Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
HeheheheheMjinga huyu anatafuta attention tu hapa, hana lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeheheheheMjinga huyu anatafuta attention tu hapa, hana lolote
Aseme ajulikane amalizwe juu juu,Nadhani ameonyesha anajambo lakusikilizwa,Kana Mh Rais au wasaidizi wake wamepata sms hii wanaweza kumtafuta nakujua kwa undani nini kimemsibu..Anasaidiwaje sasa na hajasema shida yake wala yeye ni nani ukizingatia humu anatumia jina la uongo?
AsaidiweAmesemaje?
Hehehehehehehehehehehehehehehehe!!!!!!!!!!!Na anaonekana ana kiburi..Si unaona ametuachia uzi wake😂😂
Sorry nimeilekebisha mkuuUmeongea Kwa kuficha halafu unategemea kusaidiwa
Asante sana ila naimani siku moja litakukuta na wewe. Shukurani sana.I some tena nimefanya maboreshoMjinga huyu anatafuta attention tu hapa, hana lolote
Pole sana mambo yako magumu mtaani huko na humu wanakushambulia kwelikweli!!!Sorry nimeilekebisha mkuu
Unapuyanga tu Mkuu ujasema shida yako 😛😛😛
Ninaandika huu ujumbe nikiwa katika hali ya uchungu mkubwa. Nimechoka! Nimevunjwa moyo! Nimeonewa kiasi cha kuhisi mimi si binadamu tena. Kila siku naamka nikiwa na maumivu mapya, nikiwa na mzigo mzito wa uonevu moyoni mwangu. Ninaomba msaada! Ninaomba mwenye kusikia kilio cha mnyonge anisaidie!
Mwaka 2022 nilipata nafasi adimu ambayo ilikuwa mwanga wa matumaini kwangu na kwa familia yangu. Nilijua maisha yangu yatabadilika, nikajua juhudi zangu hatimaye zitalipa. Lakini ndoto hiyo ilizimwa kwa sababu tu sikuwa na pesa ya kutoa rushwa! Nimehangaika kwa miaka miwili sasa, nikilia na kusihi, lakini kila ninapokwenda, nimepuuzwa! Nimefungiwa milango! Nimechukuliwa kama mtu asiye na thamani!
Badala ya msaada, nimetishiwa! Nimeambiwa nitafunguliwa kesi ya uongo, nitaambiwa si Mtanzania eti kwa sababu sikutoa rushwa! Naumia! Naumia sana! Nauliza, hivi kweli haki ni ya matajiri peke yao? Hivi kweli maskini hana nafasi katika nchi hii?
Mheshimiwa Rais, tafadhali, naomba msaada wako! Mimi ni kijana mdogo tu, sina nguvu ya kupigana na mfumo huu wenye uonevu. Nimechoka! Sina pa kukimbilia tena! Naomba unisikie, naomba unione, naomba unisaidie!
Na kwa yeyote anayeguswa na mateso yangu, naomba unisaidie! Kama una njia yoyote ya kunisaidia, tafadhali usikae kimya, nisaidie kwa hali na mali! Nimeumia vya kutosha, nimenyanyaswa vya kutosha, nimeonewa vya kutosha!
Sauti ya mnyonge ni dhaifu, lakini haipaswi kupotea! Tafadhali, yeyote mwenye huruma, mwenye utu, mwenye uwezo wa kunisaidia, ninaomba msaada wenu! Nimebakia peke yangu kwenye giza, naomba mwangaza wenu!
Mheshimiwa Rais, na watu wote wenye utu, tafadhali, naomba msaada wenu! Usiniruhusu niteseke hivi!
Whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat!!!!!!!!The Ben and Jerry's Ice Cream Limited
Mawasiliano
Minjingu Mines & Fertiliser Limited ("MMFL" or the "Company")Whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat!!!!!!!!
Unatakiwa utoe rushwa ili ufanyiwe nini? Sasa useme tuone kamw hicho unachodai ni halali yako au nawe unataka upewe kitu usichostahili?Ninaandika huu ujumbe nikiwa katika hali ya uchungu mkubwa. Nimechoka! Nimevunjwa moyo! Nimeonewa kiasi cha kuhisi mimi si binadamu tena. Kila siku naamka nikiwa na maumivu mapya, nikiwa na mzigo mzito wa uonevu moyoni mwangu. Ninaomba msaada! Ninaomba mwenye kusikia kilio cha mnyonge anisaidie!
Mwaka 2022 nilipata nafasi adimu ambayo ilikuwa mwanga wa matumaini kwangu na kwa familia yangu. Nilijua maisha yangu yatabadilika, nikajua juhudi zangu hatimaye zitalipa. Lakini ndoto hiyo ilizimwa kwa sababu tu sikuwa na pesa ya kutoa rushwa! Nimehangaika kwa miaka miwili sasa, nikilia na kusihi, lakini kila ninapokwenda, nimepuuzwa! Nimefungiwa milango! Nimechukuliwa kama mtu asiye na thamani!
Badala ya msaada, nimetishiwa! Nimeambiwa nitafunguliwa kesi ya uongo, nitaambiwa si Mtanzania eti kwa sababu sikutoa rushwa! Naumia! Naumia sana! Nauliza, hivi kweli haki ni ya matajiri peke yao? Hivi kweli maskini hana nafasi katika nchi hii?
Mheshimiwa Rais, tafadhali, naomba msaada wako! Mimi ni kijana mdogo tu, sina nguvu ya kupigana na mfumo huu wenye uonevu. Nimechoka! Sina pa kukimbilia tena! Naomba unisikie, naomba unione, naomba unisaidie!
Na kwa yeyote anayeguswa na mateso yangu, naomba unisaidie! Kama una njia yoyote ya kunisaidia, tafadhali usikae kimya, nisaidie kwa hali na mali! Nimeumia vya kutosha, nimenyanyaswa vya kutosha, nimeonewa vya kutosha!
Sauti ya mnyonge ni dhaifu, lakini haipaswi kupotea! Tafadhali, yeyote mwenye huruma, mwenye utu, mwenye uwezo wa kunisaidia, ninaomba msaada wenu! Nimebakia peke yangu kwenye giza, naomba mwangaza wenu!
Mheshimiwa Rais, na watu wote wenye utu, tafadhali, naomba msaada wenu! Usiniruhusu niteseke hivi!
Wariz dhisMinjingu Mines & Fertiliser Limited ("MMFL" or the "Company")
Unatakiwa utoe rushwa ili ufanyiwe nini? Sasa useme tuone kamw hicho unachodai ni halali yako au nawe unataka upewe kitu usichostahili?
Usikete mada za kipumbavu eti usaidiwe halafu husemi msaada gani.
Weka bayana mkuu.Ninaandika huu ujumbe nikiwa katika hali ya uchungu mkubwa. Nimechoka! Nimevunjwa moyo! Nimeonewa kiasi cha kuhisi mimi si binadamu tena. Kila siku naamka nikiwa na maumivu mapya, nikiwa na mzigo mzito wa uonevu moyoni mwangu. Ninaomba msaada! Ninaomba mwenye kusikia kilio cha mnyonge anisaidie!
Mwaka 2022 nilipata nafasi adimu ambayo ilikuwa mwanga wa matumaini kwangu na kwa familia yangu. Nilijua maisha yangu yatabadilika, nikajua juhudi zangu hatimaye zitalipa. Lakini ndoto hiyo ilizimwa kwa sababu tu sikuwa na pesa ya kutoa rushwa! Nimehangaika kwa miaka miwili sasa, nikilia na kusihi, lakini kila ninapokwenda, nimepuuzwa! Nimefungiwa milango! Nimechukuliwa kama mtu asiye na thamani!
Badala ya msaada, nimetishiwa! Nimeambiwa nitafunguliwa kesi ya uongo, nitaambiwa si Mtanzania eti kwa sababu sikutoa rushwa! Naumia! Naumia sana! Nauliza, hivi kweli haki ni ya matajiri peke yao? Hivi kweli maskini hana nafasi katika nchi hii?
Mheshimiwa Rais, tafadhali, naomba msaada wako! Mimi ni kijana mdogo tu, sina nguvu ya kupigana na mfumo huu wenye uonevu. Nimechoka! Sina pa kukimbilia tena! Naomba unisikie, naomba unione, naomba unisaidie!
Na kwa yeyote anayeguswa na mateso yangu, naomba unisaidie! Kama una njia yoyote ya kunisaidia, tafadhali usikae kimya, nisaidie kwa hali na mali! Nimeumia vya kutosha, nimenyanyaswa vya kutosha, nimeonewa vya kutosha!
Sauti ya mnyonge ni dhaifu, lakini haipaswi kupotea! Tafadhali, yeyote mwenye huruma, mwenye utu, mwenye uwezo wa kunisaidia, ninaomba msaada wenu! Nimebakia peke yangu kwenye giza, naomba mwangaza wenu!
Mheshimiwa Rais, na watu wote wenye utu, tafadhali, naomba msaada wenu! Usiniruhusu niteseke hivi!
Mimi sijaona sehemu unashida ya passport mkuuMbona nimesema mkuu isome tena. Kifupi nahitaji msaada tokea 2022 nimenyimwa passport sababu ya rushwa
Unamjua huyo unayetaja kumpa hiyo namba ya simu huko pm? Labda ni huyo aliyekuomba rushwa ambayo husemi ni ya nini?Mkuu asante Sana ila nitakupa pm sababu kwa maeneo ombayo nimepita kuomba msaada hasa viongozi nao walitaka pesa. Hivyo kuweka namba direct hapa naimani usalama utakuwa mdogo ila ukipenda nikupe pm