Mwenyekiti wa CHADEMA Freemen Mbowe katika mkutano wa CHADEMA alisema kuwa aliandika barua kumuomba Rais Samia Suluhu kufanya maridhiano ya kitaifa wakiamini ni njia sahihi ya kufanya kazi na kujenga nchi na Rais Samia alijibu barua hiyo ndani ya siku 3 alilidhia ombi hilo.
Pamoja na kuwa na majukumu mengi ya kitaifa Rais Dkt. Samia Suluhu aliijibu barua ya Mwenyekiti wa CHADEMA ndani ya muda mfupi na kukubali kufanya maridhiano ya kitaifa. Hii inaonyesha ni jinsi gani Rais Samia Suluhu amerejesha Democrasia iliyopotea.
Lakini pia Menyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa amethibitisha kuwa sasa Tanzania kuna Uhuru wa kutoa maoni, kwaiyo kila Mtanzania anauhuru wa kusema chochote anachokifikilia kwasababu Rais Samia Suluhu anaendelea kudumisha uhuru Tanzania.
Pamoja na kuwa na majukumu mengi ya kitaifa Rais Dkt. Samia Suluhu aliijibu barua ya Mwenyekiti wa CHADEMA ndani ya muda mfupi na kukubali kufanya maridhiano ya kitaifa. Hii inaonyesha ni jinsi gani Rais Samia Suluhu amerejesha Democrasia iliyopotea.
Lakini pia Menyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa amethibitisha kuwa sasa Tanzania kuna Uhuru wa kutoa maoni, kwaiyo kila Mtanzania anauhuru wa kusema chochote anachokifikilia kwasababu Rais Samia Suluhu anaendelea kudumisha uhuru Tanzania.