Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
- #21
Du...ninyi mliokuwa wasiojulikana sasa mna tweta baada ya kukosa hela ya dhuluma.Cheki huyu jamaa mjinga mjinga......
Mbowe kapewa kesi na baba yako?!
Hata mtu mpumbavu anajua kuwa kesi ya kughushi ya Mbowe mumeiunda na mwendazake akiwa madarakani.
Siro kinara wenu anashindwa kujibu kwa sasa hivi.
Dhuluma imewashinda mkalime sasa.