Rais shtuka! Soon utapigiwa kura ya kutokuwa na Imani na wewe. Spika ana-mobilize wabunge kwa kasi sana, kumbuka hakupendi

Rais shtuka! Soon utapigiwa kura ya kutokuwa na Imani na wewe. Spika ana-mobilize wabunge kwa kasi sana, kumbuka hakupendi

Hawawezi lazma mshushu wampenyezee taarifa😅😅😅 lazima pale kun vijana wanaoreport kwake.
Mashushu wengi bado ni wale waliokuwa watiifu kwa mwendazake na Bashiru
 
Kama Ndugai atafanya hivyo atafanya jambo lililojema sababu sio yeye tu na wabunge hata wananchi hawana Imani nae kabisa huyo Mama
 
Unaelewa vizuri ulichokiandika au umejiandikia tu.Inaonekana sasa hivi mtu yoyote anaweza kushiba makukuru uko kwake akaja mwenye mtandao kubeua chochote anachokisikia.
Wacha maCCM yaparulane lakini naamini hilo jambo siyo rahisi kutokea
 
Hivi Ndugai ni nani katika nchi hii mbona anaonekana kama mpuuzi fulani tu?
 
Tetesi isiiyo na tija hii. Kwa Tanzania bado sana.

Ndugai kama ana ubavu aanze kwanza mchakato wa kuvibadilisha baadhi ya vifungu vya Katiba vinavyompa madaraka Rais (na Mwenyekiti wa CCM) kulithibiti Bunge/Wabunge wa CCM
Samia hajakabidhiwa uenyekiti wa chama bado. Kwahiyo kwasasa ni rahisi mno kumtupa nje mama Samia
 
Kwa jinsi Samia alivyo hivi sasa, CCM wakimpoka kadi tu hana issue

WATAMPOKA KWANI MANGULLA KAONDOKA? MISTAKE ATAKAYOFANYA SASHA NI PALE AKIKUKUBALI MANGULLA AONDOKE MARA TU ATAKAPOKUWA MWENYEKITI!!! STAY WITH MANGULLA FOR SOMETIME WHILE CONSOLIDATIG YOUR POWER BASE.
 
Kundi lile ambalo lilikuwa halitaki mama aingie Ikulu lina watu wabaya sana kwa Taifa letu na linahaha kutwa kucha ili kumdhibiti Mama. Na kama unavyoona kuna juhudi kubwa sana Bungeni ya kuponda ripoti ya CAG ili tu waliinue jiwe lao kwamba limefanya mambo makubwa sana.
Mama akitetereka basi wahuni hao ndiyo watakuwa wameshika usukani which is not a good idea for the future of our beloved country
Mkuu kuwa na amani kabisa hilo kundi halina tena meno
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ndugai kichwa tupu Hana huo ubavu ilimradi tu mama SASHA Yuko pamoja na Jk!
Yaani Ndugai hastahili kulegeza gidamu za JK.
Tuko pamoja na Mama na tuna Imani naye
#kwahisanimbayuwayuJK
 
Watu wakomakini tangu wa magu akate roho alianza kuhakikishiwa usalama wake hivyo hilo ondoa shaka labda watumie njia nyingine kama kawaida yao.
Naomb niishie hapo
Umeeleweka sana mkuu lkn bado kuna lile kundi linalo amini kuwa linatoka kanda muhimu ki siasa
 
hivi ndugai ni nani katika nchi hii mbona anaonekana kama mpuuzi fulani tu?

NDUGAI NI MPUUZI FULANI HIVI AMBAE HAKUBALIKI HUKO KWAO KONGWA!! ANAINGIA BUNGENI KWA WIZI WIZI TU.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wakati huo yeye atakua anasubiri nini kulivunja bunge wakati haiihitaj mchakato wowote.
 
Aaa wapi! Hawana ubavu huo wale! Wakidhubutu, mama naye atalivunja bunge, alafu taga yupi pale unafikiri yupo tayari uchaguzi urudiwe?! Wenzako wana mikope wale, oh!
Kwa hiyo kama unataka kumtishia Mazaa nyau, utasubiri kwanza!
Haya mataga wamezamilia lkn watashindwa maana hawana meno tena
 
Watu wanavyo ongea utadhani hiyo kura inapigwa na hapo hapo rais anaachia urais hahaaaaa

Wakasome katiba vizuri waone kama ni rahisi hivyo kutekeleza hilo

Mchakato wa hilo jambo unampa nafasi kubwa sana rais kufanya maamuzi yake kabla hata ya kupiga hiyo kura kwa hiyo hilo haliwezekani kabisaaaaaaa muwe na amani
Tunafahamu ugumu wa mchakato wa kulifanikisha hili lkn mama hana nguvu maana siyo mwenyekiti wa chama. Kwahiyo anaweza kupokwa kadi ya ccm.
 
Unaelewa vizuri ulichokiandika au umejiandikia tu.Inaonekana sasa hivi mtu yoyote anaweza kushiba makukuru uko kwake akaja mwenye mtandao kubeua chochote anachokisikia.
Wewe ndiyo hujaelewa, mbona kila kitu kiko wazi hapa.
 
Back
Top Bottom