Rais, viongozi na watu wengine watakaoguswa na jambo hili naombeni msaada wa kupata passport

Rais, viongozi na watu wengine watakaoguswa na jambo hili naombeni msaada wa kupata passport

Anasaidiwaje sasa na hajasema shida yake wala yeye ni nani ukizingatia humu anatumia jina la uongo?
Aseme ajulikane amalizwe juu juu,Nadhani ameonyesha anajambo lakusikilizwa,Kana Mh Rais au wasaidizi wake wamepata sms hii wanaweza kumtafuta nakujua kwa undani nini kimemsibu..
 
Ninaandika huu ujumbe nikiwa katika hali ya uchungu mkubwa. Nimechoka! Nimevunjwa moyo! Nimeonewa kiasi cha kuhisi mimi si binadamu tena. Kila siku naamka nikiwa na maumivu mapya, nikiwa na mzigo mzito wa uonevu moyoni mwangu. Ninaomba msaada! Ninaomba mwenye kusikia kilio cha mnyonge anisaidie!

Mwaka 2022 nilipata nafasi adimu ambayo ilikuwa mwanga wa matumaini kwangu na kwa familia yangu. Nilijua maisha yangu yatabadilika, nikajua juhudi zangu hatimaye zitalipa. Lakini ndoto hiyo ilizimwa kwa sababu tu sikuwa na pesa ya kutoa rushwa! Nimehangaika kwa miaka miwili sasa, nikilia na kusihi, lakini kila ninapokwenda, nimepuuzwa! Nimefungiwa milango! Nimechukuliwa kama mtu asiye na thamani!

Badala ya msaada, nimetishiwa! Nimeambiwa nitafunguliwa kesi ya uongo, nitaambiwa si Mtanzania eti kwa sababu sikutoa rushwa! Naumia! Naumia sana! Nauliza, hivi kweli haki ni ya matajiri peke yao? Hivi kweli maskini hana nafasi katika nchi hii?

Mheshimiwa Rais, tafadhali, naomba msaada wako! Mimi ni kijana mdogo tu, sina nguvu ya kupigana na mfumo huu wenye uonevu. Nimechoka! Sina pa kukimbilia tena! Naomba unisikie, naomba unione, naomba unisaidie!

Na kwa yeyote anayeguswa na mateso yangu, naomba unisaidie! Kama una njia yoyote ya kunisaidia, tafadhali usikae kimya, nisaidie kwa hali na mali! Nimeumia vya kutosha, nimenyanyaswa vya kutosha, nimeonewa vya kutosha!

Sauti ya mnyonge ni dhaifu, lakini haipaswi kupotea! Tafadhali, yeyote mwenye huruma, mwenye utu, mwenye uwezo wa kunisaidia, ninaomba msaada wenu! Nimebakia peke yangu kwenye giza, naomba mwangaza wenu!

Mheshimiwa Rais, na watu wote wenye utu, tafadhali, naomba msaada wenu! Usiniruhusu niteseke hivi!

Bado ujasema tatizo lako! Liseme kwanza; huna cha kusaidiwa ulichosema zaidi ya tatizo la kuombwa rushwa!

Sema uonevu uliofanyiwa, kuombwa rushwa sio uonevu, wake zetu wanaombwa nyuchi kila siku, tumlilie rais? Wanapaswa tu kusema hapana!

Dogo kuliko kulia lia hapa, sema rushwa ni Kiasi gani tuone Kama unaweza saidika; hii nchi rushwa ni soft drinks kwa joto la Dar es salaam!
 
Ninaandika huu ujumbe nikiwa katika hali ya uchungu mkubwa. Nimechoka! Nimevunjwa moyo! Nimeonewa kiasi cha kuhisi mimi si binadamu tena. Kila siku naamka nikiwa na maumivu mapya, nikiwa na mzigo mzito wa uonevu moyoni mwangu. Ninaomba msaada! Ninaomba mwenye kusikia kilio cha mnyonge anisaidie!

Mwaka 2022 nilipata nafasi adimu ambayo ilikuwa mwanga wa matumaini kwangu na kwa familia yangu. Nilijua maisha yangu yatabadilika, nikajua juhudi zangu hatimaye zitalipa. Lakini ndoto hiyo ilizimwa kwa sababu tu sikuwa na pesa ya kutoa rushwa! Nimehangaika kwa miaka miwili sasa, nikilia na kusihi, lakini kila ninapokwenda, nimepuuzwa! Nimefungiwa milango! Nimechukuliwa kama mtu asiye na thamani!

Badala ya msaada, nimetishiwa! Nimeambiwa nitafunguliwa kesi ya uongo, nitaambiwa si Mtanzania eti kwa sababu sikutoa rushwa! Naumia! Naumia sana! Nauliza, hivi kweli haki ni ya matajiri peke yao? Hivi kweli maskini hana nafasi katika nchi hii?

Mheshimiwa Rais, tafadhali, naomba msaada wako! Mimi ni kijana mdogo tu, sina nguvu ya kupigana na mfumo huu wenye uonevu. Nimechoka! Sina pa kukimbilia tena! Naomba unisikie, naomba unione, naomba unisaidie!

Na kwa yeyote anayeguswa na mateso yangu, naomba unisaidie! Kama una njia yoyote ya kunisaidia, tafadhali usikae kimya, nisaidie kwa hali na mali! Nimeumia vya kutosha, nimenyanyaswa vya kutosha, nimeonewa vya kutosha!

Sauti ya mnyonge ni dhaifu, lakini haipaswi kupotea! Tafadhali, yeyote mwenye huruma, mwenye utu, mwenye uwezo wa kunisaidia, ninaomba msaada wenu! Nimebakia peke yangu kwenye giza, naomba mwangaza wenu!

Mheshimiwa Rais, na watu wote wenye utu, tafadhali, naomba msaada wenu! Usiniruhusu niteseke hivi!
Unatakiwa utoe rushwa ili ufanyiwe nini? Sasa useme tuone kamw hicho unachodai ni halali yako au nawe unataka upewe kitu usichostahili?
Usikete mada za kipumbavu eti usaidiwe halafu husemi msaada gani.
 
Niliambiwa nitoe million 1 nipewe passport
Unatakiwa utoe rushwa ili ufanyiwe nini? Sasa useme tuone kamw hicho unachodai ni halali yako au nawe unataka upewe kitu usichostahili?
Usikete mada za kipumbavu eti usaidiwe halafu husemi msaada gani.
 
Ninaandika huu ujumbe nikiwa katika hali ya uchungu mkubwa. Nimechoka! Nimevunjwa moyo! Nimeonewa kiasi cha kuhisi mimi si binadamu tena. Kila siku naamka nikiwa na maumivu mapya, nikiwa na mzigo mzito wa uonevu moyoni mwangu. Ninaomba msaada! Ninaomba mwenye kusikia kilio cha mnyonge anisaidie!

Mwaka 2022 nilipata nafasi adimu ambayo ilikuwa mwanga wa matumaini kwangu na kwa familia yangu. Nilijua maisha yangu yatabadilika, nikajua juhudi zangu hatimaye zitalipa. Lakini ndoto hiyo ilizimwa kwa sababu tu sikuwa na pesa ya kutoa rushwa! Nimehangaika kwa miaka miwili sasa, nikilia na kusihi, lakini kila ninapokwenda, nimepuuzwa! Nimefungiwa milango! Nimechukuliwa kama mtu asiye na thamani!

Badala ya msaada, nimetishiwa! Nimeambiwa nitafunguliwa kesi ya uongo, nitaambiwa si Mtanzania eti kwa sababu sikutoa rushwa! Naumia! Naumia sana! Nauliza, hivi kweli haki ni ya matajiri peke yao? Hivi kweli maskini hana nafasi katika nchi hii?

Mheshimiwa Rais, tafadhali, naomba msaada wako! Mimi ni kijana mdogo tu, sina nguvu ya kupigana na mfumo huu wenye uonevu. Nimechoka! Sina pa kukimbilia tena! Naomba unisikie, naomba unione, naomba unisaidie!

Na kwa yeyote anayeguswa na mateso yangu, naomba unisaidie! Kama una njia yoyote ya kunisaidia, tafadhali usikae kimya, nisaidie kwa hali na mali! Nimeumia vya kutosha, nimenyanyaswa vya kutosha, nimeonewa vya kutosha!

Sauti ya mnyonge ni dhaifu, lakini haipaswi kupotea! Tafadhali, yeyote mwenye huruma, mwenye utu, mwenye uwezo wa kunisaidia, ninaomba msaada wenu! Nimebakia peke yangu kwenye giza, naomba mwangaza wenu!

Mheshimiwa Rais, na watu wote wenye utu, tafadhali, naomba msaada wenu! Usiniruhusu niteseke hivi!
Weka bayana mkuu.
 
Mkuu asante Sana ila nitakupa pm sababu kwa maeneo ombayo nimepita kuomba msaada hasa viongozi nao walitaka pesa. Hivyo kuweka namba direct hapa naimani usalama utakuwa mdogo ila ukipenda nikupe pm
Unamjua huyo unayetaja kumpa hiyo namba ya simu huko pm? Labda ni huyo aliyekuomba rushwa ambayo husemi ni ya nini?
 
sasa unataka msaada alafu unaficha kwamba unataka raisi aje inbox kwako akuulize shida nn

hao walio kunyanyasa wako sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom