Nchi gani hiyo ya majirani Magufuli alienda kwa gari?Kumbuka alichokopea maguu ni dar as salama hadi makutupora mama anaendeleza mpaka mwanza na isaka umbali mrefu aliyeondoka kafanya yake na hawezi kurudi mama anafanya yake yote tumshukuru Mungu mama hawezi kuongoza kama mwenda zake yeye ataongoza kama yeye na wataalamu wake pia marehemu afya ilikuwa haimrusu kupanda ndege jamani mkumbuke siyo kuwa hakutaka safari ndiyo maana za majirani aliyenda kwa gari
Zanzibar.Nchi gani hiyo ya majirani Magufuli alienda kwa gari?
umeona sehemu nmelalamika kuhusu safariKama wewe hapo umeelimika kwa lipi hasa ikiwa huna hata uwezo wa kuelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya Nchi?
Mama msanii sana halafu ni mtu wa mipasho
Tunaweza hata kujiendesha tukiamua. Shida yetu ni ufisadi na mifumo mibovu. Hata hizo anazokwenda kuhemea huko nje si zinaishia kupigwa tu na wajanja wachache?Hii nchi ni kubwa, bila misaada (bakuli) na kuita wawekezaji waje aisee hatutoboi huo ndiyo ukweli, tunatumia zaidi ya tunachozalisha.
Kwa akili yako kodi za nchi hii zinalipwa na watu gani? Machinga na mama nitilie? Bodaboda? Au wakulima huko vijijini?
Unajua makampuni kama TBL, Vidacom, Metl, Azam wanalipa kodi kiasi gani?
Nimeshuhudia matusi, dhihaka na ghadhabu za Watanzania leo baada ya mh Rais baada ya kutetea kusafiri nje kuwa wananikosoa wana akili za kawaida
''Wale wenye akili za kawaida ni rahisi kulaumu, wanasema ‘Rais anasafiri tu, hakai, hatembelei mikoa’, nikienda mkoani tajenga siasa ya ndani hakuna maendeleo, nikienda nje nakwenda kutafuta fedha za maendeleo.''
Swali akili za kawaida ndio zipi?
USSR
Urais ni koti gumu, rais wetu tuna, too much ignorant in tanzania tuna wasomi wenye upeo mfupi mno, we with high I. Q we know and reflect far away, ignore all those ignorant,Nimeshuhudia matusi, dhihaka na ghadhabu za Watanzania leo baada ya mh Rais baada ya kutetea kusafiri nje kuwa wananikosoa wana akili za kawaida
''Wale wenye akili za kawaida ni rahisi kulaumu, wanasema ‘Rais anasafiri tu, hakai, hatembelei mikoa’, nikienda mkoani tajenga siasa ya ndani hakuna maendeleo, nikienda nje nakwenda kutafuta fedha za maendeleo.''
Swali akili za kawaida ndio zipi?
USSR
Uganda Kenya Rwanda nkNchi gani hiyo ya majirani Magufuli alienda kwa gari?
Kwahiyo unaona fahari kutangaza kuwa una njaa huku mashamba yapo na huyalimi au umewapa wengineRais lazima atengeneze deals zitakazoiingizia nchi mapato, iwe ni deal za biashara na uwekezaji, au mikopo ama misaada
Sio jambo la kuficha kuwa nchi yetu ni maskini, wananchi wazawa hatuna mitaji ya kuwekeza kwenye miradi mikubwa, uwezo wetu wa kulipa kodi pia ni mdogo
Kufanya zuara za mikoani tu utaishia kuambiwa tuna shida ya maji, barabara, hospitali n.k lakini fedha hakuna, utatatua vipi hizo shida?
Magufuli yeye alikuwa akikopa mikopo kutoka benki za kibiashara, ambayo riba ni kubwa na muda wa kulipa ni mfupi, so unataka Samia afabya hivyo?
Wewe unaenlaumu Samia wewe mchango wako ni upi kuhakikisha nchi inajitegemea kwenye mapato hasa ya kufanya miradi mikubwa? Kulalamikia kodi na tozo?
Ngozi nyeupe Huwa wanatudharau sana tunapoenda kutembeza BAKULI.Kwahiyo unaona fahari kutangaza kuwa una njaa huku mashamba yapo na huyalimi au umewapa wengine
"Wenye uwezo wa Kawaida wa Kufikiri ( Nadhani akina GENTAMYCINE ) wanasema kuwa ninasafiri sana Nje ya nchi. Ukweli ni kwamba nikisafiri Mikoani nakuza tu Siasa za Ndani ila nikienda huko Ulaya naenda Kuwaletea Pesa kama hizi"
...
Sawa Mama Safiri ukatuletee Fedha.
Acha utani, alienda hadi.mpakani mfano namanga kwenye ufunguzi wa kituo Cha huduma.Uganda Kenya Rwanda nk
Jpm kaifikaje hapo,kwani usipotaja ilo jina unaisi hutokuwa umelewa siyo?achaga hayo mawazo pimbi weeeRais lazima atengeneze deals zitakazoiingizia nchi mapato, iwe ni deal za biashara na uwekezaji, au mikopo ama misaada
Sio jambo la kuficha kuwa nchi yetu ni maskini, wananchi wazawa hatuna mitaji ya kuwekeza kwenye miradi mikubwa, uwezo wetu wa kulipa kodi pia ni mdogo
Kufanya zuara za mikoani tu utaishia kuambiwa tuna shida ya maji, barabara, hospitali n.k lakini fedha hakuna, utatatua vipi hizo shida?
Magufuli yeye alikuwa akikopa mikopo kutoka benki za kibiashara, ambayo riba ni kubwa na muda wa kulipa ni mfupi, so unataka Samia afabya hivyo?
Wewe unaenlaumu Samia wewe mchango wako ni upi kuhakikisha nchi inajitegemea kwenye mapato hasa ya kufanya miradi mikubwa? Kulalamikia kodi na tozo?
Sasa mkuu unapoteza muda na watu wa akili za kaida kweli!?[emoji23][emoji23][emoji23]Tangia uhuru hakuna uwekezaji uliobadili maisha ya watanzania? [emoji1787]
Jamani tunawasiliana kwa intaneti na simu za mkononi sasa hivi, huu sio uwekezaji? Makampuni kama Vodacom, Tigo, Airtel si ya wawekezaji haya?
Kuna benk kubwa kama CRDB ambayo ilikuwa imekufa, leo hii ndio benki kubwa Tz baada ya wawekezaji kuichukua,
Tuna makampuni ya saraji, mabati, vyakula, vinywaji n.k vinavyolipa kodi kubwa serikalini na kutoa ajira, hizi sio faida za uwekezaji?
Aisee!Hizi ndiyo akili sasa.Watu kama Memento hapo,hawana mchango wowote wa moja kwa moja kwa taifa katika nyaja ya uchumi.Ukimuuliza yeye hapo alipo analipa kodi kwa serikali kiasi gani kwa mwaka?hatokupa jibu...Watz tuko milioni 50++.
..Botswana wako milioni 2 [ sina uhakika].
..kutokana na idadi yao ndogo lazima Botswana watafaidi zaidi madini yao kulinganisha na Tz.
..Hata ukiangalia mafuta ya Nigeria vs ya nchi za Kiarabu.
..Ni kweli kuna rushwa na ubadhirifu Nigeria, lakini kwa idadi kubwa ya watu wao sio rahisi kuona manufaa ya mafuta ukilinganisha na Saudia, Kuwait, etc.
..Kwa hapa Tanzania hatuwezi kuwakwepa WAKULIMA kama tunataka kujikwamua kiuchumi.
Sasa kama ujui mtaji wa kwanza kwa taifa ni wingi wa watu?Wewe nawe ni miongoni mwa watu wa akili za kawaida.[emoji23][emoji23][emoji2]Huo uwingi Wenu usio na faida mlilazimishwa mzaane hovyo kama Sungura na Panya wakati mkijua hamna Akili?