Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #21
Du...ninyi mliokuwa wasiojulikana sasa mna tweta baada ya kukosa hela ya dhuluma.Cheki huyu jamaa mjinga mjinga......
Mbowe kapewa kesi na baba yako?!
Hawa kipindi cha mwendazake walikuwa wanasema hapa kazi tu. Wapinzani wakiongea ukweli wanasema wametumwa na mabeberu!. Mwendazake mara kwa mara alikuwa akisema anajenga nchi kwa fedha za ndani na hategemei mikopo na misaada ya mabeberu, wanapiga makofi na kufurahia. Leo hii dhana imebadilika kabisaa wanaisifia mikopo ambayo waliiponda kipindi cha JPM, jamaa naona wanaiponda mitikasi ya mwendazake. Safari za nje za mama wanasema mama anaimarisha diplomasia ila kipindi cha JPM alisema hatosafiri wakashangilia kabisa na kusema safari za nje ni gharama kwa nchi.. Shida ni unafiki na maslai yao. Wamekuwa kama bendera.Kaweka utu wa mtanzania mbele wakati Mbowe yupo gerezani kwa kesi isiyoeleweka na wale mashahidi wa jamhuri wa kuchonga?
Mnasifia hovyo mpaka mmekuwa vipofu.
kazi ya bunge ni kuhoji.sasa sijui kosa la spika unavyo mtuhumuMama Samia kama Rais ameanza kuchukua hatua zake mwenyewe kuona maendeleo ya nchi yanasonga mbele.
Kimsingi, Mama Samia kaweka utu wa Mtanzania mbele, na kuhakikisha hakuna maonezi ya kubambikwa kesi za kughushi ili konea mtu na kupora mali zake.
Masalia ya Awamu ya 5 yapo. Miluzi ni mingi na kelele za milango toka kwa wafaidika Awamu ya 5 ni mingi.
Hili la Ndugai kumlaumu mama ni kielelezo cha mtu aliyeshiba, hagusiki, na kiujumla ana akili ndogo.
Miluzi ya watu kama Ndugai, Polepole na wengine, isimrudishe nyuma mama Samia.
Ndani ya miaka 5, hao watu watakuwa historia.
Wanaompinga ndio waliounda wasiojulikana.Ndio anafanya ila maneno ameyasikia, maumivu lazima yawepo