Rais Trump awapa siku tatu Hamas kuwaachia mateka wanaoshikiliwa

Ni mpuuzi huyo hawezi ipeleka U.S popote kwa akili zake za ukurupukaji na uropokaji unafikiri anaweza kuthibitisha ushindani wa uchina unaotishia zaidi anguko la marekani kuliko hao Hamas anao hangaika nao.

DT ni mwehu
Yaani mwehu anayeishi nchi ambayo haieleweki eti anajiona ana akili kuliko Trump na anatabiri anguko la USA.
Ukiacha Urais Trump ni moja ya matajiri USA wewe usiye mwehu una miliki nini Tanzania.

Hivi huu ujinga watanzania tumeupata wapi?
 
Yaani mwehu anayeishi nchi ambayo haieleweki eti anajiona ana akili kuliko Trump na anatabiri anguko la USA.
Ukiacha Urais Trump ni moja ya matajiri USA wewe usiye mwehu una miliki nini Tanzania.

Hivi huu ujinga watanzania tumeupata wapi?
Ulivyo mpuuzi unafikiri kuishi Marekani kunafanya wote wawe na akili wewe naye mwehu kama DT
 
Hama's ni wakupelekwa kuzimu tu hakuna lingine.
 
Dogo acha upumbavu unafikiri kila mtu mtoto mwenzio
 
Hujui kitu wewe ni sawa na form 3 tu hivi anayejifunza Historia tu. Uliyoandika ni mambo ya kitoto hasa hapo unapoitaja USAID. Una muda wa kujifunza mengi muda bado upo
 
Inawezakan Biden alikuwa mgonjwa ila huyu ni mwehu kabisa! Ana dharau na anaamini kila kitu kina-revolve around US.
Yeye kaikuta US na dunia, na ataiacha!
Kawakuta Wapelestina na atawaacha!

Kuna nini kipya atafanya ambacho Israel hakufanya kwenye miezi 11 ya vita?
 
Ulivyo mpuuzi unafikiri kuishi Marekani kunafanya wote wawe na akili wewe naye mwehu kama DT
Nimekwambi ukiacha Urais huyo DT ni moja ya matajiri USA, wewe ambaye siyo mwehu unamiliki nini Tanzania?
Muwe mnaficha upuuzi wenu wa hizo imani zenu. Huyo unayemsema mwehu tamko lake moja tu linaweza kufanya uchumi wa nchi yako hadi na familia yako ukaparaganyika pamoja na hizo akili zako.
 
hana lolote huyu ni coward internationally.,
 
Safi sana,Hamas sio wa kuwachekea ni Magaidi hatari sana.
Usichojua Ni Kwamba Kumtishia Gaidi Na Kifo Ni Sawa Na Mchezaji Soka Umwambie Usipofunga Goli Kwenye Mechi Ya Kesho Nitakuadhibu Kwa Kukupa Ballon D'or.Kufa Wanaogopa Makafiri Kama Trump Na Washirika Wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…