Unatetea kitu gani mkuu?Kwanini wasiruhusu, kwani uislamu umekataza wasio waislamu kuingia kwenyi nchi zao!!! Usome uislamu upate kuujua mkuu.
Mheshimiwa baba askofu Dr. Josephat Gwajima ni msomi wa Phd,.. ebu msikilize akiwa anatamka neno Rais, habari na hilo "vizuri" unalomzodoa nalo mwenzio, halafu uje usome tena comment yako.So shule nia hiyari yako [emoji23][emoji23]
ndiyo maana umeandika mazuli badala ya mazuri!
Biden alikurupuka kuondoa majeshi sasa imekula kwake. Halafu wamechukua nchi kirahisi sana sehemu nyingi hilo jeshi la Serikali hata kupigana hawakupigana waliishia kukimbia na kwenye makambi mengi hawakuwa na chakula.
Nakumbuka Trump alishafanya kikao ma hawa Wataliban ma kukubaliana nao mambo kadhaa. Isije ikawa ndiyo walishaamua kuwarudisha madarakaniRais wa Afghanistan, Ashraf Ghani, amekimbilia Tajikistan, kwa mujibu wa Al Jazeera!
Taliban wameshinda!
Taliban wamechukua nchi!
Mwezi mmoja uliopita, Rais wa Marekani alisema bila kumung’unya maneno kuwa Taliban kuchukua nchi hakuwezekani kwa sababu jeshi la Afghanistan liko imara.
Hahahaa. Well, tayari Taliban wameshachukua nchi na Rais wa Afghanistan kala kona.
===
Rais wa Afghanistan Ashraf Ghani ameikimbia nchi yake leo jioni baada ya wanamgambo wa Taliban kuuzingira mji mkuu wa Kabul.
Maafisa wawili wa serikali ambao hawakutaka majina yao kutajwa wameliambia shirika la habari la Associated Press kuwa Ghani ameondoka Afghanistan na inaarifiwa amekimbilia taifa jirani la Tajikistan.
Mkuu wa Baraza la Maridhiano ya Taifa nchini Afghanistan Abdullah Abdullah pia amethibitisha habari hizo kupitia mkanda wa video.
Kuondoka kwa Ghani kunatoa taswira halisi ya uwezekano wa kundi la Taliban kuchukua madaraka nchini Afghanistan wakati wowote kuanzia sasa.
Wapiganaji wa kundi hilo waliingia kwenye viunga vya pembezoni mwa mji mkuu wa Kabul leo Alfajiri baada ya kupata mafanikio makubwa katika siku za karibuni kwa kuikamata miji mingi nchini humo.
Vita sio ya mtu vita ni ya taifaSasa hii Vita si ilikuwa ya Bush? Kwa hiyo Biden aelezee nini hapo?
Kimsingi Biden amesema asingependa kumrithisha rais ajaye Vita.
Wewe huna ujualo kuhusu "ugaidi"Nimeona kwenye video Wananchi na wageni wakiwa desperate kuondoka Kabul.
Hii fall of Afghanistan kipindi cha Biden ni mbaya sana na itamgarimu kwenye uchaguzi ujao unless kuna jambo kubwa watafanya la kimkakati ku turn situation around.
Ili transition iwe smooth kusiwe na madhara kwa Amerika na dunia hususani kuhusu ugaidi na haki za binadamu kutokana na Taliban kushika tena Mamlaka ya kuongoza Afghanistan
Sasa naimani zile kelele za kusema Urusi kakimbia Afghanistan naona kama zimefika mwisho wake.wambieni warudi tu nyumbani,nyumbani kumenogaPale ambapo wamarekani weusi hamkubali ukweli kua US kapigwa kidole kama vile Urusi ilivyofanyiwa na muhajidina.,hahahah
Noma..Dah! Hiyo ID yako ni noma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wachunguzi wanasema Marekani ilikuwa na mapatano fulani na Taleban ndio maana imefanikiwa zaidi.US ilikuwa haifurahishwi na mwenendo wa watawala huko Afghanistan. Rushwa na uovu mwingine ulikithiri,watawala walijisahau na kuanza kula bata badala ya kuimarisha mifumo ya ulinzi.
Lengo ni kushika utawala na kuonesha Dunia hivyo sasa hawawezi kufanya huo ujinga ila pia wanatafuta uungwaji mkono kwa wananchi.Nimeangalia live watelaban wakiingia Kabul nimegundua mambo kadhaa:kwanza hawa jamaa wananidhamu ya juu mno,sikuona wakipora vitu au mali,hawana wenge la ushindi kushangilia au kuimba au kupiga risasi juu kufurahia ushindi.
Wanahabari wapo na wanachukua habari bila bugdha.
Nimegundua pia US wamebariki kila kilichotokea,US wamemsaliti kiaina Rais wa Afghan na serikali yake ili Taleban wachukue mamlaka.
Nimegundua pia US siku za usoni atakuwa mpole kwa Taleban na wataanza upya mahusiano ya kidiplomasia pamoja na misaada,kwa.kifupi US anabadili mbinu za kupambana na Taleban.
Na kutoa wajeda alianza Trump na Hawa wamemalizia tuu ,labda staili ndio imekuwa tofauti na matarajio.Sasa hii Vita si ilikuwa ya Bush? Kwa hiyo Biden aelezee nini hapo?
Kimsingi Biden amesema asingependa kumrithisha rais ajaye Vita.
Jeshi lenyewe lilijaa masnitchThe Pentagon spent $88 Billion dollars training the Afghan army for 20 years,
It collapsed in 1 month.
Hao wanaoitwa wanajeshi wa afghan ni wapuuzi wakati wanatumwa front walikuwa wanapeleka silaha huko kwa wataleban wanasingizia kutekwa mara wakimbie nchi ni wapuuzi tuu.Taarifa za ndani zinasema 50% ya jeshi la serikali ya afghanistan ilikuwa upande wa taliban, so hilo hata yeye usa alilijua kabisa, ni kama alivoikimbia somalia miaka ya 90
Hawa wachina wameshaamua kuwatambua watalebani.China tayari anaomba ushirikiano na Taliban
Hawa jamaa kwa fursa kiboko
Ila wewe Jamaa Ni mkweli Sana nyeupe husema nyeupe na nyeusi husema nyeusi.🤣🤣
Hizo ni conspiracy theories tu.
Johnny Rambo kazeeka angekua yanki Watalaban wasingefika popote.Hawa wachina wameshaamua kuwatambua watalebani.
Marekani imepata aibu sana.
Shukran jazilan!Ila wewe Jamaa Ni mkweli Sana nyeupe husema nyeupe na nyeusi husema nyeusi.
Licha ya kujulikana kuwa wewe Ni "USA baby" lakini hausifii kila kitu Cha USA ambacho huna hakika nacho.
Uko njema poti.
Jibu swali .Afghanistan kuna nini ambacho USA alikuwa anachuma? Wabongo mnapendaga kujifanya mnajua mambo kumbe ushuzi mtupu.We unadhani US wanawapenda sana Waafghanistan mpaka waende kupoteza hela zote hizo bure tu?