Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Tatizo watanzania wengi wamekosa uzalendo wa nchi yetu. Naagalia watu wengi humu mnakoment kwa mhemko. Alafu mbaya zaidi vijana wengi humu hajawahi vuka Tanzania japo mkae nje ya tanzania angalau mwaka mmoja. Kifupi tanzania ni nchi yetu sote lazima tuilinde na kuitetea.
Huu uzalendo gani wa kijinga mnaofundisha watu siku hizi?!

Watanzania wenzenu wanalazimishwa kikimbia nchi yao kisa itikadi zao tofauti za kisiasa wewe unaita huo ndio uzalendo? wamepigwa risasi, wametekwa, wamebambikiwa kesi.

Huu ujinga sijui mmejifunza shule gani.
 
Huu uzalendo gani wa kijinga mnaofundisha watu siku hizi?!

Watanzania wenzenu wanalazimishwa kikimbia nchi yao kisa itikadi zao tofauti za kisiasa wewe unaita huo ndio uzalendo? wamepigwa risasi, wametekwa, wamebambikiwa kesi.

Huu ujinga sijui mmejifunza shule gani.

Mambo haya walianzisha Kambona na Abrahamani Babu, Nyerere hakuendekezaga na kuulea ujinga ujinga. Lissu na Lema ni nini kati ya Watanzania milioni 60 na ushee eti eti eti etiii ujinga wao ulelewe na kubemendwa kwa gharama ya Taifa zima?
 
Kweli nchi ya Kistaarabu imebaki kwa eneo la Maziwa Makuu na Pembe ya Afrika imebaki Kenya tu, hili lijinga la hapa kwetu sijui lilitokea wapi
 
Mpaka Kenya wametuzidi haki ya kuheshimu haki na uhuru wa raia.
 
Kwa Ukweli,NAMPENDA SANA RAIS KENYATA.NI MFANO BORA WA MA-RAIS AFRICA NZIMA.HAKUNA KAMA YEYE.Alishinda U-Rais akaambiwa na mahakama Uchaguzi haukuwa huru na haki,kwa Hiyo Uchaguzi urudiwe Tena,na akakubali urudiwe.HAKUNA RAIS YEYOTE MWA-FRICA ANGEKUBALI HIYO KITU.NASEMA HAKUNA.Uchaguzi ulirudiwa na akashinda tena.Mungu akubariki Sana RAIS Kenyatta,UISHI MAISHA MAREFU.Umekuwa MFANO wa kuigwa.UNASTAHILI "NISHANI".
 
Kweli nchi ya Kistaarabu imebaki kwa eneo la Maziwa Makuu na Pembe ya Afrika imebaki Kenya tu, hili lijinga la hapa kwetu sijui lilitokea wapi
Uhuru nchi imemshinda inabidi asaidiwe na Raila Oginga. Rais mlevi chodo hajitambui. Hawezi kuja mbele ya hadhara akaongea kuhutubia ampaka anywe gongo za kizungu eti wisky. Gongo ni gongo tu.
 
Mambo haya walianzisha Kambona na Abrahamani Babu, Nyerere hakuendekezaga na kuulea ujinga ujinga. Lissu na Lema ni nini kati ya Watanzania milioni 60 na ushee eti eti eti etiii ujinga wao ulelewe na kubemendwa kwa gharama ya Taifa zima?
Acheni kupiga kelele zenu, siku zote jambo baya ni baya tu, haijalishi limefanywa na nani, wewe na wenzako mnaotetea huo ujinga mnaonesha mlivyo na akili ndogo.

Kiongozi wa taifa anazidi kudharauliwa na wanaojitambua huko duniani.
 
Uhuru nchi imeshinda inabidi asaidiwe na Raila Oginga. Rais mlevi chodo hajitambui. Hawezi kuja mbele ya hadhara akaongea kuhutubia ampaka anywe gongo za kizungu eti wisky. Gongo ni gongo tu.
Huyo wa kwenu asiekunywa chochote mbona anafanya mambo ya hovyo zaidi, huwezi kuweka rehani roho za unaowaongoza halafu unajiita ...wa wanyonge! maigizo ya kishamba kabisa.
 
Mbona asimuruhusu Miguna miguna kurudi Kenya kuishi kwa Amani? nchi zote za EAC ni hovyo linapokuja swala la uchaguzi.
 
Acheni kupiga kelele zenu, siku zote jambo baya ni baya tu, haijalishi limefanywa na nani, wewe na wenzako mnaotetea huo ujinga mnaonesha mlivyo na akili ndogo.

Kiongozi wa taifa anazidi kudharauliwa na wanaojitambua huko duniani.

JPM anaheshimiwa na Watanzania walio muamini na kumpa kazi ya nchi atuongoze. Hahitaji kuheshimiwa huko nje. Heshima ya mashoga ina thamani gani?
 
If anything Kenyatta kwa sehemu kubwa kawananga wapinzani kuliko chama tawala.

Anawashangaa watu wanaoipaka matope nchi ya yao na kuhamasisha vijana wakatae uongozi.
 
Huyo wa kwenu asiekunywa chochote mbona anafanya mambo ya hovyo zaidi, huwezi kuweka rehani roho za unaowaongoza halafu unajiita ...wa wanyonge! maigizo ya kishamba kabisa.

Roho za wajinga wachache tangu zama za manabii na wafalme ziliwekwa Rehani ili kuponya Roho za walio wengi. Mtu ambaye yuko radhi aingize Taifa zima kwenye ushoga ili tu apate support ya kushinda uchaguzi unamteteaje kwa mfano?
 
JPM anaheshimiwa na Watanzania walio muamini na kumpa kazi ya nchi atuongoze. Hahitaji kuheshimiwa huko nje. Heshima ya mashoga ina thamani gani?
Watanzania au mabegi meusi yaliyojaa kura zilizokuwa na tiki kwa jpm? hayo maigizo yenu ndio maana Kenyatta anawaona manyani.
 
Roho za wajinga wachache tangu zama za manabii na wafalme ziliwekwa Rehani ili kuponya Roho za walio wengi. Mtu ambaye yuko radhi aingize Taifa zima kwenye ushoga ili tu apate support ya kushinda uchaguzi unamteteaje kwa mfano?
Kumbe ww ni mjinga sana, hujui hiyo serikali yako inapokea misaada toka kwa hao hao mashoga, ataingizaje taifa zima kwenye ushoga?!

Vichwa maji kam wewe ndio mnamtetea kwa ule ushamba aliofanya kwenye uchaguzi, now mnaonekn viazi tu.
 
Watanzania au mabegi meusi yaliyojaa kura zilizokuwa na tiki kwa jpm? hayo maigizo yenu ndio maana Kenyatta anawaona manyani.

Kila nchi ina namna yake ya kujiendesha. Mabegi meusi unayajua wewe na huyo msagaji mwenzio halimu.

Kelele za aibu ya kushindwa hasikoseshi usingizi, huoni Trump naye akilialia na kupigia kelele kura za S.L.P.
 
Kenya mmekomaa kisiasa. Sisi pia inabidi tuingie mtaani ndo viongozi watapata akili. Ila siku itafika tu ambayo wananchi wengi watasema sasa yatosha kuvumilia. Wenyewe wataingia mtaani.
Hili lipo lakini bado, yaonekana wengi bado hawajui haki zao kikatiba na hajafeel ile pinch ya pale kiongozi anapoamua kufanya yanayompendeza yeye huku wananchi wakiumia. Ipo siku
 
Tafadhali lugha, mimi sio mjinga mjinga, elewa hilo. Hakuna ninacho kitafuta mbali ya furaha, nina viwanda, finacial institutions,lead consultant, adviser and consultant of Betton wood institution ( World Bank, African development Group, European Development bank Group ) na ni muajiri wa wasomi zaidi ya 500. Ni Chairman wa Board kubwa zaidi ya tafu na mmoja ni ya Africa Nzima.

Tuzungumzie points muhimu za matatizo yetu chamani, never be personal. Ule uchangiaji wa kuanza na ujinga ujinga usilete kwangu, tuzungumzie matatizo ya uchaguzi na kitu gani cha kufanya kuweza mabadiliko.

Rejea post yako namba 104 kuwa ni mchangiaji utopolo. Ukishaingia kwenye hizo lugha za kishenzi tegemea sisi wengine kujibu accodingly. Hilo moja, hizo sifa za kijinga kuwa sijui una viwanda, sijui ni director wa wapi hakuna mtu anashoboka nazo, labda wale unaowalisha. Huku ukija ni member wa jf, umaarufu wa kiduwanzi pelekea michepuko yako.

Huna wazo la kumsaidia yoyote, kama ungekuwa na uwezo unaojiproud nao hapa, ungeenda kuvisaidia vyama kibao vya upinzani ili uvinyanyue. Ama ungeweza kuwasadia CCM kushinda kwa ushawishi wa kisiasa, na sio kutumia vyombo vya dola kuiba kura na kumwaga damu. Vinginevyo hapa tunakuona ni muuza sura kama wauza sura wengine fullstop. Imeisha hiyo.
Tafadhali lugha, mimi sio mjinga mjinga, elewa hilo. Hakuna ninacho kitafuta mbali ya furaha, nina viwanda, finacial institutions,lead consultant, adviser and consultant of Betton wood institution ( World Bank, African development Group, European Development bank Group ) na ni muajiri wa wasomi zaidi ya 500. Ni Chairman wa Board kubwa zaidi ya tafu na mmoja ni ya Africa Nzima.

Tuzungumzie points muhimu za matatizo yetu chamani, never be personal. Ule uchangiaji wa kuanza na ujinga ujinga usilete kwangu, tuzungumzie matatizo ya uchaguzi na kitu gani cha kufanya kuweza mabadiliko.
 
Yaliyokea kwenye uchaguzi uliopita 2020, ni matokeo ya kawaida tuu kisiasa. Kila tukio kisiasa ni somo katika elimu pana katika siasa. Na makubwa yanakuja.
Nakubaliana nawe, itafikia kipindi mbinu zote zitajulikana na hapo ndipo mtu atashikwa shati na kuvutwa nyuma.
 
Aeleze kwa nini Miguna wa Miguna hayupo Kenya, aeleze kwa nini aliuawa computer system analysits, Msando, aliyekuwa nasimamia uchaguzi ambao yeye yupo madarakani sasa!

====

Nawakumbusha suala la Miguna.

*****
On 30 January 2018, in a mock swearing in ceremony, Miguna administered an oath of office to Raila Odinga, where Odinga proclaimed himself "the people's president".[14][12] The government reacted by shutting down all television and radio broadcasts and arresting Miguna and another lawyer (T J Kajwang') who had witnessed the ceremony (but did not arrest Odinga, since that would further inflame his supporters).[12][15]

Miguna was taken to court and charged with "being present and consenting to the administration of an oath to commit a capital offence, namely treason".[12] The High Court ordered that Miguna be released on bail and that television broadcasts be permitted, but the government disobeyed the orders.[12][15] Chief justice David Maraga criticised the actions of the officials, saying: "Disobeying court orders is inimical to the rule of law."[15]

Miguna's Kenyan passport was seized and he was forced out of the country.[14] Interior Cabinet Secretary Fred Matiang'i said that the reason his passport had been seized is that it had been issued irregularly and fraudulently.[33] Government officials said that Miguna did not disclose his Canadian citizenship when he applied for a Kenyan passport in 2009, so his application was not valid.[12]

Miguna countered that "The constitution is crystal clear: no one can invalidate or purport to cancel the citizenship of a Kenyan born citizen."[12] The government also declared the National Resistance Movement to be organised crime group.[12]
 
Back
Top Bottom