Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Hamia Kenya mkuu! Hii ni nchi huru! Mbelgiji wenu ndio huyo kasepa. Nendeni na washabiki wake mkakae Kenya.

Pale ikulu tu wametimuana yeye na makamo wake kisa kugombea madaraka ya 2022 alafu anataka kutwambia nini
 
Anza wewe na familia yako kuingia mitaani. Au Waite BBC na media yoyote ya Kenya watatangaza everything you vomit, they will never ask for evidence....talk, talk, talk.
Sasa hivi tunavumilia mwaka 2028 wenyewe tutaingia barabarani pale Magufuli atakuwa anamalizia muhula wa tatu kuingia wa nne. Hatutahitaji kina Mbowe wala Zitto.Wenyewe tutatoka.
 
Siasa za Kenya huwezi fananisha na Tanzania.

Kila mtu anasiasa zake peke yake.
Duuuh,upekee wetu ni huu mpinzani kuwa adui na kuwindwa kama swala!Siasa zetu ni za kiubaguzi kwamba watu wakichagua upinzani hakuna kupeleka maendeleo!
Kweli siasa zetu ni za kipekee sana!
 
Babu Seif kachoka .Acha tu aombe makubaliano.Hana tena Energy. Acha amalizie uzee wake kwa amani na furaha moyoni mwake.Soon ataanza kuvaa pempers kachoka sana Babu Seif.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni nchi gani jirani na Kenya iliwahi kuwa na machafuko ya kisiasa watu 1500 wakauawa?

Ni Kenya pekee ambapo zaidi ya watu 1500 waliuawa kisa siasa.
Walishavuka huko na ndio maana wakiona watu wanataka kwenda huko wanawapa tahadhari!
Siasa sio uadui mpaka kuwindana kama swala amavyowindwa na simba!
 
Uhuru kaongea ukweli,fanyieni kazi maneno hayo ya busara!Siasa sio uadui wa kutoana roho!
Vipi ameongelea pia yale mauaji ya watu 1500 yaliyosababishwa na yeye ile 2007?
 
Babu Seif kachoka .Acha tu aombe makubaliano.Hana tena Energy. Acha amalizie uzee wake kwa amani na furaha moyoni mwake.Soon ataanza kuvaa pempers kachoka sana Babu Seif.
Akifanya hivyo utakuwa ni ubinafsi.

Kama wanapewa maridhiano basi watumie nafasi hiyo kuhakikisha kuwa CCM wanakubaliana na masharti yao ambayo mojawapo na muhimu liwe la kuunda tume mpya huru ya uchaguzi.
 
East africa rais ni Kenyatta tu ,waliobakia watafutieni majina yanayowafaa

Siasa sio uadui, lakini sisi siasa zetu ni uadui, Tatizo tunawapa madaraka wasiostahili ndio mpaka tunafikia hatua tulionayo sasa. Gharama ya kupandikiza chuki, uadui ni kubwa sana, we will pay for it
 
Kenya hawana siasa zaidi ya ukabila na 2022 watauana. mark my words.
Tumshukuru sana Mungu kwa kutupa Nyerere ambaye alivunjavunja ukabila na kufanya taifa liwe moja!Kwa watawa
 
Mwalimu wao wa siasa ni Tanzania. Wao wanakurupuka sana kila kitu front.
 
Akifanya hivyo utakuwa ni ubinafsi.

Kama wanapewa maridhiano basi watumie nafasi hiyo kuhakikisha kuwa CCM wanakubaliana na masharti yao ambayo mojawapo na muhimu liwe la kuunda tume mpya huru ya uchaguzi.
Tume huru itakuja siku tukichapana kwanza na dola. Kama ilivyokuwa Kenya. As far as kuna amani tume huru tusahau. Nyerere alikosea sana kutuacha bila katiba mpya.
 
Kenya hawana siasa zaidi ya ukabila na 2022 watauana. mark my words.
Tumshukuru sana Mungu kwa kutupa Nyerere ambaye alivunjavunja ukabila na kufanya taifa liwe moja! Kwa watawala tulionao sasa nchi hii isingekuwa na msingi imara aliouacha nyerere, nchi ingekuwa vipande vipande kwa chuki inayosambaa kwa kasi!
 
Ruksa kwa Lema, nyalandu na wengine waende kupata hifadhi.

Kenya Inchi ya Amani, Wanasiasa wa Kenya Wanajua Siasa, sio huku Tanzania Inchi ya Kuuwana na kutiana vilema tu.

Wewe wasema uliza watu wa eldoret kilichowakuta alafu unajua historia ya mungiki na mount elgon [emoji481][emoji481][emoji481][emoji481]
 
Baadhi ya viongozi wetu kwa asilimia kubwa wamekosa hekima ya kisiasa, na itawagharimu kwa namna yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…