Rais Samia wewe fanya kazi, usiwasikilize wanasiasa kama Ndugai

Rais Samia wewe fanya kazi, usiwasikilize wanasiasa kama Ndugai

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Mama Samia kama Rais ameanza kuchukua hatua zake mwenyewe kuona maendeleo ya nchi yanasonga mbele.

Kimsingi, Mama Samia kaweka utu wa Mtanzania mbele, na kuhakikisha hakuna maonezi ya kubambikwa kesi za kughushi ili konea mtu na kupora mali zake.

Masalia ya Awamu ya 5 yapo. Miluzi ni mingi na kelele za milango toka kwa wafaidika Awamu ya 5 ni mingi.

Hili la Ndugai kumlaumu mama ni kielelezo cha mtu aliyeshiba, hagusiki, na kiujumla ana akili ndogo.

Miluzi ya watu kama Ndugai, Polepole na wengine, isimrudishe nyuma mama Samia.
Ndani ya miaka 5, hao watu watakuwa historia.
 
Kaweka utu wa mtanzania mbele wakati Mbowe yupo gerezani kwa kesi isiyoeleweka na wale mashahidi wa jamhuri wa kuchonga?

Mnasifia hovyo mpaka mmekuwa vipofu.
 
Mama Samia kama Rais ameanza kuchukua hatua zake mwenyewe kuona maendekeo ya nchi yanasonga mbele.

Kimsingi, Mama Samia kaweka utu wa Mtanzania mbele, na kuhakikisha hakuna maonezi ya kubambikwa kesi za kughushi ili konea mtu na kupora mali zake.

Masalia ya Awamu ya 5 yapo. Miluzi ni mingi na keleke za milango toka kwa wafsidika Awamu ya 5 ni mingi.

Hili la Ndugai kumlaumu mama ni kiekekezo cha mtu aliyeshiba, hagudiki, na kiujumla ana akili ndogo.

Miluzi ya watu kama Ndugai, Polepole na wengine, isimrudishe nyuma mama Samia.
Ndani ya miaka 5, hso watu watakuwa historia.
Naunga mkono hoja

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kaweka utu wa mtanzania mbele wakati Mbowe yupo gerezani kwa kesi isiyoeleweka na wale mashahidi wa jamhuri wa kuchonga?

Mnasifia hovyo mpaka mmekuwa vipofu.
Huyu mama anacheza na balancung act.
Anajua fika kesi ya Mbowe ni ya kubambikwa na wafyasi wa Magufuli, na hili liko wazi.
Kina Sirro mpaka leo wanajikanyaga kanyaga.
 
Unamwambia Raisi wa nchi ya “kidemokrasia“ asimsikilize Spika wa Bunge ?
Are you crazy ?

Unaelewa kazi ya Bunge ?
Ndugai hata kama una personal issue naye ni Mbunge na Spika wa Bunge la JMTZ, hivyo mambo yenu binafsi usilete kwenye nchi, yamalizeni huko huko nje.

Hakuna kosa amefanya kama Spika na Mbunge kuohoji Serikali!
 
aache kusilikiza miluzi na wafukuza upepo, aweke focus kwenye maslahi ya nchi na watanzania...
 
Kaweka utu wa mtanzania mbele wakati Mbowe yupo gerezani kwa kesi isiyoeleweka na wale mashahidi wa jamhuri wa kuchonga?

Mnasifia hovyo mpaka mmekuwa vipofu.

Kwa hiyo kwasababu Mbowe yuko jela basi kila kitu kiachwe tushughulikie ya Mbowe kwanza?..

Nchi ina mihimili mitatu, mhimili mmoja aka mahakama uko na suala la Mbowe bila shaka InshaAllah haki yake itapatikana...na ikifika mahala pa kutumia busars kwa mihimili mingine na kukaa pamoja basi watazungumza pia...

Lakini pia fahamu, aliyeko jela sio Mbowe pekee, wako wengi jela ambao kwa namna moja au nyingine haki zao zimepindishwa ili watu fulani wanufaike, inawezekana kuna walioko jela hata kwa sababu yako wewe....La msingi wote tuishi kwa haki na tufundishe familia zetu na watoto wetu maana ya haki na faida ya haki..
 
Unapomshauri mwanasiasa anitenge na wanasiasa.
 
Kaweka utu wa mtanzania mbele wakati Mbowe yupo gerezani kwa kesi isiyoeleweka na wale mashahidi wa jamhuri wa kuchonga?

Mnasifia hovyo mpaka mmekuwa vipofu.
Matatizo ya mama mawili tu, mgao mkubwa wa fedha Zenji mfano za uviko, na kesi isioeleweka ya Mbowe, mengine anaenda vizuri!
 
Mama Samia kama Rais ameanza kuchukua hatua zake mwenyewe kuona maendeleo ya nchi yanasonga mbele.

Kimsingi, Mama Samia kaweka utu wa Mtanzania mbele, na kuhakikisha hakuna maonezi ya kubambikwa kesi za kughushi ili konea mtu na kupora mali zake.

Masalia ya Awamu ya 5 yapo. Miluzi ni mingi na kelele za milango toka kwa wafaidika Awamu ya 5 ni mingi.

Hili la Ndugai kumlaumu mama ni kielelezo cha mtu aliyeshiba, hagusiki, na kiujumla ana akili ndogo.

Miluzi ya watu kama Ndugai, Polepole na wengine, isimrudishe nyuma mama Samia.
Ndani ya miaka 5, hao watu watakuwa historia.
Mtu kama Polepole ni looser,kumuweka akilini ni kwamba ubongo wako umekosa kitu cha maana cha kuhifadhi.
 
Hiyo kazi anayofanya / anayotakiwa kuifanya anajipangia mwenyewe kwa kufanya kwa matakwa yake binafsi ?
 
Mama Samia kama Rais ameanza kuchukua hatua zake mwenyewe kuona maendeleo ya nchi yanasonga mbele.

Kimsingi, Mama Samia kaweka utu wa Mtanzania mbele, na kuhakikisha hakuna maonezi ya kubambikwa kesi za kughushi ili konea mtu na kupora mali zake.

Masalia ya Awamu ya 5 yapo. Miluzi ni mingi na kelele za milango toka kwa wafaidika Awamu ya 5 ni mingi.

Hili la Ndugai kumlaumu mama ni kielelezo cha mtu aliyeshiba, hagusiki, na kiujumla ana akili ndogo.

Miluzi ya watu kama Ndugai, Polepole na wengine, isimrudishe nyuma mama Samia.
Ndani ya miaka 5, hao watu watakuwa historia.
Kwani mama sio masalia ya awamu ya tano!!??
huyo si alikuwa makamu......
watu wengine wanajikomba mpaka kinyaa
ona aibu.......
 
Huyu mama anacheza na balancung act.
Anajua fika kesi ya Mbowe ni ya kubambikwa na wafyasi wa Magufuli, na hili liko wazi.
Kina Sirro mpaka leo wanajikanyaga kanyaga.
Yeye Samia ni mfuasi wa nani?

Kumbe Samia alikuwa makamu rais wa Lisu?
 
Kwani mama sio masalia ya awamu ya tano!!??
huyo si alikuwa makamu......
watu wengine wanajikomba mpaka kinyaa
ona aibu.......
Wajinga ninyi, mlitegemea mama Samia aendelee kubambika watu kesi za uhujumu?
Kwa vile alikuwepo.
Au mlitegemea wasiojulikana wa kina Polepole wawafix watu?
Zama zenu zimepita.
 
Wajinga ninyi, mlitegemea mama Samia aendelee kubambika watu kesi za uhujumu?
Kwa vile alikuwepo.
Au mlitegemea wasiojulikana wa kina Polepole wawafix watu?
Zama zenu zimepita.
Cheki huyu jamaa mjinga mjinga......
Mbowe kapewa kesi na baba yako?!
 
Back
Top Bottom