Rais wa Harvard University ajiuzulu kutokana na Plagiarism iliyobainika kwenye machapisho yake

Rais wa Harvard University ajiuzulu kutokana na Plagiarism iliyobainika kwenye machapisho yake

"Mmeyajua haya" mimi na nani?

Kiranga is a singularity. I am not single, I am a singularity.

Two things can be true at the same time.

Hoja ni plagiarism, ambayo kashindwa kuipangua. Mpaka kajiuzulu.

Hayo ya Mazayuni ni hoja nyingine. Inawezekana hakukosea.

Lakini, kama kafanya plagiarism kweli, hilo haliondoi ukweli kwamba kafanya plagiarism. Regardless ya habari za Uzayuni zikoje.

Na mimi hao Mazayuni wala sipo nao, naona matatizo yao. Kuanzia false entitlement yao kwamba wao ni taifa teule la Mungu ambaye mimi siamini kwamba yupo, mpaka occupation ya sehemu ya watu na kuifanya yao. I do not support any of that.

Lakini pia naona matatizo ya plagiarism katika academia.

Naruhusiwa kupinga Uzayuni na plagiarism kwa wakati mmoja?

Au natakiwa nichague kati ya Uzayuni na plagiarism ni support kimoja na kupinga kingine in a stupidly narrow minded clubbish squabble?

How is this a mutual exclusive choice?

Kwa nini unaona kama nikipinga plagiarism nina support Uzayuni? Wakati mimi si support Uzayuni wala plagiarism?
Wewe na wenzako wengine
Hoja ukiamua kuzipinga zote ama moja moja sawa tuuu
Kabla ya kukosoa unyama unaofanywa na mazayuni hawakuwahi kujua kama ana hio skendo yeye na wenzake
Au imekuja kujulikana tokea alipowaita mazayuni kua watenda jinai na uhalifu dhidi ya binaadam hasa wanawake na watoto pale ukanda wa ghaza
 
To be honest, Fucking JEWS
They are a piece of fucking shit when it comes to controlling the Media
And Elon Musk knew this...........and what are they going to do on him.....nothings ....money talks...
They fucked up UK artists, politicians and so on...
They fucked up Kanye...and list goes on in US....

View attachment 2860448
Mazayuni watu wabaya sana yaani sanaaaa
Washamtia mama wawatu kwenye skendo chafu
 
Naona tweeter/x Wamarekani wengi wamekasirika kujua nchi yao inaongozwa na Jews,,na jinsi kodi zao zinavyosaidia Israel,,kwao hosp hela nyingi Israel bure,,,but ndio ishakua late haha,,,viongozi wao,,,banks,hollyweird,media,social media, (Zara,Pizza huts,KFC,Pepsi,Starbucks, dasani, chocolate companies,,CIA,,na other big companies etc zote wameshika Zionists kazi wanayo ila nachofurahi kuona watu wameanza kuamka,,,hata lile tukio la 9/11 wanasema ni Jews
Shida wamechelewa sana kujua haya majambo
Ila uzuri ukiishajua unajua watashughulikiwa sana watauliwa sana
Ila ipo siku wataukata mzizi wa hao wauaji
 
Hii ni baada ya kugundulika kuwa kwenye baadhi ya machapisho yake, alinyakua maandiko ya wengine bila kuweka bayana alikoyatoa, na hivyo kuleta taswira ya uongo kwamba ni maneno yake [plagiarism].

Haya yote yalijitokeza baada ya yeye Bi. Gay na marais wengine wawili wa vyuo vya Ivy League walipoitwa mbele ya kamati ya bunge la Marekani kwenda kutoa maelezo juu ya kuongezeka chuki dhidi ya Uyahudi
Kwenye vyuo walivyokuwa wanaviongoza.

Bora kaondoka lakini,alikuwa pia na mtihani wa kukatiwa funding na donors waliokuwa wana support chuo chake
 
Huyu alipaswa kujiuzulu mapema zaidi mara tu baada ya ile "mtukati" ya kamati ya Bunge iliyomuondoa kwenye kiti yule mwenzake wa Pennsylvania.

Haya ni matokeo ya kuendelea kubaki kitini ilihali nyumba imeshaanza kuungua. Huenda angejiepusha na hii scandal ya plagiarism endapo angejiuzulu mapema.

Hata hivyo, wizi wa kitaaluma hauna tofauti na wizi mwingine, kuna wakati ukifika, mambo yanawekwa hadharani. Waswahili wana msemo wao: "za mwizi arobaini".

Bado yule rais wa MIT. Waswahili kwa mara nyingine (na PhD zao za kuunga-unga) wana msemo wao: "mwenzako akinyolewa, chako [kichwa] tia maji".
Hizo zote sababu tokea alipowachana mazayuni kua wauaji basi wamemuandama kwel
Yeye na wenzake wawili waliwatia sana spana wazayuni
Tokea siku hio ndio wakaanza kusambaziwa uzushi
 
Wewe na wenzako wengine
Hoja ukiamua kuzipinga zote ama moja moja sawa tuuu
Kabla ya kukosoa unyama unaofanywa na mazayuni hawakuwahi kujua kama ana hio skendo yeye na wenzake
Au imekuja kujulikana tokea alipowaita mazayuni kua watenda jinai na uhalifu dhidi ya binaadam hasa wanawake na watoto pale ukanda wa ghaza

Mimi sina mwenzangu katika hoja hizo hapa.

Kabla, baada, katikati.

Plagiarism siku zote ni kitu kibaya.
 
Hizo zote sababu tokea alipowachana mazayuni kua wauaji basi wamemuandama kwel
Yeye na wenzake wawili waliwatia sana spana wazayuni
Tokea siku hio ndio wakaanza kusambaziwa uzushi
Hii issue inahusiana na chuki dhidi ya Wayahudi (antisemitism) katika vyuo vikuu hasa vinavyoongozwa na hao watatu.

Wote watatu waliitwa kujieleza kwenye kamati maalumu ya Bunge, wakaulizwa maswali, wakatoa majibu mepesi, isitoshe yenye double standards. Kimaadili, hilo pekee linatosha kuwaondoa kwenye nafasi zao za kitaaluma.

Hao wawili waliojiuzulu wamekiri makosa hadharani na kuomba radhi kutokana na majibu waliyoyatoa mbele ya kamati ya Bunge.
 
Hizo zote sababu tokea alipowachana mazayuni kua wauaji basi wamemuandama kwel
Yeye na wenzake wawili waliwatia sana spana wazayuni
Tokea siku hio ndio wakaanza kusambaziwa uzushi

Mnafiki tu huyo mjinga. Wakati Hamas wanavamia mara ya kwanza mbona alikaa kimya?. Mnafiki tu huyo mwizi wa kazi za watu
 
Kabisa mwisho wao umefika zaidi ya wakati mwengine wowote ule uliowahi kuepo

Mwisho wao upi? Marekani ni ya kila mtu, ndio maana Kuna mpalestina ni mbunge na msomali mwingine ni mbunge. Sasa wewe ukidhani wayahudi sio wamarekani.
 
Shida wamechelewa sana kujua haya majambo
Ila uzuri ukiishajua unajua watashughulikiwa sana watauliwa sana
Ila ipo siku wataukata mzizi wa hao wauaji

Watauliwa na nani?. Unadhani kule ni Gaza.
 
Kwani c walipangwa hakuna ukweli wowote
Ndio maana United Shits Of Americant wanatumia nguvu kubwa sana kuwaaminisha watu
Ukiwa ndani ya United Shits Of Americant ukipinga Holocaust unaweza kufia jela
Hivi utajisikiaje baada ya miaka 50 huko mbele ukasikia mtu akipayuka kuwa Israel haikuwahi kuishambulia Gaza na Kisha kubomoa na kuua watoto na wanawake zaidi ya 20000?.
 
Mwisho wao upi? Marekani ni ya kila mtu, ndio maana Kuna mpalestina ni mbunge na msomali mwingine ni mbunge. Sasa wewe ukidhani wayahudi sio wamarekani.
Wapi kuna sehem nimeandika kama mazayuni sio wamarekani
 
Back
Top Bottom