cmoney
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 3,570
- 5,508
Kwanini watanzania mnaona ufahari sana kujua kiingereza...unajua chuo kikuu cha Dodoma sana Confucius's institute na ishatoa wakalimani wengi sana wa kichina...unadhani hayo mawasiliano walianza tu chekiana kama wahuni hadi mh Raisi asipate mda wa mkalimani
Waliongea kwa lugha gani? Maana Xi Jinping yeye ni Kichina huyu mwamba Kiingereza hakipo.....