio unathibitisha kuwa nyie timu Chato mmeishiwa hoja mpo mufilisi?Ila Tanzania kuna wajinga wengi kama wewe. Bado tunaushamba wa wazungu na Waarabu. Mizimu ya babu wapinga ukoloni msitutupe mkono mtusaidia hata kuwatia uchizi wq kuokota makopo hawa wasaliti wetu
Kumbuka alichokopea maguu ni dar as salama hadi makutupora mama anaendeleza mpaka mwanza na isaka umbali mrefu aliyeondoka kafanya yake na hawezi kurudi mama anafanya yake yote tumshukuru Mungu mama hawezi kuongoza kama mwenda zake yeye ataongoza kama yeye na wataalamu wake pia marehemu afya ilikuwa haimrusu kupanda ndege jamani mkumbuke siyo kuwa hakutaka safari ndiyo maana za majirani aliyenda kwa garilakini ulishaanza na umekamilika kwa asilimia kubwa sana kama sioa silimia 90... maana mpaka wanafanya testing. hata ndugai alikuwa anajua hali halisi ya miradi kuwa haiitaji kukopa kopa kila siku
Tanzania inaonyesha mchango wa madini kwenye uchumi wake ni mdogo sababu uchumi wake ni mkubwa zaidi na unachangiwa na vitu vingi, sijui kama unaelewa hii mantikiWw jamaa bana ndio maana nikasema hujui unachozungumza, lini imefika 10%??
Alafu comparison ni percent kwenye gdp, na sio amount.
Bull crapKodi katika kila ninachofanya na kutumia, tozo, kununua haki zangu za kiraia n.k
Bei ya mafuta imepandishwa kuliko ile waliyoigomea, wazurulaji wanasikizia tu watu wapige kelele ili waje na 100b nyingine, wawe wanaLAMBA 200b monthy kihalali.
Waambie wakupe ukweli, wanaenda kuchukua 100 kwa makubaliano kuwa wadanganyika watalipa huku wakiweka rehani pande la nchi, wao wanajipongeza kwa sh 73 kwa kufanikisha deal, 15 inawekaa pembeni kusaidia wakati wa uchaguzi, 10 inakwenda ZNz, iliyobaki inaingizwa kwenye nyongeza ya miashara.
Kulipa kodi stahiki na kwa wakati ni mchango mkubwa kutoka kwa kila mwananchi.Rais lazima atengeneze deals zitakazoiingizia nchi mapato, iwe ni deal za biashara na uwekezaji, au mikopo ama misaada
Sio jambo la kuficha kuwa nchi yetu ni maskini, wananchi wazawa hatuna mitaji ya kuwekeza kwenye miradi mikubwa, uwezo wetu wa kulipa kodi pia ni mdogo
Kufanya zuara za mikoani tu utaishia kuambiwa tuna shida ya maji, barabara, hospitali n.k lakini fedha hakuna, utatatua vipi hizo shida?
Magufuli yeye alikuwa akikopa mikopo kutoka benki za kibiashara, ambayo riba ni kubwa na muda wa kulipa ni mfupi, so unataka Samia afabya hivyo?
Wewe unaenlaumu Samia wewe mchango wako ni upi kuhakikisha nchi inajitegemea kwenye mapato hasa ya kufanya miradi mikubwa? Kulalamikia kodi na tozo?
Sukuma gang chali 🤣Acha kutafuta mabwana kwa nguvu
🧠Bull crap
Sio kila taarifa ya kwenye Google unapaswa kuibeba.Tanzania inaonyesha mchango wa madini kwenye uchumi wake ni mdogo sababu uchumi wake ni mkubwa zaidi na unachangiwa na vitu vingi, sijui kama unaelewa hii mantiki
Na contribution ya madini ni 10.2%
View attachment 2282205