Tuliwahi kuwa naye!Tanzania tunahitaji kuwa na Rais mwenye akili kama za Donald Trump.
GOD BLESS ISRAEL
MwakaHapo atakua kakanyaga waya waafrika tutaisoma namba huku.
ARV inatolewa na pepfar ishirikiana na CDC
Fursa hii mkuu na mimi ngoja nitafute mizizi feki, ndio muda wa kupiga pesa huu, usisahau na kina mwamposa sasa watajaza watu mara dufuDr Mwaka na Isaac ndodi watapiga pesa plus wamasai acha kabisa!!
Lakini mbona kama tulikua pro active vile!!?
Humphrey pole pole so yupo Cuba kule na program zake za za mitishamba zilishaanza!!?
Nakubali!
Mwaka
Kwakweli ni swali la msingi sana.Wamejitoa!?!?sasa ARV itakuwaje?
Samahani mkuu lakini mchango wao unatusaidia sisi kwa namna moja au ingine.WHO haina manufaa yoyoye kwa Wamarekani!
SAhihi kavisa.Turudi kwenye tiba asilia tulizosema za kishenzi
Ndo muamke sasa muache kutegemea sana vya watu…Samahani mkuu lakini mchango wao unatusaidia sisi kwa namna moja au ingine.
Wangemuambia tu China aongeze mchango Jamani 🤭Rais Donald J. Trump ametia saini agizo la kuiondoa Marekani kutoka Shirika la Afya Duniani(WHO) 20 Januari 2025, muda mfupi baada ya kuapishwa kwake
Uamuzi huu umezua mjadala na wasiwasi mkubwa miongoni mwa wataalam wa Afya duniani.
Rais Donald Trump alitaja sababu kadhaa za Marekani kujiondoa kwenye Shirika la Afya Duniani (WHO). Moja ya sababu hizo ni tofauti katika michango ya Kifedha, akibainisha kuwa China pamoja na Idadi kubwa ya watu(population over a billion) inalipa karibia US$40 wakati Marekani yenye idadi ndogo inalipa zaidi ya US$400.
Source:USAToday.
=======
My take
Tuamke.
Ajitoe na kusapoti siasaRais Donald J. Trump ametia saini agizo la kuiondoa Marekani kutoka Shirika la Afya Duniani(WHO) 20 Januari 2025, muda mfupi baada ya kuapishwa kwake
Uamuzi huu umezua mjadala na wasiwasi mkubwa miongoni mwa wataalam wa Afya duniani.
Rais Donald Trump alitaja sababu kadhaa za Marekani kujiondoa kwenye Shirika la Afya Duniani (WHO). Moja ya sababu hizo ni tofauti katika michango ya Kifedha, akibainisha kuwa China pamoja na Idadi kubwa ya watu(population over a billion) inalipa karibia US$40 wakati Marekani yenye idadi ndogo inalipa zaidi ya US$400.
Source:USAToday.
=======
My take
Tuamke.
YepNdo muamke sasa muache kutegemea sana vya watu…
Sasa huo ndio mtihani wa watawala wetu vipaumbele vya nchi huwa hawavioni kabisaa, inaumiza sana kwakweli.Ndo muamke sasa muache kutegemea sana vya watu…