Na wanakupeleka lupango 😆Wakinimbia mimi sio Mtanzania nitafurahi nitawaambia akili zenu fupi nipeleke nchi mnayodhani ndio mimetokea uko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanakupeleka lupango 😆Wakinimbia mimi sio Mtanzania nitafurahi nitawaambia akili zenu fupi nipeleke nchi mnayodhani ndio mimetokea uko.
Kwakuwa umeyakanyaga mwenyewe hapo lazima utowe pesa kwa officer wa kupitisha issue yako hakuna ujanja.Mkuu nimeshafanya hivyo lakini system ni moja sababu unafanikiwa kuomba bila shida ila mwisho was siku utaitwa tu sababu fingerprint na majina yako kwenye system
Hebu eleza hapa vizuri nini kimetokea?Hapana siyo hivyo mkuu ebu soma vizuri
Nimesema baada kuona changamoto ni nyingi ikabidi nifanye kitu ili nijue shida ni Mimi na documents zangu au kurasini. Ikabidi niende tena kuomba passport 2024 ili nijue tatizo liko wapi lakini cha kushangaza nilipofika posta walipokea documents zangu vizuri bila tatizo lolote na nikahudumiwa vizuri na kupewa talehe ya kuchukua passport lakini nilikuja kuitwa tena sababu majina walionekana kwenye system kwamba nimeomba Mara mbili.hivyo nikaitwa kuhojiwa na afisa aliyenihoji alishangaa sana kusikia maelezo yangu akaniambia niandikie barua ya maelezo kama hayo juu hapo ili aambatanishe na ombi ili kiongozi yeyote aone .lakini haikuwa shida yule afisa alinielewa hata yeye alisema angekuwa ndo yeye angefanya hivyoHuyo ameapply mara mbili passport kama nimemuelewa, maana yake mtu mmoja ameomba passport mbili, mfumo ndio umemgunduwa, unataka kusema utawaaminisha vipi maofisa kama hukuwa na nia ovu?
Mkuu mwaka 2022 nilipata scholarship ikabidi niende kuomba passport lakini nilinyimwa kwa kigezo cha kutoa pesa sababu kwa maelezo ya afisa anasema mzazi alishindwa kujieleza vizuri hivyo akataka pesa ingawa nilienda na documents zote kama utambulisho wangu.hiyo ni Kifupi mkuuHebu eleza hapa vizuri nini kimetokea?
Hapo immigration tuna watu kibao.
Mkuu sijayakanyaga ndugu yangu naimani nimeeleza vizuriKwakuwa umeyakanyaga mwenyewe hapo lazima utowe pesa kwa officer wa kupitisha issue yako hakuna ujanja.
Kama unayaweza njoo tukupe connection ya passport ya Lesotho unaletewa free viza nchi kibao, hapo uwe na million 3 cash.
Kupanga ni kuchaguwa.
Takukuru akafanye nini ili haki Kitila mwenyewe alimshauri awape tu chao kama anataka hiyo passport.Natamani niseme unge enda takukuru, ila hao takukuru wenyewe ni hovyo tu.
Ume elewa hata nilicho maanisha?Takukuru akafanye nini ili haki Kitila mwenyewe alimshauri awape tu chao kama anataka hiyo passport.
Je, ipi hasa remedy ya kosa la namna hiyo? Ni kwamba hakuna kabisa suluhisho la tatizo la namna hiyo zaidi ya Mwombaji kunyimwa Passport?Huyo ameapply mara mbili passport kama nimemuelewa, maana yake mtu mmoja ameomba passport mbili, mfumo ndio umemgunduwa, unataka kusema utawaaminisha vipi maofisa kama hukuwa na nia ovu?
Duh pole ndio Afrika.
Tafuta milioni moja hiyo uyamalize na kufanya mengine.
Mkuu hili nililiweka sawa.sababu niliitwa posta kwa mahojiano .sababu why nimeomba Mara mbili? niliwambia ukweli pia niliwambia wanisamehe sikwamba nimefanya hivyo bila kujua ila nimefanya hivyo kwa lengo la kusikilizwa sababu ombi la kwanza nimenyimwa passport naambiwa Mimi siyo RAIA hivyo nimeomba tena kujua tatizo nini.basi yule afisa nashukuru sana alinisikiliza kwa makini sana akasema pole sana cha kufanya rudi tena kurasini kwa PCO mpya mweleze atakusaidia .lakini nilienda kwa PCO aliangalia fili langu nakusema hana mamlaka ya kunipa kwani maamuzi hayo ni kutoka kwa bosi wake lakini kama ombi lingekuwa ndani ya ofisi yake basi sikuile ile ningeondoka na passport.alichonishauli kwamba nisikate tamaa ndo maisha yalivyo na nikipenda nirudi tena nikamuone kamishina mkuu wa uhamiajiJe, ipi hasa remedy ya kosa la namna hiyo? Ni kwamba hakuna kabisa suluhisho la tatizo la namna hiyo zaidi ya Mwombaji kunyimwa Passport?
Uhamiaji wamekueleza kwamba wameshindwa kukupatia Passport kwa sababu ya wewe umewasilisha maombi ya Passport mara Mbili au kwa sababu wewe siyo Raia wa Tanzania?Mkuu hili nililiweka sawa.sababu niliitwa posta kwa mahojiano .sababu why nimeomba Mara mbili? niliwambia ukweli pia niliwambia wanisamehe sikwamba nimefanya hivyo bila kujua ila nimefanya hivyo kwa lengo la kusikilizwa sababu ombi la kwanza nimenyimwa passport naambiwa Mimi siyo RAIA hivyo nimeomba tena kujua tatizo nini.basi yule afisa nashukuru sana alinisikiliza kwa makini sana akasema pole sana cha kufanya rudi tena kurasini kwa PCO mpya mweleze atakusaidia .lakini nilienda kwa PCO aliangalia fili langu nakusema hana mamlaka ya kunipa kwani maamuzi hayo ni kutoka kwa bosi wake lakini kama ombi lingekuwa ndani ya ofisi yake basi sikuile ile ningeondoka na passport.alichonishauli kwamba nisikate tamaa ndo maisha yalivyo na nikipenda nirudi tena nikamuone kamishina mkuu wa uhamiaji
Et siyo RAIA wa TANZANIA na kauli hii ilianza baada ya Mimi kushindwa kutoa ile million 1Uhamiaji wamekueleza kwamba wameshindwa kukupatia Passport kwa sababu ya wewe umewasilisha maombi ya Passport mara Mbili au kwa sababu wewe siyo Raia wa Tanzania?
Mkuu mbona nimeeleza kila kituNani amemuelwe anieleweshe?/ alfu Mkuu ukihitaji msaada Fongokaaa usaidiwe
Kwa hiyo Uhamiaji wanadai kuwa wewe ni Raia wa nchi gani endapo kama siyo Raia wa Tanzania?Et siyo RAIA wa TANZANIA na kauli hii ilianza baada ya Mimi kushindwa kutoa ile million 1
Et mama katokea Kongo baba BurundiKwa hiyo Uhamiaji wanadai kuwa wewe ni Raia wa nchi gani endapo kama siyo Raia wa Tanzania?