Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Mwinyi aliwahi kuitisha Baraza la Mawaziri na kulivunja mbele yao

Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Mwinyi aliwahi kuitisha Baraza la Mawaziri na kulivunja mbele yao

Kazi yake ilikuwa NDOGO SANA YAANI "KILA KITU RUKSA"....
Kwa mtazamo wako unaweza kuona kazi yake ilikuwa ndogo, ila lawama, fitna, majungu na chuki alivyovipata kutoka kwa mtangulizi wake, vilikuwa ni mzigo mkubwa kwake. mtangulizi aliona aliyoyafanya Mwinyi yalikuwa ya utu na yenye umuhimu mkubwa kwa taifa, kwahiyo mtangulizi aliona bila kumtengenezea Mwinyi majungu na chuki huenda legacy yake ingepotea kama chumvi majini
 
Najikumbusha tu ujasiri wa Rais wa awamu ya pili mh Ali Hassan Mwinyi ( Ruksa)

Profesa Kighoma Malima akauliza " mh Rais hata mimi simo?"

Rais akamjibu "Kwani wewe ni nani? "

Ramadhan Kareem!
Kwa hiyo Mkuu unataka kutuaminisha kwamba kama wabunge wakizidi kumzingua Mama yetu kinaweza kufuata kama hicho? tukarudi kwenye uchguzi upya?
 
Kwa hiyo Mkuu unataka kutuaminisha kwamba kama wabunge wakizidi kumzingua Mama yetu kinaweza kufuata kama hicho? tukarudi kwenye uchguzi upya?
Wazanzibari huwa nawaaminia sana!
 
Najikumbusha tu ujasiri wa Rais wa awamu ya pili mh Ali Hassan Mwinyi ( Ruksa)

Profesa Kighoma Malima akauliza " mh Rais hata mimi simo?"

Rais akamjibu "Kwani wewe ni nani? "

Ramadhan Kareem!
Moja ya hadithi nzuri inayosimuliwa kumhusu "Mzee Ruksa".
 
sio rahisi kulivunja kwa sasa ukizingatia ndio wameketi kwa ajili ya bajeti labda ingekuwa baada ya bajeti au ingekuwa mwez wa 10 hivi
 
Umesahau moja; Television( Tuliita video) nazo zikaruhusiwa kuingia nchini maana kabla, wengi walikuwa wanazisikia tu kwenye stori za vijiweni.
We achatu kuna mtu aliwahi ingiza tshirt zimeandikwa video kutoka kenya na watu vijijini wanananua na kuvaa za , enzi hizo fundi cherehani kazi kubwa ilikuwa kuweka viraka mtu mzima anatembea na indiketa makalioni.. mzee mwinyi acha aishi maisha malefu ni baraka hizo
 
We achatu kuna mtu aliwahi ingiza tshirt zimeandikwa video kutoka kenya na watu vijijini wanananua na kuvaa za , enzi hizo fundi cherehani kazi kubwa ilikuwa kuweka viraka mtu mzima anatembea na indiketa makalioni.. mzee mwinyi acha aishi maisha malefu ni baraka hizo
Nimecheka sana..😀 Hata viraka vilikuwa na viwango, mwenye uwezo kidogo alikuwa anawekewa kwa ndani. Lakini kama hela yako ya wasiwasi, wanabandika tu kwa nje juu ya makalio. Utajijua na indicator zako. New generation wakimuangalia Mzee Mwinyi wanamchukulia poa, ila waliokula ugali wa njano wa yanga wanamjua vizuri sana..
 
Baada ya kulivunja maendeleo yalipatikana?
Ndiyo. Tulianza kununua na TV kuona kinachoendelea duniani ikiwemo Ligi ya Uingereza. Nayo hayop ni maendeleo. Tatizo mmekaririshwa na mwendazake kwamba maendeleo ni Flyovers za Ubungo kumbe hata uhuru wa mawazo na uhuru wa kujieleza ni maendeleo. Mwendazake ameliharibu Taifa na kupandkiza roho mbaya kwa wengi sana!
 
Nimecheka sana..😀 Hata viraka vilikuwa na viwango, mwenye uwezo kidogo alikuwa anawekewa kwa ndani. Lakini kama hela yako ya wasiwasi, wanabandika tu kwa nje juu ya makalio. Utajijua na indicator zako. New generation wakimuangalia Mzee Mwinyi wanamchukulia poa, ila waliokula ugali wa njano wa yanga wanamjua vizuri sana..
Hakika bwashee!
 
Ndiyo. Tulianza kununua na TV kuona kinachoendelea duniani ikiwemo Ligi ya Uingereza. Nayo hayop ni maendeleo. Tatizo mmekaririshwa na mwendazake kwamba maendeleo ni Flyovers za Ubungo kumbe hata uhuru wa mawazo na uhuru wa kujieleza ni maendeleo. Mwendazake ameliharibu Taifa na kupandkiza roho mbaya kwa wengi sana!
Tetetete
 
Najikumbusha tu ujasiri wa Rais wa awamu ya pili mh Ali Hassan Mwinyi ( Ruksa)

Profesa Kighoma Malima akauliza " mh Rais hata mimi simo?"

Rais akamjibu "Kwani wewe ni nani? "

Ramadhan Kareem!
Nawe umegeuka?
 
Back
Top Bottom