Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Kenya katika swala la Ukabila na siasa za kimaeneo, lakini vila kupepesa macho, ndio nchi katika ukandaa wetu yenye demokrasia halisi ya uhuru wa mawazo ya watu, uhuru wa vyombo vya habari na uhuru mpana katika vyombo vyao vya kutoa haki yani MAHAKAMA!
Ukabila na siasa za kimaeneo ndio jambo zuri kwa muskabali wa ustawi wa wakenya?

Huijui Kenya, baki kusifia kitu ambacho ukijui ila jaribu kufanya utafiti juu ya mambo ya Kenya,Tanzania itabaki kuwa bora katika nchi za Afrika mashariki na kwa afrika kiujumla.
 
Ukabila na siasa za kimaeneo ndio jambo zuri kwa muskabali wa ustawi wa wakenya?

Huijui Kenya, baki kusifia kitu ambacho ukijui ila jaribu kufanya utafiti juu ya mambo ya Kenya,Tanzania itabaki kuwa bora katika nchi za Afrika mashariki na kwa afrika kiujumla.ijifanya

Ukabila na siasa za kimaeneo ndio jambo zuri kwa muskabali wa ustawi wa wakenya?

Huijui Kenya, baki kusifia kitu ambacho ukijui ila jaribu kufanya utafiti juu ya mambo ya Kenya,Tanzania itabaki kuwa bora katika nchi za Afrika mashariki na kwa afrika kiujumla.
Kujifanya unajua usiyemjua ni ujinga!

Hii mitizamo ya kusifia sifia hata katika mapungufu yetu na kuuchukia ukweli halisi wa maadui zetu ni ujinga zaidi!
 
Hiyo ni background of pre analysis, mimi nataka either analysis or pre analysis na lazima nifanye majumuisho yafike Ufipa.
 
Kenyata huyu huyu alimuua Msando😭😭😭😭😭 huyu bwege ni laana tu
Dear,
Uhuru Kenyatta:


1. Tunajua hii ni ngwe yako ya mwisho katika utawala ndiyo maana unasahau haraka ulikotoka. Ingekuwa muhula wako wa kwanza huu, kamwe usingethubutu hata kusogelea hiyo maiki.

2. Uliwatisha sana na kuwaondolea ulinzi majaji wa Supreme Court, akiwepo Jaji Mkuu Mr Maraga, hadi leo hampatani na hata mapendekezo yake ya kuwapitisha majaji zaidi ya 40 umeyaweka pending kwa kuyapuuza kwa vile unajua anastaafu Januari mwakani.

3. Miguna Miguna ---- wakili na mwanasheria yuko wapi??? Mbona hayuko Kenya tangu ukwapue utawala???

4. Pls Mr Uhuru, open the IEBC servers ya zile matokeo dufu ili Raila ajue alipata kura ngapi, sawa???

5. Who brutally killed Chris Msando, chief expert wa IT katika ile Tume ya Uchaguzi/IEBC???

Copy: William S. Rutto (Vice President, UR-Kenya. I hope you are paying attention to what your sly boss is doing. Muulize kwa nini anakusakama mno wewe, halafu loyalists wako kawavuruga-vurugu???).

FYI: 2022 RUTTO4Presisent of Kenya.
 
Walishavuka huko na ndio maana wakiona watu wanataka kwenda huko wanawapa tahadhari!
Siasa sio uadui mpaka kuwindana kama swala amavyowindwa na simba!
Kenya huwa hawavukagi chochote ndiyo maana walipojaribu kuivuka korona, sasa imewarudia tena kwa "car-sea."
 
We have are own way of doing things. Let Kenya try to do like the US.
 
Wewe unakula ili uishi, na hicho kichwa chako ni frame ya kubebea hayo meno. Tathmini unafanya kuanzia leo kwenda mbele na sio jana, leo na kwenda kesho? Tuchukulie hayo maboresho ndani ya chama yanafanyika kama utakavyo, kisha unaingia kwenye uchaguzi huku refarii na washika vibendera, wanatii amri na maagizo ya mmiliki wa timu unayoshindana nayo.

Kwa ujumla huna ujualo zaidi ya kuweza kuandika hapa jukwaani na kutenga paragraph. Unajiandaa kushindana vipi na mwenzako kisiasa, wakati yeye asilimia 70 ya ushindi wake ni nyenzo za nje ya kisiasa? Ingekuwa ushindi uko based kisiasa hapo ungesema unaangalia mbinu. Ule upuuzi wa juzi unaweza kutokea mbele ya wanaume na kusema kuna cha kujadili?
 
Yaani Kenyatta aliposikia matokeo ya Tanzania nadhani alikuwa anacheka mpaka anachanganyikiwa, haamini kuwa bado kuna nchi zinaweza kuendesha chaguzi zao ili kukidhi utashi wa kiongozi aliyeko madarakani. Amejiridhisha pasi na shaka kuwa bado watanzania wengi ni maiti, ila hao wachache waliokimbia mortuary atawapokea.
Huyo naye tunajua ni mshabiki wa Chadema hivyo ni sawa kuwapokea wenzake
 
Uchaguzi ujao wa Kenya Tanzania tunatakiwa tufanye kitu kuepukana na huyu jirani msumbufu asiye jua kupendwa maana yake nini? Uhuru huyu huyu aliyejisalimisha Chato akapewa na zawadi ya tausi anaonesha kajisahau na anataka kutuletea utovu wa nidhamu tena.
 
hahahahaha, hatuna undugu na wahutu sisi
'Huku akipigiwa makofi na wabunge Rais Kenyatta amesema watapokea watu watakaokimbilia Kenya ili waweze kuishi kwa amani.'

'Amesisitiza kuwa wanasiasa wazee wasiwachokoze wanasiasa vijana badala yake wawalee kwa upendo.'

Soon utasikia mkuu wa PORTLAND akisema ndege za KQ ni marufuku hapa na Mahindi hakuna kuwauzia.

'Yaani Mtu unampa ndege tausi lkn bado haridhiki tu,nasema uongo ndg zangu?
 
Ukabila na siasa za kimaeneo ndio jambo zuri kwa muskabali wa ustawi wa wakenya?

Huijui Kenya, baki kusifia kitu ambacho ukijui ila jaribu kufanya utafiti juu ya mambo ya Kenya,Tanzania itabaki kuwa bora katika nchi za Afrika mashariki na kwa afrika kiujumla.

Ni kweli kabisa, Tanzania itaendelea kuwa mbele ya hizi nchi nyingine lakini kwa kipimo cha udhaifu. Yaani ni sawa na shule Ambayo hakuna Division I, II au III, lakini ina IV na 0, na Tanzania inapata IV huku wenzake wakipata 0. Inabidi kuwa mwendawazimu kuamini kuwa una akili, kisa ndio umeongoza wajinga wenzio.
 
Tatizo watanzania wengi wamekosa uzalendo wa nchi yetu. Naagalia watu wengi humu mnakoment kwa mhemko. Alafu mbaya zaidi vijana wengi humu hajawahi vuka Tanzania japo mkae nje ya tanzania angalau mwaka mmoja. Kifupi tanzania ni nchi yetu sote lazima tuilinde na kuitetea.
 
Kweli rais sisi huku tumejawa na viongozi wenye roho mbaya, makatili na wenye kiu ya damu za wapinzani wao ndio maana hatuna maendeleo kama ya kwenu
 
Tatizo watanzania wengi wamekosa uzalendo wa nchi yetu. Naagalia watu wengi humu mnakoment kwa mhemko. Alafu mbaya zaidi vijana wengi humu hajawahi vuka Tanzania japo mkae nje ya tanzania angalau mwaka mmoja. Kifupi tanzania ni nchi yetu sote lazima tuilinde na kuitetea.

Uzalendo ni kujipendekeza kwa serikali ya wezi wa kura na wamwaga damu? Maana sasa hivi ni ngumu kutofautisha uzalendo na ujinga.
 
Kenya mmekomaa kisiasa. Sisi pia inabidi tuingie mtaani ndo viongozi watapata akili. Ila siku itafika tu ambayo wananchi wengi watasema sasa yatosha kuvumilia. Wenyewe wataingia mtaani.
Sio watanzania!
 
Ww unakula ili uishi, na hicho kichwa chako ni frame ya kubebea hayo meno. Tathmini unafanya kuanzia leo kwenda mbele na sio jana, leo na kwenda kesho? Tuchukulie hayo maboresho ndani ya chama yanafanyika kama utakavyo, kisha unaingia kwenye uchaguzi huku refarii na washika vibendera, wanatii amri na maagizo ya mmiliki wa timu unayoshindana nayo.

Kwa ujumla huna ujualo zaidi ya kuweza kuandika hapa jukwaani na kutenga paragraph. Unajiandaa kushindana vipi na mwenzako kisiasa, wakati yeye asilimia 70 ya ushindi wake ni nyenzo za nje ya kisiasa? Ingekuwa ushindi uko based kisiasa hapo ungesema unaangalia mbinu. Ule upuuzi wa juzi unaweza kutokea mbele ya wanaume na kusema kuna cha kujadili?
Tafadhali lugha, mimi sio mjinga mjinga, elewa hilo. Hakuna ninacho kitafuta mbali ya furaha, nina viwanda, finacial institutions,lead consultant, adviser and consultant of Betton wood institution ( World Bank, African development Group, European Development bank Group ) na ni muajiri wa wasomi zaidi ya 500. Ni Chairman wa Board kubwa zaidi ya tafu na mmoja ni ya Africa Nzima.

Tuzungumzie points muhimu za matatizo yetu chamani, never be personal. Ule uchangiaji wa kuanza na ujinga ujinga usilete kwangu, tuzungumzie matatizo ya uchaguzi na kitu gani cha kufanya kuweza kuleta mabadiliko.
 
Kusema ukweli Kenya ilikuwa inaitegemea sana sana Tanzania kwa upnade wa nchi za maziwa makuu na Afrika mashariki kwa ustawi wa amani na demokrsia kiujumla,Ukiangalia Uganda,Rwanda ni Giza tupu ndiomaana kaongea hayo ilikusitokee influence kama hiyo Kenya.Nampenda sana huyu Raisi
 
Back
Top Bottom