Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Ni aibu kwa Tanzania kutokuwa mstari wa mbele katika hili...ni hivi akili nzito dhidi ya nguvu nyingi milele akili zitashinda.
 
Uhuru Kenyatta. Very Gentleman presiden!
Ukikua unaona babako ana mamlaka hata na wewe ukiyapata huwezi kuwa mshamba nayo!! JK the same babake alikuwa DC wakati wa ukoloni.. Uhuru babake alikuwa Rais wa Kenya. Ondinga babake alikuwa Makamu wa Rais.

Sisi sasa hiii. Ni balaa!
Hahahha... Naona unajaribu kujifariji Lisu ndio huyo kakimbilia Ubelgiji.

Huyo mshamba ndio anawafanya mnalala na viatu saa hii mmebaki na mbunge moja na sahauni habari za ruzuku
 
Sasa Kenya ina nini cha kutufundisha sisi kwenye mambo ya siasa?

Kenya ni moja ya nchi ya hovyo sana tu katika historia ya ukombozi wa Afrika. Wao wakati Watanzania wakimwaga damu, jasho na kutapanya rasilimali ili kumkomboa mtu mweusi mwenzao, Kenya wakiongozwa na hayati Kenyata baba wa Uhuru walijifanya Wazungu weusi. Uhuru ananini cha maana kutuambia Watanzania. Tell him to shut up his offal mouth.
 
Kenya ni moja ya nchi ya hovyo sana tu katika historia ya ukombozi wa Afrika. Wao wakati Watanzania wakimwaga damu, jasho na kutapanya rasilimali ili kumkomboa mtu mweusi mwenzao, Kenya wakiongozwa na hayati Kenyata baba wa Uhuru walijifanya Wazungu weusi. Uhuru ananini cha maana kutuambia Watanzania. Tell him to shut up his offal mouth.
Ni ukabila tu mkuu ndio wanaweza
 
Unaelewa walimuibia odinga kura, last election. Au hilo tufumbie macho

Wakati anamuibia ulisikia chama chake kukishinda kwa ushindi wa kishindo? Kuna popote uliona mabeg ya kura wizi huku kukiwa hakuna aliyekamatwa? Na matokeo yao ya uchaguzi yalitenguliwa mahakamani. Hilo bunge la Kenya umeona likiwa limejaa watu wa chama kimoja, waliopita kwa maagizo ya rais aliye madarakani? Wakenya pamoja na changamoto zao za kikabila, lakini bado wana demokrasia ya kweli kuliko hii ya kwetu, na wanatuzidi kwa mbali kiuchumi.
 
Wakati anamuibia ulisikia chama chake kukishinda kwa ushindi wa kishindo? Kuna popote uliona mabeg ya kura wizi huku kukiwa hakuna aliyekamatwa? Na matokeo yao ya uchaguzi yalitenguliwa mahakamani. Hilo bunge la Kenya umeona likiwa limejaa watu wa chama kimoja, waliopita kwa maagizo ya rais aliye madarakani? Wakenya pamoja na changamoto zao za kikabila, lakini bado wana demokrasia ya kweli kuliko hii ya kwetu, na wanatuzidi kwa mbali kiuchumi.
Demokrasia Wanatuzidi ila sote tunajua nchi gani huuana zaidi kipindi cha uchaguzi Kati ya Kenya na Tz.
Wanatuzidi kwa mbali kiuchumi, uchumi ni kitu kipana boss, huwezi sema tu wanatuzidi mbali kiuchumi, kuna factors hutumiwa kupima uchumi sio layman tu unasema wametuzidi mbali kiuchumi
 
Yan siasa za kishamba sn kutaka kuingiza watoto wa wenzetu brbrn huku wetu wakiwa ulaya wanasoma

Kwani hao watoto wa viongozi wetu wanaosoma kwenye shule za kimataifa na kutembea na maVX ya umma, ww na familia yako pia huwa mnapanda hizo VX?
 
Kenya katika swala la Ukabila na siasa za kimaeneo wamekubuhu! lakini bila kupepesa macho, ndio nchi katika ukandaa wetu yenye demokrasia halisi ya uhuru wa mawazo ya watu, uhuru wa vyombo vya habari na uhuru mpana katika vyombo vyao vya kutoa haki yani MAHAKAMA!
Kenyatta sio dokta wala professor ila brain yake ni ya Kiprofessor, kwa Africa masharki hyu ndyo Rais bora katika nyakati hizi...ni mchawi tu hatukubali hili!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Kenya ni moja ya nchi ya hovyo sana tu katika historia ya ukombozi wa Afrika. Wao wakati Watanzania wakimwaga damu, jasho na kutapanya rasilimali ili kumkomboa mtu mweusi mwenzao, Kenya wakiongozwa na hayati Kenyata baba wa Uhuru walijifanya Wazungu weusi. Uhuru ananini cha maana kutuambia Watanzania. Tell him to shut up his offal mouth.
lakini sio majambazi ya kura za wananchi,na hawatumii polisi kuiba kura

Sent from my itel A11 using JamiiForums mobile app
 
Is President Kenyatta giving a handshake to his Deputy William Ruto? A current picture please to prove.
 
Demokrasia Wanatuzidi ila sote tunajua nchi gani huuana zaidi kipindi cha uchaguzi Kati ya Kenya na Tz.
Wanatuzidi kwa mbali kiuchumi, uchumi ni kitu kipana boss, huwezi sema tu wanatuzidi mbali kiuchumi, kuna factors hutumiwa kupima uchumi sio layman tu unasema wametuzidi mbali kiuchumi

Walikuwa wanauana huko nyuma tena ni uchaguzi wa 2007 ambao umewafanya wapate katiba mpya na kuheshimiana, ila viwango vya mauaji kwa sasa ukilingaisha na sisi, wao wana afadhali. Tofauti yetu sisi na wao, wao vyombo vyao viko huru kutangaza uhayawani wowote, wakati wa kwetu ni ngumu kutangaza kwani vyombo haviko huru, ila kutokana na kukua kwa teknolojia ukweli wote wa mauaji tunaujua hapa kwetu.

Kwenye uchumi, Kigezo namba moja ni foreign exchange, chukua hela ya Tanzania nenda bank kabadilishe kisha uje na mrejesho. Chukua bidhaa za Kenya za viwandani, linganisha na za Tanzania kisha upime ubora halafu ninasubiri mrejesho. Kama ni hizi ndege tunazojisifia wanazo kibao, kama ni flyover wanazo muda mrefu tu. Kama ni bandari wana zaidi ya moja na zina viwango vya juu na huduma bora. Sisi tuna wazidi ukubwa wa eneo na watu, sifa ambazo ni nje ya uwezo wa kiutawala.
 
lakini sio majambazi ya kura za wananchi,na hawatumii polisi kuiba kura

Sent from my itel A11 using JamiiForums mobile app

Hapa hapa jF miaka hiyo nilitoa uwizi wa matokeo ya Uchaguzi wa Kenya yalikuwa yakibadilika kwa a Constant figure/ number kama yanavyotangazwa na kutolewa na tume yao ya uchaguzi Ule uzi ulifutwa mara moja hapa.
 
Tatizo kuingia mtaani kwa sasa tumeshashindwa bado tunavumilia.Hivyo for the time being wabunge waende tu bungeni. Hii ya kuingia mtaani itakuja yenyewe pale Magufuli atakuwa katika mwaka wake wa 14 akitawala. Hata wana CCM wenyewe wengi watakuwa wamemchoka. Hapo ndo saa ya ukombozi wa kweli itatimia.

Acha mzaha. Halafu huko bungeni kila wakisimama kuongea Ndugai aendeleze kejeli zake: “jamani tuwape nafasi ndugu zetu hawa watoe kero zao manake sasa wao ni chama cha vitu maalum - sijui kama wamesalimika huko watokako?” [emoji15]
 
Walikuwa wanauana huko nyuma tena ni uchaguzi wa 2007 ambao umewafanya wapate katiba mpya na kuheshimiana, ila viwango vya mauaji kwa sasa ukilingaisha na sisi, wao wana afadhali. Tofauti yetu sisi na wao, wao vyombo vyao viko huru kutangaza uhayawani wowote, wakati wa kwetu ni ngumu kutangaza kwani vyombo haviko huru, ila kutokana na kukua kwa teknolojia ukweli wote wa mauaji tunaujua hapa kwetu.

Kwenye uchumi, Kigezo namba moja ni foreign exchange, chukua hela ya Tanzania nenda bank kabadilishe kisha uje na mrejesho. Chukua bidhaa za Kenya za viwandani, linganisha na za Tanzania kisha upime ubora halafu ninasubiri mrejesho. Kama ni hizi ndege tunazojisifia wanazo kibao, kama ni flyover wanazo muda mrefu tu. Kama ni bandari wana zaidi ya moja na zina viwango vya juu na huduma bora. Sisi tuna wazidi ukubwa wa eneo na watu, sifa ambazo ni nje ya uwezo wa kiutawala.

Dah, we uchumi ni mwepesi sana bhana [emoji1787]
Hata last election, licha ya kwamba it was the safest, wameuana zaidi ya zanzibar.

Alafu bandari mbona sisi tunazo kuwazidi, foreign exchange is nuthn, hela yao ina thamani Sawa na Yen ya Japan, hela ya Tz ni ndogo ila inafanya manunuzi mengi kushinda same amount ukiwa Kenya.

Uchumi achana nao bhana, tubase kwa siasa
 
Si alimpongeza huyu? Au Tozo ya magari ya mizigo imemfanya anune?
 
Dah, we uchumi ni mwepesi sana bhana [emoji1787]
Hata last election, licha ya kwamba it was the safest, wameuana zaidi ya zanzibar.
Alafu bandari mbona sisi tunazo kuwazidi, foreign exchange is nuthn, hela yao ina thamani Sawa na Yen ya Japan, hela ya Tz ni ndogo ila inafanya manunuzi mengi kushinda same amount ukiwa Kenya.
Uchumi achana nao bhana, tubase kwa siasa

Chukua simu yako Google nchi gani ina uchumi mkubwa katika east Afrika. Last election wameuana zaidi ya Zanzibar, wao wana uwazi wa habari, hapa kwetu hilo lipo?

Kuwa na bandari nyingi haimaanishi ni bora na bussiest. Hiyo hela ya Tanzania inaweza kununua vitu vingi vya mashambani, toka kwa wakulima waliochoka kimaisha ila sio bidhaa za viwandani, achia mbali ubora wa bidhaa hizo.
 
Tatizo la hapa kwetu tulimpa uongozi wa kisiasa MTU asiye mwanasiasa.
Msimamizi wa mafundi ujenzi site, aliyebobea kuswaga mbuzi na sii kuongoza kondoi.
 
Namuunga mkono mh Kenyatta..alimlea kwa upendo miguna miguna
 
Back
Top Bottom