mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Bora kenyata umesema ukweli.umekataa kujitoa ufahamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yan siasa za kishamba sn kutaka kuingiza watoto wa wenzetu brbrn huku wetu wakiwa Ulaya wanasoma.Siasa zetu zemekua za kishamba sana, kura zilizoandaliwa kwaajili ya watu fulani zinapenyezwa kwenye sanduku la kura na tukihoji tunapewa kibano na vyombo vya dola.
Endeleeni kuotaYajayo yanafurahisha
Kwani wewe si ulimchagua mbeligiji?Tumekosea sana kuchagua kutoka huko wale watu wana ukurutu usiosafishika.
Unaelewa walimuibia odinga kura, last election. Au hilo tufumbie machoYaani Kenyatta aliposikia matokeo ya Tanzania nadhani alikuwa anacheka mpaka anachanganyikiwa, haamini kuwa bado kuna nchi zinaweza kuendesha chaguzi zao ili kukidhi utashi wa kiongozi aliyeko madarakani. Amejiridhisha pasi na shaka kuwa bado watanzania wengi ni maiti, ila hao wachache waliokimbia mortuary atawapokea.
Walitaka Lisu achaguliwe ili wawe wanaingia na kutoka tz kama wanavyotaka. Si ulisikia Lisu akisema ana damu nyingi sana ya WakenyaSiasa za Kenya haziwezi kuwa mfano kwetu hata siku moja. Kenya wana nini cha kutufundisha kwenye siasa? Kenya tuwaige kwenye ujenzi wa barabara ambazo hata sisi tunazijenga.
Siasa mbaya kuwahi kujua hapa Africa ya Mashariki ni siasa ya Kenya. Angalia hata kwenye mgawanyo wa rasilimali.
Mwisho; Kwanini Kenya siku hizi inawashwa washwa na siasa za Tanzania? Wapi panawasha tuwakune?
Nyie vichwa vyenu vibovu sana, hamjui kitu, mnajaza server bure tu.
Sasa Kenya ina nini cha kutufundisha sisi kwenye mambo ya siasa?Kujifanya unajua usiyemjua ni ujinga!
Hii mitizamo ya kusifia sifia hata katika mapungufu yetu na kuuchukia ukweli halisi wa maadui zetu ni ujinga zaidi!
Kenyatta ameshakaa na Odinga mara kadhaa kumaliza tofauti zao, nyie Mbowe mnamuona adui wa taifa kwasababu ya togauti za itikadi, ndio maana Kenyatta anawaambia acheni ushamba.Sasa Kenya ina nini cha kutufundisha sisi kwenye mambo ya siasa?
Msando murderI thought huyo Miguna was shot 16 times...kumbe ni kelele zako tu.
Huyo atakuwa anakuongoza wewe, mumeo na ukoo wako!Sisi tunaongozwa na Zinjanthropus na ametuganda kama luba, yuko tayari kuua ili abaki madarakani.
Acha ujinga mkuu! Kenyata juzi kamtimua makamu wake kisa madaraka ya 2022 hivi unajua hilo?Kenyatta ameshakaa na Odinga mara kadhaa kumaliza tofauti zao, nyie Mbowe mnamuona adui wa taifa kwasababu ya togauti za itikadi, ndio maana Kenyatta anawaambia acheni ushamba.
Hujui Kenya mkuu bora ukae kimya tu.I thought huyo Miguna was shot 16 times...kumbe ni kelele zako tu.
Atleast Kenyatta hajafika huko.