Washavuta mikopo wana hasara gani? na huku uchaguzi wenyewe hawakutumia nguvu wala takrima? Kwa ufupi mama awe fair na asiendekeze anti Magufuli kumshauri! Hekima, busara na her security channel zitamsaidia. Tunamuombea atuvushe salama.Hao Wabunge hawana ubavu huo wakifanya hivyo Bunge litavunjwa na wote wanarudi kwenye Uchaguzi na ni ngumu kupita vile wengi walibebwa na beleko.
Ilipangwa apewe mwezi mei. Lkn kuna manyang'au yanadai mwendazake amewanyanyasa Sana kwasabb alikuwa na kofia zote 2. Hivyo wanapiga kampeni Samia asipewe uenyekiti.Hivi anakabidhiwa lini? Mbona wanachelewa? Ni haki yake apewe haraka
Duuh! Asante sana mkuu kwa chakula hiki cha ubongo. Sikulijua hili.Bashiru alikuwaga GS wa chama. Cheo kilijifuta automatically alipoteuliwa kuwa KMK na kuhamia ikulu, serikalini.
Everyday is Saturday............................... 😎
ATATOKA YEYE KWENYE USABUFA!🤣🤣🤣Tetesi isiiyo na tija hii. Kwa Tanzania bado sana.
Ndugai kama ana ubavu aanze kwanza mchakato wa kuvibadilisha baadhi ya vifungu vya Katiba vinavyompa madaraka Rais (na Mwenyekiti wa CCM) kulithibiti Bunge/Wabunge wa CCM
Wakithubutu imekula kwao, Rais bado anaweza kulivunja bunge wote wakaangukia pua!Mama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa kasi sana na Ndugai ndio engineer wa hilo kwa kupitia Wabunge na ameandaa wachangiaji wa kukushutumu indirectly ili iwe vyepesi kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono.
Tanzania mapichapichaMama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa kasi sana na Ndugai ndio engineer wa hilo kwa kupitia Wabunge na ameandaa wachangiaji wa kukushutumu indirectly ili iwe vyepesi kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono.
Mataga team praise and worship umeshaanza kulegeza msimamo.Washavuta mikopo wana hasara gani? na huku uchaguzi wenyewe hawakutumia nguvu wala takrima? Kwa ufupi mama awe fair na asiendekeze anti Magufuli kumshauri! Hekima, busara na her security channel zitamsaidia. Tunamuombea atuvushe salama.
Hahaaa kwani mama kakataa kumlipia Dawa zake?Ndugui achunguzwe kwa karibu huenda ikawa ameacha matumizi ya dozi!
Wala katibu muenezi hawana, ndiyo maana Polepole yupo yupo tu.. Alipoteuliwa ubunge viti maalum, akapoteza ukatibu uenezi.Duuh! Asante sana mkuu kwa chakula hiki cha ubongo. Sikulijua hili.
Kwahiyo kwa Sasa CCM haina mwenyekiti na haina katibu????
Kwa tamzania hajatokea mbabe wa namna hiyoTunafahamu ugumu wa mchakato wa kulifanikisha hili lkn mama hana nguvu maana siyo mwenyekiti wa chama. Kwahiyo anaweza kupokwa kadi ya ccm.
Hivi rais hana uwezo wa kumtoa kwenye hicho kiti?Huyu Ndugai huwa ni mjinga flani ingetakiwa hata huo u speaker asiwe nao.
Watu hawajaamua tu kwani hakuna kisichowezekana chini ya juaRahisi mno? Kwa CCM hii? In your dreams..
Upo sahihi kabisaKama anafikiria hivyo ataondoka Ndugai ataondoka asubuhi tu. Mwenyekiti was chama ataamuru wabunge wa CCM wakae kama caucus na kupitisha hoja ya bunge kutokuwa na imani na spika. Mwisho wa game. Usicheze na Rais. Kwa katiba hii ana nguvu kweli kweli!
Ha ha haaa.....Ikitotanzila!!!😂🤣😍🥰Suppose wakamwahi mama kabla ya kulivunja! So atakuwa ametolewa kiulaini
Isikubalike hii. Najua vita ni kubwa ila hii isikubalikeIlipangwa apewe mwezi mei. Lkn kuna manyang'au yanadai mwendazake amewanyanyasa Sana kwasabb alikuwa na kofia zote 2. Hivyo wanapiga kampeni Samia asipewe uenyekiti.