Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

K
Kaagiza Ruto apigwe risasi ngapi?
Kamuulize ruto alivyowatimua kwake wale waliotumwa kumuua kipindi cha nyuma.

Kisha umuulize yule mlinzi wa ruto ambaye ni askari nani alimuua.
 
dogo achana na hizo maneno za hovyo hovyo, heshimu matokeo ya uchaguzi na heshimu walioshinda.

Ule haukuwa uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Kamuulize ruto alivyowatimua kwake wale waliotumwa kumuua kipindi cha nyuma.
Kisha umuulize yule mlinzi wa ruto ambaye ni askari nani alimuua.

Kwahiyo Ruto ana risasi ngapi mwilini?
 
Kwa mfano Tanzania siasa zimekuwa uadui,watu wanapewa kesi za economic crime Case kisa siasa,vyama vimeshindwa kubishana kwa hoja kama tulivyozoea lakini siasa zimekuwa kutishana,kupigwa risasi.
 
Haya yanayotokea hapa kwetu atakuwa anayaona mambo ya kishamba sana, kutofutiana itikadi ndio unamuona mwenzio adui, mpaka anakimbia nchi aliyozaliwa upo kimya husemi chochote?!
Uko sahihi mkuu. NEC uiunde mwenyewe na kura feki uzilete na mpira ukimbie nao,vitu vya ajabu kabisa kuwahi kutokea nchini.
 
Ni kweli, tungekuwa na support kubwa tungekwenda kwenye box la kura na kura kwenye mabeg.
Ofcoz Kama mngeibiwa watu wangetoka, ila we both know watu tulireact aje, najua hamkuamini na mliumia sana.
 
Kenya ndiyo nchi pekee Afrika Mashariki yenye Rais mwenye akili.
 
Ule haukuwa uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
kuto kukubali kushindwa ni tabia ya wanaoshindwa wote hata Trump mzungu hataki kukubali itakuwa wewe, lissu na bwege?
 
Jiwe gizani.. ngoja niskilizie sauti ya kuku "kwiiooo"..nijikamatie chap wakute manyoya
 
Ofcoz Kama mngeibiwa watu wangetoka, ila we both know watu tulireact aje, najua hamkuamini na mliumia sana.

Kwani kutokea barabarani pekee ndio kuonyesha kutokuridhika? Akina Elbashir wa Sudan, Mugabe nk wote hao kwenye uchaguzi walikuwa wanashinda kwa 80%+ kama ccm sasa hivi. Na walifanikiwa kukaa madarakani muda mrefu kama wafanyavyo ccm hapa nchini, na kilichowafanya wakae madarakani muda mrefu sio kura kweli, bali hofu ya wananchi. Ila ilifika siku wananchi wakaweka hofu pembeni. Leo hii wote hao ni historia na walivyotolewa wote tunajua.
 
Tanzania 🇹🇿 kuingia uchumi wa kati majirani wamenuna, kujenga uchumi siyo uadui majirani wajue namna bora ya kushindana pasipo kuingiza siasa
 
kuto kukubali kushindwa ni tabia ya wanaoshindwa wote hata Trump mzungu hataki kukubali itakuwa wewe, lissu na bwege?

Kura za kwenye mabeg tumeziona kwa macho yetu. Umwagaji wa damu tumeuona. Matokeo ya uongo pia tumeyaona. Sasa sijui unatuambia nini.
 
Tanzania 🇹🇿 kuingia uchumi wa kati majirani wamenuna,kujenga uchumi siyo uadui majirani wajue namna bora ya kushindana pasipo kuingiza siasa

Kwani hao majirani hawakuona hizo kura za kwenye mabeg?
 
Mbona asimuruhusu Miguna miguna kurudi Kenya kuishi kwa Amani? nchi zote za EAC ni hovyo linapokuja swala la uchaguzi.
Wapuuzi hawa miguna miguna, yule babu Wamekaa sana lupango mambo yametulia baada ya Uhuru kujipendekeza kwa Odinga.
 
Kesho Media zote Afrika Mashariki ni frequency za dodoma. Rais wa Afrika ataihutubia dunia kupitia bunge.
 
Kura za kwenye mabeg tumeziona kwa macho yetu. Umwagaji wa damu tumeuona. Matokeo ya uongo pia tumeyaona. Sasa sijui unatuambia nini.
Basi na wewe nenda kenya au ubelgiji kama umeumia sana.
 
Siasa za kishamba kwelu kweli. Si ajabu kuna mtu alisema ;"nchi imekabidhiwa washamba na malimbukeni". Siasa za kuwindana ni za kichoko.
 
Kura za kwenye mabeg tumeziona kwa macho yetu. Umwagaji wa damu tumeuona. Matokeo ya uongo pia tumeyaona. Sasa sijui unatuambia nini.
Mmeona kwa macho halafu mkazichoma. Mburura nyie. Mtasubiri sana na huyo beberu wenu.
 
Back
Top Bottom