Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kupigana moja kwa moja haiwezekani bali watawindana au kutumia mataifa mengine ya jirani kwa kupeleka silaha au kuwindana
Nilisema kila mmoja anaujua mziki wa kuporomoka kwa uchumi na sio kwao tu bali hata sisi joto tutalisikia
Tuwe na ushabiki wa mandazi tu ila likija suala la vita haswa basi ujuaji tuweke pembene na tupeana facts
Nilisema kila mmoja anaujua mziki wa kuporomoka kwa uchumi na sio kwao tu bali hata sisi joto tutalisikia
Tuwe na ushabiki wa mandazi tu ila likija suala la vita haswa basi ujuaji tuweke pembene na tupeana facts